< 2 Nyakati 27 >

1 Yothamu alikuwa na umri wa mika ishirini na mitano alipoanza kutawala; alitawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yerusha; alikuwa binti Sadoki.
Сын двадесяти и пяти лет бяше Иоафам, егда царствовати нача, и шестьнадесять лет царствова во Иерусалиме. Имя же матере его Иеруса, дщи Садокова.
2 Akafanya yaliyomema katika macho ya Yawe, akiufuta mfano wa baba yake, Uzia, katika mabo yote. Pia alijiepusha kuingia katika hekalu la Yahwe. Lakini watu bado walikuwa wanaenda katika njia za uovu.
И сотвори правое пред Господем по всем, яже сотвори Озиа отец его, обаче не вниде в церковь Господню, и еще людие согрешаху.
3 Akalijenga tena lango la juu la nyumba ya Yahwe, na juu ya kilima cha Ofeli akajenga sana.
Той созда врата дому Господня высокая, и на стене Офли созда многа:
4 Vilevile alijenga miji katika kilima cha Yuda, na katika mistu alijenga ngome na minara.
и грады созда на горах Иудиных, и в дубравех дворы и столпы.
5 Pia alipigana na mfalme wa watu wa Amoni na akawashinda. Katika mwaka huo huo, watu wa Amoni walimpa talanta mia moja za fedha, kori elfu kumi za ngano, kori elfu kumi za shayiri. Watu wa Amoni wakampa hivyo hivyo katika mwaka wa pili na wa tatu.
И той ополчися противу царя сынов Аммоних и одоле его: и даяху ему сынове Аммони на всякое лето по сту талант сребра и десять тысящ кор (мер) пшеницы и десять тысящ ячменя: сия ему приношаше царь сынов Аммоних на лето, в первое лето и второе и третие.
6 Kwa hiyo Yothamu akawa na nguvu sana kwa sababu alitembea imara mbele za Yahwe Mungu wake.
И укрепися Иоафам, яко уготова пути своя пред Господем Богом своим.
7 Kwa mambo mengine kuhusu Yothamu, vita vyake vyote, na njia zake zote, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.
Прочая же словеса Иоафамля, и брань, и деяния его, се, писана в книзе царей Иудиных и Израилевых.
8 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi na sita kataika Yerusalemu.
Сын двадесяти и пяти лет бяше, егда царствовати нача, и шестьнадесять лет царствова во Иерусалиме.
9 Yothamu akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji wa Daudi. Ahazi, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Успе же Иоафам со отцы своими и погребен бысть во граде Давидове. И воцарися Ахаз сын его вместо его.

< 2 Nyakati 27 >