< 2 Nyakati 25 >
1 Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
Amatsia avait vingt-cinq ans lorsqu'il devint roi, et il régna vingt-neuf ans à Jérusalem. Le nom de sa mère était Joaddan, de Jérusalem.
2 Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
Il fit ce qui est droit aux yeux de l'Éternel, mais pas avec un cœur parfait.
3 Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
Et lorsque la royauté fut établie en sa faveur, il tua ses serviteurs qui avaient tué le roi son père.
4 Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
Mais il ne fit pas mourir leurs enfants, et il agit selon ce qui est écrit dans la loi, dans le livre de Moïse, comme Yahvé l'a ordonné, en disant: « Les pères ne mourront pas pour les enfants, et les enfants ne mourront pas pour les pères; mais chacun mourra pour son propre péché. »
5 Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
Amatsia rassembla Juda et les classa selon les maisons de leurs pères, sous les chefs de milliers et les chefs de centaines, tout Juda et Benjamin. Il les compta depuis l'âge de vingt ans et au-dessus, et il trouva qu'il y avait trois cent mille hommes d'élite, capables d'aller à la guerre, sachant manier la lance et le bouclier.
6 Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
Il loua aussi cent mille hommes vaillants d'Israël pour cent talents d'argent.
7 Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
Un homme de Dieu vint lui dire: « O roi, ne laisse pas l'armée d'Israël aller avec toi, car Yahvé n'est pas avec Israël, avec tous les enfants d'Ephraïm.
8 Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
Mais si tu veux y aller, agis, et sois fort pour la bataille. Dieu vous renversera devant l'ennemi, car Dieu a le pouvoir de secourir et de renverser. »
9 Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
Amatsia dit à l'homme de Dieu: « Mais que ferons-nous pour les cent talents que j'ai donnés à l'armée d'Israël? » L'homme de Dieu répondit: « Yahvé est capable de te donner beaucoup plus que cela. »
10 Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
Alors Amatsia sépara l'armée qui était venue à lui d'Ephraïm, pour la renvoyer chez elle. C'est pourquoi leur colère s'enflamma contre Juda, et ils retournèrent chez eux avec fureur.
11 Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
Amatsia prit courage, conduisit son peuple et alla dans la vallée du sel; il frappa dix mille hommes des fils de Séir.
12 Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
Les enfants de Juda en emportèrent dix mille vivants, les amenèrent au sommet du rocher et les jetèrent du haut du rocher, de sorte qu'ils furent tous brisés en morceaux.
13 Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
Mais les hommes de l'armée qu'Amatsia avait renvoyés pour ne pas aller avec lui au combat, tombèrent sur les villes de Juda, depuis Samarie jusqu'à Beth Horon, en battirent trois mille et firent un grand pillage.
14 Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
Après qu'Amatsia fut revenu du massacre des Édomites, il fit venir les dieux des fils de Séir et les érigea en dieux, il se prosterna devant eux et leur offrit des parfums.
15 Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
La colère de Yahvé s'enflamma contre Amatsia, et il lui envoya un prophète qui lui dit: « Pourquoi as-tu recherché les dieux de ces peuples qui n'ont pas délivré leur propre peuple de ta main? »
16 Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
Comme il parlait avec lui, le roi lui dit: « T'avons-nous fait un des conseillers du roi? Arrête! Pourquoi devrais-tu être frappé? » Le prophète s'arrêta et dit: « Je sais que Dieu a décidé de te détruire, parce que tu as fait cela et que tu n'as pas écouté mes conseils. »
17 Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
Alors Amatsia, roi de Juda, consulta ses conseillers et envoya dire à Joas, fils de Joachaz, fils de Jéhu, roi d'Israël: « Viens! Regardons-nous en face. »
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
Joas, roi d'Israël, envoya dire à Amatsia, roi de Juda: « Le chardon du Liban envoya dire au cèdre du Liban: « Donne ta fille pour femme à mon fils. Alors une bête sauvage qui était au Liban passa et piétina le chardon.
19 Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
Tu te dis que tu as frappé Édom, et ton cœur te pousse à te glorifier. Maintenant, reste chez toi. Pourquoi te mêler à la détresse, pour que tu tombes, toi et Juda avec toi? ».
20 Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
Mais Amatsia ne voulut pas écouter, car c'était Dieu qui voulait les livrer entre les mains de leurs ennemis, parce qu'ils avaient recherché les dieux d'Édom.
21 Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
Joas, roi d'Israël, monta, et lui et Amatsia, roi de Juda, se regardèrent en face à Beth Shemesh, qui appartient à Juda.
22 Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
Juda fut vaincu par Israël, et chacun s'enfuit dans sa tente.
23 Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
Joas, roi d'Israël, prit à Beth Shemesh Amatsia, roi de Juda, fils de Joas, fils de Joachaz, et l'amena à Jérusalem. Il abattit la muraille de Jérusalem depuis la porte d'Ephraïm jusqu'à la porte de l'angle, soit quatre cents coudées.
24 Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
Il prit tout l'or et l'argent, tous les objets qui se trouvaient dans la maison de Dieu avec Obed-Edom, les trésors de la maison du roi et les otages, et il retourna à Samarie.
25 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
Amatsia, fils de Joas, roi de Juda, vécut quinze ans après la mort de Joas, fils de Joachaz, roi d'Israël.
26 Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
Le reste des actes d'Amatsia, les premiers et les derniers, ne sont-ils pas écrits dans le livre des rois de Juda et d'Israël?
27 Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
Depuis qu'Amatsia s'est détourné de Yahvé, on a formé une conspiration contre lui à Jérusalem. Il s'enfuit à Lakis, mais ils le poursuivirent à Lakis et l'y tuèrent.
28 Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.
On le fit monter sur des chevaux et on l'enterra avec ses pères dans la ville de Juda.