< 2 Nyakati 27 >
1 Yothamu alikuwa na umri wa mika ishirini na mitano alipoanza kutawala; alitawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yerusha; alikuwa binti Sadoki.
Jotham [is] a son of twenty-five years in his reigning, and he has reigned sixteen years in Jerusalem, and the name of his mother [is] Jerushah daughter of Zadok.
2 Akafanya yaliyomema katika macho ya Yawe, akiufuta mfano wa baba yake, Uzia, katika mabo yote. Pia alijiepusha kuingia katika hekalu la Yahwe. Lakini watu bado walikuwa wanaenda katika njia za uovu.
And he does that which is right in the eyes of YHWH, according to all that his father Uzziah did; only, he has not come into the temple of YHWH; and again the people are doing corruptly.
3 Akalijenga tena lango la juu la nyumba ya Yahwe, na juu ya kilima cha Ofeli akajenga sana.
He has built the Upper Gate of the house of YHWH, and in the wall of Ophel he has built abundantly;
4 Vilevile alijenga miji katika kilima cha Yuda, na katika mistu alijenga ngome na minara.
and he has built cities in the hill-country of Judah, and he has built palaces and towers in the forests.
5 Pia alipigana na mfalme wa watu wa Amoni na akawashinda. Katika mwaka huo huo, watu wa Amoni walimpa talanta mia moja za fedha, kori elfu kumi za ngano, kori elfu kumi za shayiri. Watu wa Amoni wakampa hivyo hivyo katika mwaka wa pili na wa tatu.
And he has fought with the king of the sons of Ammon, and prevails over them, and the sons of Ammon give to him in that year one hundred talents of silver, and ten thousand cors of wheat, and ten thousand of barley; the sons of Ammon have returned this to him both in the second year and in the third.
6 Kwa hiyo Yothamu akawa na nguvu sana kwa sababu alitembea imara mbele za Yahwe Mungu wake.
And Jotham strengthens himself, for he has prepared his ways before his God YHWH.
7 Kwa mambo mengine kuhusu Yothamu, vita vyake vyote, na njia zake zote, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.
And the rest of the matters of Jotham, and all his battles, and his ways, behold, they are written on the scroll of the kings of Israel and Judah.
8 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi na sita kataika Yerusalemu.
He was a son of twenty-five years in his reigning, and he has reigned sixteen years in Jerusalem;
9 Yothamu akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji wa Daudi. Ahazi, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
and Jotham lies with his fathers, and they bury him in the City of David, and his son Ahaz reigns in his stead.