< 2 Nyakati 28 >

1 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Hakufanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi babu yake alivyokuwa amefanya.
Ahaz hi leng ahungchan chun kum 20 alhingtaan ahi, amahin kum 16 sungin Jerusalemma vai anahomin ahi. Amahin apa Davidnin ana bolbangin Pakai mitmun thildih anabol pon ahi
2 Badala yake, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli; pia alitengeneza sanamu za kusubu kwa ajila ya Mabaali.
Amahin Israel lengte chondaan nin anachonin Baal doi lim ho anasemdoh in ahi
3 Zaidi ya hayo, akafukiza uvumba katika bonde la Beni Hinomu na akawaweka watoto wake ndani ya moto, kwa mjibu wa desturi za uzinzi za watu ambao Yahwe aliwafukuza nje ya nchi zao mbele za watu wa Israeli.
Amahin hinnom chapa phaigamma chun gimnamtwi meiya analhut nammin, achate meijah anagouvin doi houna in pumgo thiltonan anamangin, Israel te hung kijotna gamma konna Pakaiin ana nodoh nam mite chonna kidah umtah chonnin ana chonnin ahi
4 Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika sehemu za juu na juu ya vilima na chini ya kila mti wenye majani mabichi.
Aman munsang dungleh, molchung dungah chuleh thingphung noi tinnah pumgo thilto ana bollin gimnamtwi analhut nammin ahi
5 Kwa hiyo Yahwe Mungu wa Ahazi, akamweka katika mikono ya mfalme wa Shamu. Waaramu wakamshinda na kuchukua kutoka kwake kundi kubwa la mateka, wakawapeleka Damesiki. Ahazi pia aliwekwa katika mikono ya mfalme wa Israeli ambaye alimshinda kwa mauji makuu.
Hitobanga achonphat ahin Pakai Pathennin Syria lengpa khutnah anapeh dohtaan ahi. Amahon ajophatnin mitamtah gal hingin ahin kaijun Damascas lang alhut taove hiche jouchun amachu Israel lengpa khutna pehlut nin aummin Ahaz in gal alaltaan mitamtah jong athiovin ahi
6 Kwa maana Peka mwana wa Remalia, aliwaua katika Yuda wanajeshi 120, 00 kwa siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa maana walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao.
Ramaliah chapa Pekah chun Judah techu nikhat sungin mihangsan cheh 120,000 athat nin ahi, ajeh chu amahon apu apateo Pakai Pathen chu anasuh mil jeh u ahi
7 Zikri, mtu mwenye nguvu kutoka Efraimu, akawaua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu, mwangalizi mkuu wa ikulu, na Elkana, ambaye alikuwa karibu na mfalme.
Mi mihattah Zichri kitipa chun lengpa chapa Maaseiah chu athatnin, khopi sunga vaihomma pang Azrikam leh lengpa dinga sepai lamkai anichanna Elkanah jong athatnin ahi
8 Jeshsi la Israeli likachukua mateka kutoka kwa ndugu zao 200, 000 wake, wana, na mabinti. Pia wakachukua nyara nyingi, ambazo walipeleka Samaria.
Israel tedinga Judah techu asopi teo ahivangin Israel sepaiten numei chapang 200,000 galhingn amannun achomdoh u thil keo tamtah toh Samaria gammah galhingin akaijun ahi
9 Lakini nabii wa Yahwe alikuwapo huko, jina lake aliitwa Odedi. Alikwenda nje kukutana na jeshi likiingia Samaria. Akawaambia, “Kwa sababu Yahwe, Mungu wa babu zenu, alikuwa na hasiri na Yuda, akawatia katika mikono yenu. Lakini mmewaua katika hasira inayofika juu mbinguni.
Ahin Oded kiti Pakai themgao pachu Samaria sepaiho komma chun achen hitin agaseije: “Veovin napu napateo Pa Pathen chu Judah te chunga alunghan jeh a amahochu nangho khutna ahin pehlut ahi, ahinlah nanghon lungkhen louhellin nathatnun apen ginnu kakom ahung lhungpeh in ahi
10 Sasa ninyi badala ya kuwahifadhi wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu kama watumwa wenu. Lakini je hamko na hatia ya dhambi zenu zidi ya Yahwe Mungu wenu?
Tunjong nanghon Judah leh Jerusalem mite chu pasal ahin numei ahiovin nasohun napansah gotaovin ahinlah nanghojong hi Pakai na Pathennu maija chonse nahilou uham?
11 Sasa basi, nisikilizeni: warudisheni wafubgwa, ambao mmewachukua wa ndugu zenu, kwa maana ghadhabu ya Yahwe iko juu yenu.”
“Tun kaseihi ngaijun nasopi tehochu galhinga namat houchu nungsolkit taovin ajeh chu nachunguvah Pakai alunghang taan ahi.
12 Kisha baadhi ya viongozi wa watu wa Efraimu—Azaria mwana wa Yohanani, Berekia mwana wa Meshiremothi, na Yehizikia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kinyume na wale waliorudi kutoka vitani.
Hichun Ephraim chate lah a miupa phabep hochu adingdoh un, Jehohanan chapa Azariah, Meshillemoth chapa Berekiah, Shallum chapa Jehizkiah, Hadlai chapa Amasa chu adingdoh un galsat hungkile hochu akimai to piovin hitin aseijun ahi
13 Wakasema kwao, “Lazimaa msiwaleta wafungwa hapa, kwa kuwa mlikusudia jambo ambalo litaleta juu yetu dhambi dhidi ya Yahwe, kuongeza dhambi juu yetu na makosa yetu, kwa maana makosa yetu ni makuu, na kuna hasira kali dhidi ya Israeli.”
Nanghon galhinga mi nahin kailutlou diu ahi: “Nanghon ichonsetnao nabelapmun galhingin mi nahin kaitaovin ahi, eihon nasatah in Pathen Israel chungah Ilunghan sah jeng taovin ahi” atiove
14 Hivyo watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na mateka mbele ya viongozi wa Israeli na kusanyiko lote
Hichun thalchoi sepai hochun amimat houleh athil chomdoh hochu khopi lamkaiho masanga chun ahin koitaovin ahi
15 Watu ambao walipangwa kwa majina wakanyanyuka na kuwachukua wafungwa, na kuwavika wote waliokuwa uchi miongoni mwa mateka. Wakawavika na kuwapa viatu. Wakawapa chakula wale na kunywa. Wakawahudumia majeraha yao na kuwaweka waliodhaifu juu ya punda. Wakawarudisha kwenye familia zao katika Yeriko, (Ulioitwa mji wa mitende). Kisha wakarudi Samaria.
Amincheh a kipanna kinganse hochu ahungding dohun thilkeo kichomdoh holeh galhinga kiman hochu ahin puidoh un akeova umhochu von avonpehun sandel asepehun anneh twidon apeovin thaojong anupehun ahi. Alhasam hochu sangan chungah atousah un hitichun jubiphung khopi Jericho – a asopihou kom geichu ahungthah un ahi. Hichea konchun Samaria a akile taove
16 Wakati huo Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa wafalme wa Ashuru kuwaomba wamsaidie.
Hichephat laichun Ahaz lengpan Assyriah lengpa chu akitho pidingin atemmin ahileh anompon ahi
17 Kwa maana Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuvamia Yuda, wakachukua wafungwa.
Ajeh chu Edom mite ahungun Judah chu ahinbulu uvin galhingin amannun akaitaovin ahi
18 Wafilisti pia wakavamia miji ya nchi ya chini na ya Negebu ya Yuda. Waliichukua Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, SoKo pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake. Wakaenda kuishi katika sehemu hizo.
Philistine tejong ahungun Judah phaicham leh lhanglam ahin bulu uvin, Beth Shemesh, Ajalon, Gederoth, Shocho thinglhang khoho chuleh Gimzo leh thinglhang kho hochu alonvuh un achenkhum taove
19 Kwa kuwa Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi, mfalme wa Israeli; kwa maana alikuwa ametenda maovu katika Yuda na alikuwa ametenda dhambi nzito sana dhidi ya Yahwe.
Ajeh chu Judah lengpa Ahaz in a mite chan asuhboipeh a Pakai douna na atohjeh a Pakaiyin Judah tehi a engbol ahi
20 Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru, akaja kwake na akampa tabu badala ya kumpa nguvu.
Assyria lengpan Ahaz hi kithopi tahsangin adouvin apangjon asugim jon ahi
21 Kwa kuwa Ahazi aliteka nyara nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongozi, kwa ajili ya kuvitoa vitu vya thamani kwa mfalme wa Ashuru. Lakini kufanya hivyo hakukumfaidisha yeye.
Hijehcun Ahaz hin houin na kon leh, khopia kon in chuleh mipi lamkai ho kon in Sana ana chomkhom min Assyria lengpa chu anapen, ahivangin aman ana kithopi dehpoi
22 Mfalme Ahazi huyu huyu akatenda dhambi hata zaidi dhidi ya Yahwe katika muda wa mateso yake.
Hahsat na akhon geija atotah vang'in Ahaz hin Pakai doumah abolbe jingin ahi
23 Kwa maana aliwatolea dhabihu mingu wa Dameski, miungu ambao walimshinda. Akasema, “Kwa sababu miungu wa mfalme wa Aramu waliwasaidia, nitawatolea sadaka ili wanisaidie.” Lakini walikuwa watesi wake na Israeli yote.
Amahin achunga galhin bolla ahinjou chuleh ahin sugenthei Assyria mite semthu pathen ho kommah pumgo thilto abollin kilhaina asemmin ahi, aman aseijin “Syria pathen hon Syria lengho akithopin ahi, hijeh chun kenjong hiche pathen ho kommahin kilhaina semleng keijong eikithopi diu ahi” ati. Ahinlah hichehin ama le amite chungah hahsatna alhunbe jon ahi
24 Ahazi akazikusanya pamoja samani za nyumba ya Mungu na kuzikata vipande vipande. Akaifunga milango ya nyumba ya Yahwe na kuzitengeneza madhabahu kwa ajili yake mwenyewe katika kila kona ya Yerusalemu.
Hiche bannahjong hin aman Pathen in na thilkeo ho jouse achu alaan asugoi sohkeijin chuin houin kotchu akhah in Jerusalem khopi muntinah doiphung atungdoh in ahi
25 Katika kila mji wa Yuda akafanya sehemu za juu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa kwa miungu wengine. Akamfanya Yahwe, Mungu wa babu zake, akasirike.
Judah gamma khopi leh khopi neo ho munjousea semthu pathen houna atungdoh in gimnamtwi ho ahalnammin gamdanga pathen hochu ahou taan ahi, hitichun aman apu apate Pakai Pathen lung hanna chu akiloilut khum taan ahi
26 Sasa matendo yake yaliyobaki, na njia zake zote, mwanzo na mwisho, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Hitichun avaihom sunga anatoh athilbol jouse chu apatna patna ajona gei Judah leh Israel lengho thusim bua akijih lutsoh keijin ahi
27 Ahazi akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji, katika Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Hezekia, mwanaye, akawa mfamle katika nafasi yake.
Hitia Ahaz lengpahi athitaan ahileh lengte lhanna vuilouvin Jerusalem khopi sunga anavuitaove. Achapa Hezekiah chu apa khellin leng achangtaan ahi

< 2 Nyakati 28 >