< 2 Nyakati 25 >
1 Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
Amazjasz miał dwadzieścia pięć lat, kiedy zaczął królować, i królował dwadzieścia dziewięć lat w Jerozolimie. Jego matka miała na imię Jehoaddan, [była] z Jerozolimy.
2 Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
I czynił to, co dobre w oczach PANA, ale niedoskonałym sercem.
3 Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
I kiedy jego królestwo było utwierdzone, zabił te spośród swoich sług, które zabiły króla, jego ojca.
4 Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
Ich synów jednak nie zabił. [Postąpił] tak, jak jest napisane w prawie, w Księdze Mojżesza, gdzie PAN dał nakaz, mówiąc: Nie umrą ojcowie za synów ani synowie nie umrą za ojców, ale każdy umrze za swój własny grzech.
5 Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
Wtedy Amazjasz zgromadził lud Judy i ustanowił nad nim dowódców nad tysiącami i setników, według ich rodów, dla całej Judy i Beniamina. Następnie policzył tych, [którzy mieli] dwadzieścia lat i więcej, a było ich trzysta tysięcy wyborowych mężczyzn gotowych do boju, uzbrojonych w dzidę i tarczę.
6 Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
Najął też z Izraela sto tysięcy dzielnych wojowników za sto talentów srebra.
7 Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
Lecz przybył do niego mąż Boży i powiedział: Królu, niech wojsko Izraela nie wyrusza z tobą, bo PAN nie jest z Izraelem, z nikim spośród synów Efraima.
8 Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
Ale jeśli [chcesz], idź i umocnij się do bitwy, a Bóg powali cię przed wrogiem. Bóg bowiem ma moc i wspomagać, i przywieść do upadku.
9 Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
Wtedy Amazjasz zapytał męża Bożego: A co mam czynić ze stoma talentami, które dałem wojsku Izraela? Mąż Boży odpowiedział: PAN może ci dać o wiele więcej niż to.
10 Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
Oddzielił więc Amazjasz to wojsko, które przybyło do niego z Efraima, aby wróciło do siebie. I rozgniewali się bardzo na Judę, i wrócili do siebie w wielkim gniewie.
11 Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
Lecz Amazjasz umocnił się, wyprowadził swój lud i nadciągnął do Doliny Soli, i pobił dziesięć tysięcy synów Seiru.
12 Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
A synowie Judy uprowadzili dziesięć tysięcy żywych, przyprowadzili ich na szczyt skały i zrzucili stamtąd, tak że się wszyscy porozbijali.
13 Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
Żołnierze wojska zaś, których Amazjasz odesłał, aby nie ruszyli z nim na wojnę, wtargnęli do miast Judy, od Samarii aż do Bet-Choron. Zabili w nich trzy tysiące [ludzi] i zebrali wielką zdobycz.
14 Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
Kiedy Amazjasz wrócił po porażce Edomitów, przyprowadził [ze sobą] bogów synów Seiru i postawił ich jako swoich bogów. Kłaniał się przed nimi i palił im kadzidło.
15 Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
PAN więc rozgniewał się bardzo na Amazjasza i posłał do niego proroka, który mu powiedział: Czemu szukasz bogów [tego] ludu, którzy nie potrafili wyrwać swojego ludu z twojej ręki?
16 Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
A gdy on do niego mówił, [król] mu powiedział: Czy wybrano cię doradcą króla? Przestań. Po co mają cię zabić? Prorok więc zaprzestał, ale dodał: Wiem, Bóg zamierza cię zniszczyć za to, że to uczyniłeś i nie posłuchałeś mojej rady.
17 Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
Wtedy Amazjasz, król Judy, naradził się i posłał [sługę] do Joasza, syna Jehoachaza, syna Jehu, króla Izraela, ze słowami: Przyjdź i spójrzmy sobie w oczy.
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
A Joasz, król Izraela, posłał do Amazjasza, króla Judy, odpowiedź: Oset w Libanie posłał do cedru w Libanie prośbę: Daj swoją córkę mojemu synowi za żonę. Wtedy przechodził dziki zwierz z Libanu i podeptał oset.
19 Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
Myślisz: Oto pobiłem Edomitów – dlatego uniosło się twoje serce, by się chlubić. Siedź teraz w domu. Po co masz się narażać na nieszczęście, abyś upadł ty i Juda z tobą?
20 Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
Ale Amazjasz nie posłuchał, a [było] to od Boga, aby ich wydać w ręce [wrogów] za to, że szukali bogów Edomu.
21 Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
Wyruszył więc Joasz, król Izraela, i spojrzeli sobie w oczy, on i Amazjasz, król Judy, w Bet-Szemesz, które [należy do] Judy.
22 Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
I Juda został rozgromiony przez Izraela, i każdy uciekał do swojego namiotu.
23 Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
A Joasz, król Izraela, pojmał w Bet-Szemesz Amazjasza, króla Judy, syna Joasza, syna Jehoachaza, i przyprowadził go do Jerozolimy, gdzie zburzył mur Jerozolimy od Bramy Efraima aż do Bramy Narożnej – na czterysta łokci.
24 Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
I [zabrał] całe złoto i srebro oraz wszystkie naczynia, które znajdowały się w domu Bożym u Obed-Edoma i w skarbcach domu królewskiego, a także zakładników, i wrócił do Samarii.
25 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
Amazjasz, syn Joasza, król Judy, żył jeszcze piętnaście lat po śmierci Joasza, syna Jehoachaza, króla Izraela.
26 Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
A pozostałe dzieje Amazjasza, od pierwszych do ostatnich, czy nie są zapisane w księdze królów Judy i Izraela?
27 Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
A od czasu, kiedy Amazjasz odwrócił się od PANA, uknuli przeciwko niemu spisek w Jerozolimie. Uciekł więc do Lakisz, lecz wysłali za nim [pościg] do Lakisz i tam go zabili.
28 Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.
Potem przywieźli go na koniach i pogrzebali go z jego ojcami w mieście Judy.