< 2 Nyakati 27 >

1 Yothamu alikuwa na umri wa mika ishirini na mitano alipoanza kutawala; alitawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yerusha; alikuwa binti Sadoki.
[was] a son of Twenty and five year[s] Jotham when became king he and six-teen year[s] he reigned in Jerusalem and [the] name of mother his [was] Jerusha [the] daughter of Zadok.
2 Akafanya yaliyomema katika macho ya Yawe, akiufuta mfano wa baba yake, Uzia, katika mabo yote. Pia alijiepusha kuingia katika hekalu la Yahwe. Lakini watu bado walikuwa wanaenda katika njia za uovu.
And he did the right in [the] eyes of Yahweh according to all that he had done Uzziah father his only not he went into [the] temple of Yahweh and yet the people [were] behaving corruptly.
3 Akalijenga tena lango la juu la nyumba ya Yahwe, na juu ya kilima cha Ofeli akajenga sana.
He he built [the] gate of [the] house of Yahweh upper and on [the] wall of Ophel he built to abundance.
4 Vilevile alijenga miji katika kilima cha Yuda, na katika mistu alijenga ngome na minara.
And cities he built in [the] hill country of Judah and in the wooded areas he built fortresses and towers.
5 Pia alipigana na mfalme wa watu wa Amoni na akawashinda. Katika mwaka huo huo, watu wa Amoni walimpa talanta mia moja za fedha, kori elfu kumi za ngano, kori elfu kumi za shayiri. Watu wa Amoni wakampa hivyo hivyo katika mwaka wa pili na wa tatu.
And he he waged war with [the] king of [the] people of Ammon and he prevailed over them and they gave to him [the] people of Ammon in the year that one hundred talent[s] of silver and ten thousand cors wheat and barley ten thousand this they brought to him [the] people of (Ammon. *LBH(a)*) And in the year second and third.
6 Kwa hiyo Yothamu akawa na nguvu sana kwa sababu alitembea imara mbele za Yahwe Mungu wake.
And he strengthened himself Jotham for he had directed ways his before Yahweh God his.
7 Kwa mambo mengine kuhusu Yothamu, vita vyake vyote, na njia zake zote, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.
And [the] rest of [the] matters of Jotham and all wars his and ways his there they [are] written on [the] scroll of [the] kings of Israel and Judah.
8 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi na sita kataika Yerusalemu.
A son of twenty and five year[s] he was when became king he and six-teen year[s] he reigned in Jerusalem.
9 Yothamu akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji wa Daudi. Ahazi, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
And he lay down Jotham with ancestors his and people buried him in [the] city of David and he became king Ahaz son his in place of him.

< 2 Nyakati 27 >