< 2 Nyakati 26 >

1 Watu wote wa Yuda wakamchukua Uzia, ambaye alikuwa na aumri wa mika kumi na sita, na wakamfanya mfalme katika nafasi ya baba yake Amazia.
Tout le peuple de Juda prit Ozias, qui était âgé de seize ans; et on l’établit roi à la place de son père, Amasias.
2 Ndiye aliuyeijenga tena Elathi na kuurejesha kwa Yuda. Baada ya hapo mfalme akalala pamoja na babu zake.
Ozias rebâtit Elath et la ramena à Juda, après que le roi fut couché avec ses pères.
3 Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala. Akatawala miaka ishirini na mabili katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yekolia; alikuwa wa Yerusalemu.
Ozias avait seize ans lorsqu’il devint roi, et il régna cinquante-deux ans à Jérusalem. Sa mère se nommait Jéchélia, de Jérusalem.
4 Akafanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, akiufuata mfano wa baba yake, katika kila jamabo.
Il fit ce qui est droit aux yeux de Yahweh, selon tout ce qu’avait fait Amasias, son père.
5 Alijitoa kumtafuta Mungu katiaka siku za Zekaria, ambaye alimpa maelekezo kwa ajili ya kumtii Mungu. Kadri alivyomtafuta Yaahwe, Mungu alimfanikisha.
Il fut disposé à honorer Dieu pendant la vie de Zacharie, qui lui apprenait à craindre Dieu; et dans le temps qu’il honorait Yahweh, Dieu le fit prospérer.
6 Uzia akaenda na kupigana zidi ya Wafilisti. Akaubomoa ukuta wa mji wa Gathi, Yabne, na Ashdodi; akajenga miji katika nchi ya Ashdodi na miongoni mwa Wafilisti.
Il partit en guerre contre les Philistins; il renversa le mur de Geth, le mur de Jabnia et le mur d’Azot, et construisit des villes dans le territoire d’Azot et parmi les Philistins.
7 Mungu aakaamsaidia zidi ya Wafilist, zidi ya Waarabu waliokuwa wakiishi Gur - baali, na zidi ya Wameuni.
Dieu l’aida contre les Philistins, contre les Arabes qui habitaient à Gur-Baal, et contre les Maonites.
8 Waamoni wakalipa kodi kwa Uzia, na umaarufu wake ukaenea, hata kufika maingilio ya Misiri, kwa sababu alikuwa ameanza kuwa maarufu.
Les Ammonites faisaient des présents à Ozias, et sa renommée parvint jusqu’à l’entrée de l’Égypte, car il devint très puissant.
9 Zaidi ya hayo, Uzia akajenga minara katika Yerusalemu katika kona ya Lango, kwenye Lango la Bonde, na pa kwenye kona ya ukuta, na akavizungushia ngome.
Ozias bâtit des tours à Jérusalem sur la porte de l’angle, sur la porte de la vallée et sur l’angle, et il les fortifia.
10 Akajenga minara ya ulinzi katika nyika na akachimba mabwawa, kwa maana alikuwa na ng'ombe wengi, katika visiwa vya chini na katika nchi tambarare. Alikuwa na wakulima na wapandaji wa zabibu katika mwinuko wa nchi na katika mashamba yenye rutuba, kwa maana alipenda kulima.
Il bâtit des tours dans le désert, et il creusa beaucoup de citernes, parce qu’il avait là de nombreux troupeaux, ainsi que dans la Séphéla et sur les plateaux, et des laboureurs et des vignerons dans les montagnes et au Carmel, car il aimait l’agriculture.
11 Zaidi ya hayo, Uzia alikuwa na jeshi la wanaume wa kupigana vita ambao walienda vitani katika makundi ambayo idadi yake ilikuwa imehesabiwa na Yeieli, mwandishi. na Maaseya, afisa, chini ya mamlaka ya Hanania, mmoja wa maamri jeshi wa mfalme.
Ozias avait une armée de guerriers qui allaient au combat par troupes, comptées d’après leur dénombrement par le secrétaire Jéhiel et le commissaire Maasias, sous les ordres de Hananias, l’un des chefs du roi.
12 Jumla ya wakuu wa nyumba za mababu, watu wa kupigana vita, walikuwa 2, 600.
Le nombre total des chefs de maisons, vaillants guerriers, était de deux mille six cents.
13 Chini ya mkono wao kulikuwa na jeshi la watu 307, 500 ambao walifanya vita kwa nguvu ili kumsaidia mfalme idi ya maadui.
Ils commandaient à une armée de trois cent sept mille cinq cents hommes, qui faisaient la guerre avec une grande puissance, pour soutenir le roi contre l’ennemi.
14 Uzia akaandaa kwa ajili yao—kwa ajili ya jeshi lote — ngao, mikuki, chapeo, deraya za majini, nyuta, na mawe ya kurusha.
Ozias leur procura, à toute cette armée, des boucliers, des lances, des casques, des cuirasses, des arcs et des frondes pour lancer des pierres.
15 Katka Yerusalemu alijenga mitambo, iliyobuniwa na watu wenye ujuzi, ili iwe juu ya minara na juu ya buruji, kwa ajili ya kurushia mishale na mawe makaubwa. Umaarufu wake ukaenea hadi nchi za mbali, kwa maana alisaidiwa sana hadi alipokuwa na ngavu sana.
Il fit construire à Jérusalem des machines inventées par un ingénieur, et destinées à être placées sur les tours et sur les angles des murs, pour lancer des flèches et de grosses pierres. Sa renommée s’étendait jusqu’au loin, car il fut merveilleusement aidé, jusque là qu’il devint puissant.
16 Lakini Uzia alipokuwa amekuwa na nguvu nyingi, moyo wake ulijiinua akatenda kwa uovu; akafanya makosa zidi ya Yahwe, Mungu wake, kwa maana alienda kwenye nyumba ya Yahwe kwa ajili ya kufukiza uvumba juu ya madhabahu ya kufukizia.
Mais lorsqu’il fut devenu puissant, son cœur s’éleva jusqu’à la ruine. Péchant contre Yahweh, son Dieu, il entra dans le temple de Yahweh pour brûler des parfums sur l’autel des parfums.
17 Azaria, kuhani, akamfuata, na pamoja naye makuhanai themanini wa Yahwe, ambao walikuwa watu wenye ujasiri.
Le prêtre Azarias entra après lui, avec quatre-vingts prêtres de Yahweh, hommes courageux;
18 Walimzuia Uzia, mfalme, na wakasema kwake, “Siyo jukumu lako, Uzia, kumtolea Yahwe uvumba, bali ni kazi ya makuhani, wana wa Haruni, amabao wametengwa kwa ajili ya kutoa sadaka za uvumba. Toka nje ya sehemu takatifu, kwa maana huna uaminifu na hautaheshimiwa na Yahwe Mungu.”
ils s’opposèrent au roi Ozias et lui dirent: « Ce n’est pas à toi, Ozias, d’offrir des parfums à Yahweh, mais aux prêtres, fils d’Aaron, qui ont été consacrés pour brûler des parfums. Sors du sanctuaire, car tu as péché, et cela ne tournera pas à ton honneur devant Yahweh Dieu. »
19 Kisha Uzia akakasirika. Alikuwa ameshikilia chetezo mkononi kwa ajili ya kufukiza uvumba. Wakati alipowaghadhabikia makuhani, ukoma ukatokea juu ya uso wake mbele ya makuhani katika nyumba ya Yahwe, pembeni mwa madhabahu ya uvumba.
Ozias, qui tenait un encensoir à la main pour offrir des parfums, fut saisi de colère et, comme il s’irritait contre les prêtres, la lèpre se leva sur son front, en présence des prêtres, dans la maison de Yahweh, devant l’autel des parfums.
20 Azaria kuhani mkuu na makuhani wote wakamwanagalia, na, tazama, alikuwa amepatwa ukoma juu ya uso wake. Walimwondoa pale haraka. Kwa hakika, aliharakisha kwenda nje, kwa maana Yahwe alikuwa amempiga.
Le grand prêtre Azarias et tous les prêtres s’étant tournés vers lui, voici qu’il avait la lèpre au front. Ils le mirent précipitamment dehors, et lui-même se hâta de sortir, parce que Yahweh l’avait frappé.
21 Uzia, mfalme, alikuwa mwenye ukoma hadi siku ya kufa kwake na aliishi katika nyumba ya kutengwa tangu alipokuwa mwenye ukoma, kwa maan alitengwa na nyumba ya Yahwe. Yothamu, mwanaye, alikuwa mkuu wa anyumba ya mfalme na aliwatawala watu wa nchi.
Le roi Ozias fut lépreux jusqu’au jour de sa mort, et il demeura dans une maison écartée, comme lépreux, car il fut exclu de la maison de Yahweh. Joatham, son fils, était à la tête de la maison du roi, jugeant le peuple du pays.
22 Mambo mengine kuhusu Uzia, mwanzo na mwisho, yako katika kile ambacho Isaya, mwana wa Amozi, nabii, aliandika.
Le reste des actes d’Ozias, les premiers et les derniers, Isaïe, fils d’Amos, le prophète les a écrits.
23 Kwa hiyo Uzia akalala pamoja na babu zake; walimzka pamoja na babu zake katika uwanja wa maziko wa Mfalme, kwa maana walisema, “Ni mwenye ukoma”. Yothamu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Ozias se coucha avec ses pères dans le champ de la sépulture des rois, car on disait: « Il est lépreux. » Joatham, son fils, régna à sa place.

< 2 Nyakati 26 >