< 2 Nyakati 24 >
1 Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala; akatawala kwa mika arobaini katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Sibia wa Beer-sheba.
Joas était âgé de sept ans quand il devint roi, et il régna quarante ans à Jérusalem; sa mère s'appelait Tsibia, de Béer-Shéba.
2 Yoashi alifanya yaliyo mema katika macho ya Yahwe siku zote za Yehoyada, yule kuhani.
Joas fit ce qui est droit aux yeux de l'Éternel, pendant toute la vie de Jéhojada, le sacrificateur.
3 Yehoyada akajichukulia wake wawili kwa ajili yake, na akawa baba wa wana na mabinti.
Et Jéhojada lui donna deux femmes, dont il eut des fils et des filles.
4 Ikawa baada ya haya, kwamba Yoashi aliamua kuitengeneza nyumba ya Yahwe.
Après cela Joas eut la pensée de réparer la maison de l'Éternel.
5 Akawakusanya pamoja makuhani na Walawi, na kusema kwao, “Nendeni nje kila mwaka kwenye miji ya Yuda na kukusanya fedha kutoka Israeli yote kwa ajili ya kuikarabati nyumba ya Mungu wenu. Hakikisheni kwamba mnaanza haraka.” Walawi hawakufanya kitu kwanza.
Il assembla donc les sacrificateurs et les Lévites, et leur dit: Allez par les villes de Juda, et amassez de l'argent par tout Israël, pour réparer la maison de votre Dieu d'année en année, et hâtez cette affaire. Mais les Lévites ne se hâtèrent point.
6 Kwa hiyo mfalme akamuita Yehoyada, yule kuhani, na kumwambia, “Kwa nini hukuwaagiza Walawi kuleta kutoka Yud na Yerusalemu kodo iliyoagizwa na Musa mtumishi wa Yahwe na kusanyiko la Israeli, kwa ajili ya amri za hema ya agano?”
Alors le roi appela Jéhojada, leur chef, et lui dit: Pourquoi n'as-tu pas veillé à ce que les Lévites apportassent, de Juda et de Jérusalem, l'impôt que Moïse, serviteur de l'Éternel, mit sur l'assemblée d'Israël, pour le tabernacle du témoignage?
7 Kwa maana wana wa Athalia, yule mwanamke muovu, walikuwa wameivunja nyumba ya Mungu na kuwapa Mabaali vitu vyote vitakatifu vya nyumba ya Yahwe.
Car l'impie Athalie et ses enfants ont ravagé la maison de Dieu; et même ils ont employé pour les Baals toutes les choses consacrées à la maison de l'Éternel.
8 Kwa hiyo mfalme aliamuru, na wakatengeneza kasha na kulileta nje kwenye lango kwenye nyumba ya Yahwe.
Et le roi ordonna qu'on fît un coffre, et qu'on le mît à la porte de la maison de l'Éternel, en dehors.
9 Kisha wakafanya tangazo katika Yuda na Yerusalemu, kwa ajili ya watu kuleta kwa Yahwe kodi aliyoiagiza Musa mtumishi wa Mungu juu ya Israeli jangwani.
Puis on publia dans Juda et dans Jérusalem, qu'on apportât à l'Éternel l'impôt mis par Moïse, serviteur de Dieu, sur Israël dans le désert.
10 Viongozi wote na watu wote wakafurahia na wakaleta fedha na kuiweka kwenye kasha hadi walipomaliza kulijaza.
Tous les chefs et tout le peuple s'en réjouirent, et ils apportèrent leur tribut, et jetèrent dans le coffre, jusqu'à ce qu'il fût plein.
11 Ikatokea kwamba kila lilipoletwa kasha kwa mikono ya Walawi kwa wakuu wa mfalme, na kila walipoona kwamba kulikuwa na fedha nyingi sana ndani yake, waandishi wa mfalme na mkuu wa kuhani mkuu walikuja, kulihamishia fedha kasha, na kulirudisha sehemu yake. Walifanya hivyo siku baada siku, wakikusanya kiasi kikubwa cha fedha.
Or, quand c'était le moment d'apporter le coffre à l'inspection du roi, par l'entremise des Lévites, et que ceux-ci voyaient qu'il y avait beaucoup d'argent, un secrétaire du roi et un commissaire du principal sacrificateur venaient et vidaient le coffre; puis ils le rapportaient et le remettaient à sa place. Ils faisaient ainsi jour après jour, et ils recueillaient de l'argent en abondance.
12 Mfalme na Yehoyada akawapa zile fedha wale waliofanya kazi ya kuhudumu katika nyumba ya Yahwe, Watu hawa waliwaajiri waashi na maseremala ili waijenge nyumba ya Yahwe, na pia wale waliofanya kazi katika chuma na shaba.
Le roi et Jéhojada le donnaient à ceux qui étaient chargés de l'ouvrage pour le service de la maison de l'Éternel, et ceux-ci louaient des tailleurs de pierres et des charpentiers pour réparer la maison de l'Éternel, et aussi des ouvriers en fer et en airain, pour réparer la maison de l'Éternel.
13 Kwa hiyo wafanya kazi wakafanya kazi, na kazi ya kukarabati ikasonga mbele mikononi mwao; waakaisimamisha nyumba ya Mungu katika hali yake halisi na kuiimarisha.
Ceux qui étaient chargés de l'ouvrage travaillèrent donc, et par leurs soins, l'œuvre fut réparée; de sorte qu'ils rétablirent la maison de Dieu en son état, et la consolidèrent.
14 Walipomaliza, wakaleta fedha zilizobaki kwa mfalme na Yehoyada. Fedha hizo zilitumika kutengenezea samani kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vyombo vya huduma na kutolea dhabihu—vijiko na vyombo vya dhahabu na fedha. Wakatoa sadaka za kuteketezwa bila kukomaa katika nyumba ya Yahwe kwa siku zote za Yehoyada.
Lorsqu'ils eurent achevé, ils apportèrent devant le roi et devant Jéhojada le reste de l'argent, dont il fit faire des ustensiles pour la maison de l'Éternel, des ustensiles pour le service et pour les holocaustes, des coupes et d'autres ustensiles d'or et d'argent. Et on offrit continuellement des holocaustes dans la maison de l'Éternel, tant que vécut Jéhojada.
15 Yehoyada akazeeka na alaaikuwa amejaa siku, na kisha akafa; alikuwa na umri wa mika 130 alipokufa.
Or Jéhojada devint vieux et rassasié de jours, et il mourut; il était âgé de cent trente ans quand il mourut.
16 Wakamzika katika aamji wa Daudi miongoni mwa wafalme, kwa sababu alikuwa amefanya mema katika Israeli, kwa Mungu, na kwa ajili ya nyumba ya Mungu,
On l'ensevelit dans la cité de David avec les rois; car il avait fait du bien à Israël, et à l'égard de Dieu et de sa maison.
17 Sasa baada ya kifo cha Yehoyada, kiongozi wa Yuda akaja na kutoa heshima kwa mfalme. Kisha mfalme akawasikiliza.
Mais, après que Jéhojada fut mort, les principaux de Juda vinrent et se prosternèrent devant le roi; alors le roi les écouta.
18 Wakaiacha nyumba ya Yahwe, Mungu wa babu zao, na kuwaabudu miungu na maashera na sanamu. Ghadhabu ya Mungu ikaja juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababau ya hili kosa lao.
Et ils abandonnèrent la maison de l'Éternel, le Dieu de leurs pères, et ils servirent les emblèmes d'Ashéra et les idoles; et la colère de l'Éternel fut sur Juda et sur Jérusalem, parce qu'ils s'étaient ainsi rendus coupables.
19 Bado akatuma manabii kwao ili kuwaleta tena kwake, Yahwe, manabii wakatangaza juu ya watu, lakini walipuuza kusikiliza.
Et l'Éternel envoya parmi eux, pour les faire retourner à lui, des prophètes qui témoignèrent contre eux; mais ils ne voulurent point les écouter.
20 Roho wa Mungu akaja juu ya Zekaria mwana wa Yehoyada, yule kuhani; Zekaria akasimama juu ya watu na kusema kwao, “Mungu anasema hivi: Kwa nini mnazivunja amri za Yahwe, ili kwamba msifanikiwe? Kwa kuwa mmemsahau Yahwe, pia amewasahau ninyi.”
Alors l'Esprit de Dieu revêtit Zacharie, fils de Jéhojada, le sacrificateur, et, se tenant debout au-dessus du peuple, il leur dit: Dieu a dit ainsi: Pourquoi transgressez-vous les commandements de l'Éternel? Vous ne prospérerez point; car vous avez abandonné l'Éternel, et il vous abandonnera.
21 Lakini wakapanga njama dhidi yake; kwa amri ya mfalme, wakampiga kwa mawe katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
Mais ils conspirèrent contre lui, et l'assommèrent de pierres, par le commandement du roi, dans le parvis de la maison de l'Éternel.
22 Katika namna hii hii, Yoashi, yule mfalme, akapuuza ukarimu ambao Yehoyada, baba yake Zekaria, alikuwa amemfanyia.
Ainsi le roi Joas ne se souvint point de la bonté dont Jéhojada, père de Zacharie, avait usé envers lui; et il tua son fils, qui dit en mourant: L'Éternel le voit, et il en demandera compte!
23 Ikawa karibu mwisho wa mwaka, kwamba jeshi la Aramu wakaja juu yake Yoashi. Wakaja Yuda na Yerusalemu; wakawaua viongozi wote wa watu na kupeleka nyara zote kutoka kwao kwa mfalme wa Dameski.
Et il arriva, quand l'année fut révolue, que l'armée de Syrie monta contre Joas, et vint en Juda et à Jérusalem. Or les Syriens détruisirent, d'entre le peuple, tous les principaux du peuple, et ils envoyèrent au roi, à Damas, tout leur butin.
24 Jeshsi la Waaramu walikuwa wamekuja na jeshi dogo, lakini Yahwe akawapa ushindi juu ya jeshi kubwa, kwa sababu Yuda alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao. Katika namna hii Waaramu wakaleta hukumu juu ya Yoashi.
Bien que ce fût avec un petit nombre d'hommes qu'arrivât l'armée de Syrie, l'Éternel livra entre leurs mains une très nombreuse armée, parce qu'ils avaient abandonné l'Éternel, le Dieu de leurs pères. Ainsi les Syriens firent justice de Joas.
25 Katika muda ambao Waaramu walikuwa wameondoka, Yoashi alikuwa amejeruhiwa vikali. Watumishi wake wakapanga njama dhidi yake kwa sababu ya mauaji ya wana wa Yehoyada, yule kuhani. Wakamuua katika kitanda chake, na akafa; wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya wafalme.
Et quand ils se furent éloignés de lui, après l'avoir laissé dans de grandes souffrances, ses serviteurs conspirèrent contre lui, à cause du sang des fils de Jéhojada, le sacrificateur; ils le tuèrent sur son lit, et il mourut. On l'ensevelit dans la cité de David; mais on ne l'ensevelit pas dans les tombeaux des rois.
26 Hawa walikuwa watu waliopanaga njama dhidi yake: Zabadi mwana wa Shimeathi, Mwamoni; na Yehozabadi mwana wa Shimrithi, Mwanamke Mmoabu.
Et ce sont ici ceux qui conspirèrent contre lui: Zabad, fils de Shimeath, femme ammonite, et Jozabad, fils de Shimrith, femme moabite.
27 Sasa matukio kuhusu wanaye, unabii muhimu uliokuwa umesemwa kumhusu yeye, na kujengwa tena kwa nyumba ya Mungu, ona, yameandikwa katika Kamusi ya kitabu cha wafalme. Amazia mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Quant à ses fils et à la grande charge qui lui fut imposée, et à la restauration de la maison de Dieu, voici, ces choses sont écrites dans les mémoires sur le livre des rois. Amatsia, son fils, régna à sa place.