< 2 Nyakati 28 >

1 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Hakufanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi babu yake alivyokuwa amefanya.
Achaz avait vingt ans quand il commença à régner, et il régna seize ans à Jérusalem. Il ne fit point ce qui était droit en la présence du Seigneur, comme David son père;
2 Badala yake, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli; pia alitengeneza sanamu za kusubu kwa ajila ya Mabaali.
Mais il marcha dans les voies des rois d’Israël; de plus il fondit même des statues aux Baalim.
3 Zaidi ya hayo, akafukiza uvumba katika bonde la Beni Hinomu na akawaweka watoto wake ndani ya moto, kwa mjibu wa desturi za uzinzi za watu ambao Yahwe aliwafukuza nje ya nchi zao mbele za watu wa Israeli.
C’est lui qui brûla de l’encens dans la vallée de Bénennom, et qui fit passer ses enfants par le feu, selon les coutumes des nations que détruisit le Seigneur à l’arrivée des enfants d’Israël.
4 Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika sehemu za juu na juu ya vilima na chini ya kila mti wenye majani mabichi.
Il sacrifiait aussi et brûlait du parfum sur les hauts lieux, sur les collines et sous tout arbre couvert de feuillage.
5 Kwa hiyo Yahwe Mungu wa Ahazi, akamweka katika mikono ya mfalme wa Shamu. Waaramu wakamshinda na kuchukua kutoka kwake kundi kubwa la mateka, wakawapeleka Damesiki. Ahazi pia aliwekwa katika mikono ya mfalme wa Israeli ambaye alimshinda kwa mauji makuu.
Et le Seigneur son Dieu le livra à la main du roi de Syrie, qui le battit, et enleva de son royaume un grand butin, et l’emporta à Damas: il fut livré aussi aux mains du roi d’Israël, et frappé d’une grande plaie.
6 Kwa maana Peka mwana wa Remalia, aliwaua katika Yuda wanajeshi 120, 00 kwa siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa maana walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao.
Car Phacée, fils de Romélie, tua cent vingt mille hommes de Juda en un seul jour, tous hommes de guerre, parce qu’ils avaient abandonné le Seigneur Dieu de leurs pères.
7 Zikri, mtu mwenye nguvu kutoka Efraimu, akawaua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu, mwangalizi mkuu wa ikulu, na Elkana, ambaye alikuwa karibu na mfalme.
En même temps, Zéchri, homme puissant d’Ephraïm, tua Maasias, fils du roi; Ezrica, chef de la maison du roi, et même Elcana, le second après le roi.
8 Jeshsi la Israeli likachukua mateka kutoka kwa ndugu zao 200, 000 wake, wana, na mabinti. Pia wakachukua nyara nyingi, ambazo walipeleka Samaria.
Et les enfants d’Israël prirent d’entre leurs frères deux cent mille femmes, jeunes garçons et jeunes filles, et un butin infini, qu’ils portèrent à Samarie.
9 Lakini nabii wa Yahwe alikuwapo huko, jina lake aliitwa Odedi. Alikwenda nje kukutana na jeshi likiingia Samaria. Akawaambia, “Kwa sababu Yahwe, Mungu wa babu zenu, alikuwa na hasiri na Yuda, akawatia katika mikono yenu. Lakini mmewaua katika hasira inayofika juu mbinguni.
À cette époque il y avait là un prophète du nom d’Oded, qui, étant sorti à la rencontre de l’armée qui venait à Samarie, leur dit: Voilà que le Seigneur Dieu de vos pères, irrité contre Juda, l’a livré en vos mains, et vous les avez tués cruellement, en sorte que votre cruauté est parvenue jusqu’au ciel.
10 Sasa ninyi badala ya kuwahifadhi wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu kama watumwa wenu. Lakini je hamko na hatia ya dhambi zenu zidi ya Yahwe Mungu wenu?
De plus, vous voulez vous assujettir les enfants de Juda et de Jérusalem comme esclaves et servantes, ce qu’il ne faut nullement faire; car vous avez péché en cela contre le Seigneur votre Dieu.
11 Sasa basi, nisikilizeni: warudisheni wafubgwa, ambao mmewachukua wa ndugu zenu, kwa maana ghadhabu ya Yahwe iko juu yenu.”
Mais écoutez mon conseil, et ramenez les captifs que vous avez amenés d’entre vos frères; car une grande fureur du Seigneur est imminente pour vous.
12 Kisha baadhi ya viongozi wa watu wa Efraimu—Azaria mwana wa Yohanani, Berekia mwana wa Meshiremothi, na Yehizikia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kinyume na wale waliorudi kutoka vitani.
C’est pourquoi des hommes d’entre les princes des enfants d’Ephraïm, Azarias, fils de Johanan, Barachias, fils de Mosollamoth, Ezéchias, fils de Sellum, et Amasa, fils d’Adali, se présentèrent contre ceux qui venaient du combat,
13 Wakasema kwao, “Lazimaa msiwaleta wafungwa hapa, kwa kuwa mlikusudia jambo ambalo litaleta juu yetu dhambi dhidi ya Yahwe, kuongeza dhambi juu yetu na makosa yetu, kwa maana makosa yetu ni makuu, na kuna hasira kali dhidi ya Israeli.”
Et leur dirent: Vous ne ferez point entrer ici vos captifs, de peur que nous ne péchions contre le Seigneur. Pourquoi voulez-vous ajouter à nos péchés, et combler nos anciens crimes? car c’est un grand péché, et la colère de la fureur du Seigneur est suspendue sur Israël.
14 Hivyo watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na mateka mbele ya viongozi wa Israeli na kusanyiko lote
Alors les hommes de guerre renvoyèrent le butin et tout ce qu’ils avaient pris devant les princes et toute la multitude.
15 Watu ambao walipangwa kwa majina wakanyanyuka na kuwachukua wafungwa, na kuwavika wote waliokuwa uchi miongoni mwa mateka. Wakawavika na kuwapa viatu. Wakawapa chakula wale na kunywa. Wakawahudumia majeraha yao na kuwaweka waliodhaifu juu ya punda. Wakawarudisha kwenye familia zao katika Yeriko, (Ulioitwa mji wa mitende). Kisha wakarudi Samaria.
Et les hommes que nous avons mentionnés ci-dessus se levèrent, et, prenant les captifs et tous ceux qui étaient nus, ils les vêtirent des dépouilles; et, lorsqu’ils les eurent vêtus, chaussés, ranimés, en leur donnant à manger et à boire, oints à cause de leur fatigue, et qu’ils en eurent pris soin, ils mirent sur des chevaux ceux qui ne pouvaient marcher et qui étaient d’un corps faible, et ils les amenèrent à Jéricho, la ville des palmes, vers leurs frères, puis ils retournèrent eux-mêmes à Samarie.
16 Wakati huo Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa wafalme wa Ashuru kuwaomba wamsaidie.
En ce temps-là, le roi Achaz envoya vers le roi des Assyriens; demandant du secours.
17 Kwa maana Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuvamia Yuda, wakachukua wafungwa.
Et les Iduméens vinrent, et battirent beaucoup d’hommes de Juda, et enlevèrent un grand butin.
18 Wafilisti pia wakavamia miji ya nchi ya chini na ya Negebu ya Yuda. Waliichukua Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, SoKo pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake. Wakaenda kuishi katika sehemu hizo.
Les Philistins se répandirent aussi dans les villes de la plaine et au midi de Juda, et ils prirent Bethsamès, Aïalon, Gadéroth, Socho, Thamnan et Gamzo, avec leurs bourgades, et ils y habitèrent;
19 Kwa kuwa Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi, mfalme wa Israeli; kwa maana alikuwa ametenda maovu katika Yuda na alikuwa ametenda dhambi nzito sana dhidi ya Yahwe.
Car le Seigneur avait humilié Juda à cause d’Achaz, roi de Juda, parce qu’il avait eu le Seigneur en mépris.
20 Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru, akaja kwake na akampa tabu badala ya kumpa nguvu.
Le Seigneur amena aussi contre lui Thelgathphalnasar, roi des Assyriens, qui le renversa, et, personne ne résistant, le ruina.
21 Kwa kuwa Ahazi aliteka nyara nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongozi, kwa ajili ya kuvitoa vitu vya thamani kwa mfalme wa Ashuru. Lakini kufanya hivyo hakukumfaidisha yeye.
Achaz donc, ayant dépouillé la maison du Seigneur et la maison du roi et des princes, donna des présents au roi des Assyriens, et cependant cela ne lui servit de rien.
22 Mfalme Ahazi huyu huyu akatenda dhambi hata zaidi dhidi ya Yahwe katika muda wa mateso yake.
De plus, dans le temps même de ses angoisses, il augmenta son mépris pour le Seigneur: lui-même, de son propre mouvement, le roi Achaz
23 Kwa maana aliwatolea dhabihu mingu wa Dameski, miungu ambao walimshinda. Akasema, “Kwa sababu miungu wa mfalme wa Aramu waliwasaidia, nitawatolea sadaka ili wanisaidie.” Lakini walikuwa watesi wake na Israeli yote.
Immola des victimes aux dieux de Damas, à ceux qui l’avaient frappé, et il dit: Les dieux des rois de Syrie leur donnent du secours; moi, je les apaiserai par mes hosties, et ils m’assisteront; tandis qu’ils m’ont été à ruine, à moi et à tout Israël.
24 Ahazi akazikusanya pamoja samani za nyumba ya Mungu na kuzikata vipande vipande. Akaifunga milango ya nyumba ya Yahwe na kuzitengeneza madhabahu kwa ajili yake mwenyewe katika kila kona ya Yerusalemu.
C’est pourquoi, tous les vases de la maison de Dieu pillés et brisés, Achaz ferma les portes du temple de Dieu, et il se fit des autels dans tous les coins de Jérusalem.
25 Katika kila mji wa Yuda akafanya sehemu za juu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa kwa miungu wengine. Akamfanya Yahwe, Mungu wa babu zake, akasirike.
Il construisit aussi des autels dans toutes les villes de Juda pour y brûler de l’encens, et il provoqua au courroux le Seigneur Dieu de ses pères.
26 Sasa matendo yake yaliyobaki, na njia zake zote, mwanzo na mwisho, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Mais le reste de ses actions et de toutes ses œuvres, des premières et des dernières, est écrit dans le Livre des rois de Juda et d’Israël.
27 Ahazi akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji, katika Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Hezekia, mwanaye, akawa mfamle katika nafasi yake.
Et Achaz dormit avec ses pères, et il fut enseveli dans la cité de Jérusalem; et on ne le mit pas dans les sépulcres des rois d’Israël. Et Ezéchias, son fils, régna en sa place.

< 2 Nyakati 28 >