< 2 Nyakati 28 >
1 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Hakufanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi babu yake alivyokuwa amefanya.
Ahas oli kahdenkymmenen ajastaikainen tullessansa kuninkaaksi, ja hallitsi kuusitoistakymmentä ajastaikaa Jerusalemissa, ja ei tehnyt, mitä Herralle kelvollinen oli, niinkuin hänen isänsä David;
2 Badala yake, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli; pia alitengeneza sanamu za kusubu kwa ajila ya Mabaali.
Vaan hän vaelsi Israelin kuningasten teillä, ja teki myös Baalille valetuita kuvia.
3 Zaidi ya hayo, akafukiza uvumba katika bonde la Beni Hinomu na akawaweka watoto wake ndani ya moto, kwa mjibu wa desturi za uzinzi za watu ambao Yahwe aliwafukuza nje ya nchi zao mbele za watu wa Israeli.
Ja hän suitsutti Hinnomin poikain laaksossa, ja poltti poikansa tulella pakanain kauhistusten jälkeen, jotka Herra Israelin lasten edestä oli ajanut pois.
4 Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika sehemu za juu na juu ya vilima na chini ya kila mti wenye majani mabichi.
Ja hän uhrasi ja suitsutti korkeuksilla ja kukkuloilla, ja kaikkein viheriäisten puiden alla.
5 Kwa hiyo Yahwe Mungu wa Ahazi, akamweka katika mikono ya mfalme wa Shamu. Waaramu wakamshinda na kuchukua kutoka kwake kundi kubwa la mateka, wakawapeleka Damesiki. Ahazi pia aliwekwa katika mikono ya mfalme wa Israeli ambaye alimshinda kwa mauji makuu.
Sentähden antoi Herra hänen Jumalansa hänen Syrian kuninkaan käsiin, niin että he löivät häntä, ja veivät heistä suuren joukon vangiksi Damaskuun. Hän annettiin myös Israelin kuninkaan käsiin, joka heistä sangen paljon tappoi.
6 Kwa maana Peka mwana wa Remalia, aliwaua katika Yuda wanajeshi 120, 00 kwa siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa maana walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao.
Sillä Peka Remalian poika löi Juudasta sata ja kaksikymmentä tuhatta yhtenä päivänä, jotka kaikki väkevät miehet olivat, että he hylkäsivät Herran isäinsä Jumalan.
7 Zikri, mtu mwenye nguvu kutoka Efraimu, akawaua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu, mwangalizi mkuu wa ikulu, na Elkana, ambaye alikuwa karibu na mfalme.
Ja Sikri Ephraimin väkevä tappoi kuninkaan pojan Maesejan, ja Asrikamin kuninkaan huoneen päämiehen, ja Elkanan, joka kuningasta lähimmäinen oli.
8 Jeshsi la Israeli likachukua mateka kutoka kwa ndugu zao 200, 000 wake, wana, na mabinti. Pia wakachukua nyara nyingi, ambazo walipeleka Samaria.
Ja Israelin lapset veivät vankina veljistänsä kaksisataa tuhatta, vaimoja, poikia ja tyttäriä, ja ryöstivät myös heiltä paljon saalista, jonka he veivät Samariaan.
9 Lakini nabii wa Yahwe alikuwapo huko, jina lake aliitwa Odedi. Alikwenda nje kukutana na jeshi likiingia Samaria. Akawaambia, “Kwa sababu Yahwe, Mungu wa babu zenu, alikuwa na hasiri na Yuda, akawatia katika mikono yenu. Lakini mmewaua katika hasira inayofika juu mbinguni.
Ja siellä oli Herran propheta, jonka nimi oli Obed, hän läksi sitä joukkoa vastaan, joka Samariaan tuli, ja sanoi heille: katso, Herra teidän isäinne Jumala on vihastunut Juudan päälle, ja on heidät antanut teidän käsiinne; mutta te olette kiukussa heitä tappaneet, niin että se taivaasen kuuluu,
10 Sasa ninyi badala ya kuwahifadhi wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu kama watumwa wenu. Lakini je hamko na hatia ya dhambi zenu zidi ya Yahwe Mungu wenu?
Niin te luulette nyt polkevanne teidän allenne Juudan lapset ja Jerusalemin, teidän palvelioiksenne ja piioiksenne. Eikö teissä vika ole Herraa teidän Jumalaanne vastaan?
11 Sasa basi, nisikilizeni: warudisheni wafubgwa, ambao mmewachukua wa ndugu zenu, kwa maana ghadhabu ya Yahwe iko juu yenu.”
Niin kuulkaat nyt minua ja viekäät ne vangit sinne jälleen, jotka te otitte teidän veljistänne; sillä Herran viha julmistui teidän päällenne.
12 Kisha baadhi ya viongozi wa watu wa Efraimu—Azaria mwana wa Yohanani, Berekia mwana wa Meshiremothi, na Yehizikia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kinyume na wale waliorudi kutoka vitani.
Silloin nousivat muutamat Ephraimin lasten ylimmäisistä: Asaria Johanan poika, Berekia Mesillemotin poika, Jehiskia Sallumin poika ja Amasa Hadlain poika, niitä vastaan, jotka sodasta tulivat,
13 Wakasema kwao, “Lazimaa msiwaleta wafungwa hapa, kwa kuwa mlikusudia jambo ambalo litaleta juu yetu dhambi dhidi ya Yahwe, kuongeza dhambi juu yetu na makosa yetu, kwa maana makosa yetu ni makuu, na kuna hasira kali dhidi ya Israeli.”
Ja sanoivat heille: ei teidän pidä niitä vankeja tuoman tänne; sillä ette sillä muuta saata kuin vikaa meidän päällemme Herran edessä, lisätäksenne meidän syntejämme ja rikoksiamme; sillä meidän vikamme on paljo, ja viha julmistuu Israelin päälle.
14 Hivyo watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na mateka mbele ya viongozi wa Israeli na kusanyiko lote
Niin sotaväki päästi vangit vallallensa ja asetti saaliin ylimmäisten ja kaiken kansan eteen.
15 Watu ambao walipangwa kwa majina wakanyanyuka na kuwachukua wafungwa, na kuwavika wote waliokuwa uchi miongoni mwa mateka. Wakawavika na kuwapa viatu. Wakawapa chakula wale na kunywa. Wakawahudumia majeraha yao na kuwaweka waliodhaifu juu ya punda. Wakawarudisha kwenye familia zao katika Yeriko, (Ulioitwa mji wa mitende). Kisha wakarudi Samaria.
Ja ne miehet nousivat, jotka nimeltänsä nimitetyt olivat, ja ottivat vangit ja kaikki jotka heidän seassansa alasti olivat, ja vaatettivat siitä saaliista. Ja kuin he heidät olivat vaatettaneet ja kengittäneet, antoivat he heille ruokaa ja juomaa, ja voitelivat heitä, ja veivät kaikki ne aasein päällä jotka heikoimmat olivat, ja saattivat heidät Jerihon Palmukaupunkiin veljeinsä tykö, ja palasivat sitte Samariaan.
16 Wakati huo Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa wafalme wa Ashuru kuwaomba wamsaidie.
Siihen aikaan lähetti kuningas Ahas Assurin kuningasten tykö, että he olisivat auttaneet häntä;
17 Kwa maana Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuvamia Yuda, wakachukua wafungwa.
Sillä Edomilaiset tulivat vielä, ja löivät Juudan ja veivät heitä vankina pois.
18 Wafilisti pia wakavamia miji ya nchi ya chini na ya Negebu ya Yuda. Waliichukua Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, SoKo pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake. Wakaenda kuishi katika sehemu hizo.
Ja Philistealaiset hajoittivat itsensä ketokaupunkeihin, etelän puolelle Juudaa, ja voittivat Betsemeksen, Ajalonin, Gederotin ja Sokon kylinensä, ja Timnan kylinensä ja Gimson kylinensä, ja asuivat siellä.
19 Kwa kuwa Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi, mfalme wa Israeli; kwa maana alikuwa ametenda maovu katika Yuda na alikuwa ametenda dhambi nzito sana dhidi ya Yahwe.
Sillä Herra nöyryytti Juudaa Ahaksen Israelin kuninkaan tähden, että hän oli vietellyt Juudan, ja teki väärin Herraa vastaan.
20 Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru, akaja kwake na akampa tabu badala ya kumpa nguvu.
Ja hänen tykönsä tuli TiglatPilsener Assurin kuningas, joka piiritti hänen, ja ei häntä voittanut.
21 Kwa kuwa Ahazi aliteka nyara nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongozi, kwa ajili ya kuvitoa vitu vya thamani kwa mfalme wa Ashuru. Lakini kufanya hivyo hakukumfaidisha yeye.
Sillä Ahas otti yhden osan Herran huoneesta ja kuninkaan ja ylimmäisten huoneesta, jotka hän antoi Assyrin kuninkaalle, vaan ei se häntä mitään auttanut.
22 Mfalme Ahazi huyu huyu akatenda dhambi hata zaidi dhidi ya Yahwe katika muda wa mateso yake.
Silloin teki kuningas Ahas vielä enemmän väärin Herraa vastaan tuskassansa,
23 Kwa maana aliwatolea dhabihu mingu wa Dameski, miungu ambao walimshinda. Akasema, “Kwa sababu miungu wa mfalme wa Aramu waliwasaidia, nitawatolea sadaka ili wanisaidie.” Lakini walikuwa watesi wake na Israeli yote.
Ja uhrasi Damaskun epäjumalille, jotka olivat lyöneet häntä, ja sanoi: koska Syrian kuningasten jumalat auttivat heitä, sentähden minä uhraan heille, että he myös minua auttaisivat; mutta he olivat hänelle ja kaikelle Israelille lankeemiseksi.
24 Ahazi akazikusanya pamoja samani za nyumba ya Mungu na kuzikata vipande vipande. Akaifunga milango ya nyumba ya Yahwe na kuzitengeneza madhabahu kwa ajili yake mwenyewe katika kila kona ya Yerusalemu.
Ja Ahas kokosi astiat Jumalan huoneesta ja särki Jumalan huoneen astiat, ja sulki Herran huoneen ovet, ja teki itsellensä alttareita joka nurkkaan Jerusalemissa.
25 Katika kila mji wa Yuda akafanya sehemu za juu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa kwa miungu wengine. Akamfanya Yahwe, Mungu wa babu zake, akasirike.
Ja myös kaikissa Juudan kaupungeissa teki hän korkeuksia siellä ja täällä, suitsuttaaksensa vieraille jumalille, ja vihoitti Herran isäinsä Jumalan.
26 Sasa matendo yake yaliyobaki, na njia zake zote, mwanzo na mwisho, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Mitä enempi hänestä on sanomista, ja kaikista hänen teistänsä, ensimäisistä ja viimeisistä: katso, se on kirjoitettu Juudan ja Israelin kuningasten kirjassa.
27 Ahazi akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji, katika Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Hezekia, mwanaye, akawa mfamle katika nafasi yake.
Ja Ahas nukkui isäinsä kanssa, ja he hautasivat hänen Jerusalemin kaupunkiin; mutta ei he panneet häntä Israelin kuningasten sekaan. Ja hänen poikansa Jehiskia tuli kuninkaaksi hänen siaansa.