< 2 Nyakati 28 >

1 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Hakufanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi babu yake alivyokuwa amefanya.
Akaz var tyve Aar gammel da han blev Konge, og han herskede seksten Aar i Jerusalem. Han gjorde ikke, hvad der var ret i HERRENS Øjne, som hans Fader David,
2 Badala yake, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli; pia alitengeneza sanamu za kusubu kwa ajila ya Mabaali.
men vandrede i Israels Kongers Spor Ja, han lod lave støbte Billeder til Ba'alerne;
3 Zaidi ya hayo, akafukiza uvumba katika bonde la Beni Hinomu na akawaweka watoto wake ndani ya moto, kwa mjibu wa desturi za uzinzi za watu ambao Yahwe aliwafukuza nje ya nchi zao mbele za watu wa Israeli.
han tændte selv Offerild i Hinnoms Søns Dal og lod sine Sønner gaa igennem Ilden efter de Folks vederstyggelige Skik, som HERREN havde drevet bort foran Israeliterne.
4 Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika sehemu za juu na juu ya vilima na chini ya kila mti wenye majani mabichi.
Han ofrede og tændte Offerild paa Offerhøjene og de høje Steder og under alle grønne Træer.
5 Kwa hiyo Yahwe Mungu wa Ahazi, akamweka katika mikono ya mfalme wa Shamu. Waaramu wakamshinda na kuchukua kutoka kwake kundi kubwa la mateka, wakawapeleka Damesiki. Ahazi pia aliwekwa katika mikono ya mfalme wa Israeli ambaye alimshinda kwa mauji makuu.
Derfor gav HERREN hans Gud ham i Arams Konges Haand, og de slog ham og tog mange af hans Folk til Fange og førte dem til Darmaskus. Ligeledes blev han givet i Israels Konges Haand, og denne tilføjede ham et stort Nederlag.
6 Kwa maana Peka mwana wa Remalia, aliwaua katika Yuda wanajeshi 120, 00 kwa siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa maana walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao.
Peka, Remaljas Søn, dræbte i Juda 120 000 Mennesker paa een Dag, lutter dygtige Krigsfolk, fordi de havde forladt HERREN, deres Fædres Gud.
7 Zikri, mtu mwenye nguvu kutoka Efraimu, akawaua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu, mwangalizi mkuu wa ikulu, na Elkana, ambaye alikuwa karibu na mfalme.
Den efraimitiske Helt Zikri dræbte Kongesønnen Ma'aseja, Paladsøversten Azrikam og Elkana, den ypperste næst Kongen.
8 Jeshsi la Israeli likachukua mateka kutoka kwa ndugu zao 200, 000 wake, wana, na mabinti. Pia wakachukua nyara nyingi, ambazo walipeleka Samaria.
Israeliterne bortførte fra deres Brødre 200 000 Hustruer, Sønner og Døtre som Fanger og fratog dem et stort Bytte, som de førte til Samaria.
9 Lakini nabii wa Yahwe alikuwapo huko, jina lake aliitwa Odedi. Alikwenda nje kukutana na jeshi likiingia Samaria. Akawaambia, “Kwa sababu Yahwe, Mungu wa babu zenu, alikuwa na hasiri na Yuda, akawatia katika mikono yenu. Lakini mmewaua katika hasira inayofika juu mbinguni.
Her boede en HERRENS Profet ved Navn Oded; han gik Hæren i Møde, da den kom til Samaria, og sagde til dem: »Fordi HERREN, eders Fædres Gud, var vred paa Juda, gav han dem i eders Haand; men I har anrettet et Blodbad iblandt dem med et Raseri, der naar til Himmelen!
10 Sasa ninyi badala ya kuwahifadhi wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu kama watumwa wenu. Lakini je hamko na hatia ya dhambi zenu zidi ya Yahwe Mungu wenu?
Og nu tænker I paa at faa Magten over Folkene fra Juda og Jerusalem og gøre dem til eders Trælle og Trælkvinder! Har I da ikke ogsaa selv nok paa Samvittigheden over for HERREN eders Gud!
11 Sasa basi, nisikilizeni: warudisheni wafubgwa, ambao mmewachukua wa ndugu zenu, kwa maana ghadhabu ya Yahwe iko juu yenu.”
Lyd derfor mig og send de Fanger tilbage, som I har gjort blandt eders Brødre, thi HERRENS glødende Vrede er over eder!«
12 Kisha baadhi ya viongozi wa watu wa Efraimu—Azaria mwana wa Yohanani, Berekia mwana wa Meshiremothi, na Yehizikia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kinyume na wale waliorudi kutoka vitani.
Da traadte nogle af Efraimiternes Overhoveder, Azarja, Johanans Søn, Berekja, Mesjillemots Søn, Hizkija, Sjallums Søn, og Amasa, Hadlajs Søn, frem for de hjemvendte Krigere
13 Wakasema kwao, “Lazimaa msiwaleta wafungwa hapa, kwa kuwa mlikusudia jambo ambalo litaleta juu yetu dhambi dhidi ya Yahwe, kuongeza dhambi juu yetu na makosa yetu, kwa maana makosa yetu ni makuu, na kuna hasira kali dhidi ya Israeli.”
og sagde til dem: »I maa ikke bringe Fangerne herhen! Thi I har i Sinde at øge vore Synder og vor Skyld ud over den Skyld, vi har over for HERREN; thi stor er vor Skyld, og glødende Vrede er over Israel!«
14 Hivyo watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na mateka mbele ya viongozi wa Israeli na kusanyiko lote
Da gav de væbnede Slip paa Fangerne og Byttet i Øversternes og hele Forsamlingens Paasyn;
15 Watu ambao walipangwa kwa majina wakanyanyuka na kuwachukua wafungwa, na kuwavika wote waliokuwa uchi miongoni mwa mateka. Wakawavika na kuwapa viatu. Wakawapa chakula wale na kunywa. Wakawahudumia majeraha yao na kuwaweka waliodhaifu juu ya punda. Wakawarudisha kwenye familia zao katika Yeriko, (Ulioitwa mji wa mitende). Kisha wakarudi Samaria.
og de ovenfor nævnte Mænd stod op og tog sig af Fangerne, gav alle de nøgne iblandt dem Klæder af Byttet, forsynede dem med Klæder og Sko, gav dem Mad og Drikke, salvede dem, lod dem, der ikke kunde gaa, ride paa Æsler og bragte dem til Jeriko, Palmestaden, hen i Nærheden af deres Brødre; derpaa vendte de tilbage til Samaria.
16 Wakati huo Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa wafalme wa Ashuru kuwaomba wamsaidie.
Paa den Tid sendte Kong Akaz Assyrerkongen Bud om Hjælp.
17 Kwa maana Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuvamia Yuda, wakachukua wafungwa.
Tilmed trængte Edomiterne ind og slog Judæerne og slæbte Krigsfanger bort.
18 Wafilisti pia wakavamia miji ya nchi ya chini na ya Negebu ya Yuda. Waliichukua Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, SoKo pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake. Wakaenda kuishi katika sehemu hizo.
Og Filisterne faldt ind i Lavlandets Byer og den judæiske Del af Sydlandet og indtog Bet-Sjemesj, Ajjalon, Gederot, Soko med Smaabyer, Timna med Smaabyer og Gimzo med Smaabyer og bosatte sig der.
19 Kwa kuwa Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi, mfalme wa Israeli; kwa maana alikuwa ametenda maovu katika Yuda na alikuwa ametenda dhambi nzito sana dhidi ya Yahwe.
Thi HERREN ydmygede Juda for Kong Akaz af Judas Skyld, fordi han havde ladet Tøjlesløshed opkomme i Juda og været troløs mod HERREN.
20 Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru, akaja kwake na akampa tabu badala ya kumpa nguvu.
Men Assyrerkongen Tillegat-Pilneser drog imod ham og bragte ham i Nød i Stedet for at hjælpe ham;
21 Kwa kuwa Ahazi aliteka nyara nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongozi, kwa ajili ya kuvitoa vitu vya thamani kwa mfalme wa Ashuru. Lakini kufanya hivyo hakukumfaidisha yeye.
thi Akaz plyndrede HERRENS Hus, og Kongens Palads og Øversternes Palads og gav det til Assyrerkongen, men det hjalp ham intet.
22 Mfalme Ahazi huyu huyu akatenda dhambi hata zaidi dhidi ya Yahwe katika muda wa mateso yake.
Og selv da Assyrerkongen bragte ham i Nød, var Kong Akaz paa ny troløs mod HERREN;
23 Kwa maana aliwatolea dhabihu mingu wa Dameski, miungu ambao walimshinda. Akasema, “Kwa sababu miungu wa mfalme wa Aramu waliwasaidia, nitawatolea sadaka ili wanisaidie.” Lakini walikuwa watesi wake na Israeli yote.
han ofrede til Darmaskus's Guder, som havde slaaet ham, idet han sagde: »Aramæerkongernes Guder har jo hjulpet dem; til dem vil jeg ofre, at de ogsaa maa hjælpe mig!« Men de blev ham og hele Israel til Fald.
24 Ahazi akazikusanya pamoja samani za nyumba ya Mungu na kuzikata vipande vipande. Akaifunga milango ya nyumba ya Yahwe na kuzitengeneza madhabahu kwa ajili yake mwenyewe katika kila kona ya Yerusalemu.
Ogsaa samlede Akaz Karrene i Guds Hus og slog dem i Stykker; og han lukkede HERRENS Hus's Porte og lavede sig Altre ved hvert et Hjørne i Jerusalem;
25 Katika kila mji wa Yuda akafanya sehemu za juu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa kwa miungu wengine. Akamfanya Yahwe, Mungu wa babu zake, akasirike.
og i hver eneste By i Juda indrettede han Offerhøje for at tænde Offerild for fremmede Guder; saaledes krænkede han HERREN, sine Fædres Gud.
26 Sasa matendo yake yaliyobaki, na njia zake zote, mwanzo na mwisho, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Hvad der ellers er at fortælle om ham og hele hans Færd fra først til sidst, staar jo optegnet i Bogen om Judas og Israels Konger.
27 Ahazi akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji, katika Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Hezekia, mwanaye, akawa mfamle katika nafasi yake.
Saa lagde Akaz sig til Hvile hos sine Fædre, og man jordede ham i Jerusalem, inde i Byen, thi man vilde ikke jorde ham i Israels Kongegrave; og hans Søn Ezekias blev Konge i hans Sted.

< 2 Nyakati 28 >