< 2 Nyakati 24 >
1 Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala; akatawala kwa mika arobaini katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Sibia wa Beer-sheba.
Joas was of seuene yeer, whanne he bigan to regne, and he regnyde fourti yeer in Jerusalem; the name of his modir was Sebia of Bersabee.
2 Yoashi alifanya yaliyo mema katika macho ya Yahwe siku zote za Yehoyada, yule kuhani.
And he dide that, that was good bifor the Lord, in alle the daies of Joiada, the preest.
3 Yehoyada akajichukulia wake wawili kwa ajili yake, na akawa baba wa wana na mabinti.
Sotheli and Joas took twei wyues, of whyche he gendride sones and douytris.
4 Ikawa baada ya haya, kwamba Yoashi aliamua kuitengeneza nyumba ya Yahwe.
After whiche thingis it pleside Joas to reparele the hows of the Lord.
5 Akawakusanya pamoja makuhani na Walawi, na kusema kwao, “Nendeni nje kila mwaka kwenye miji ya Yuda na kukusanya fedha kutoka Israeli yote kwa ajili ya kuikarabati nyumba ya Mungu wenu. Hakikisheni kwamba mnaanza haraka.” Walawi hawakufanya kitu kwanza.
And he gaderide togidere preestis and dekenes, and seide to hem, Go ye out to the citees of Juda, and gadere ye of al Israel money, to the reparelyng of the temple of `youre Lord God, bi ech yeer; and do ye this hiyyngli.
6 Kwa hiyo mfalme akamuita Yehoyada, yule kuhani, na kumwambia, “Kwa nini hukuwaagiza Walawi kuleta kutoka Yud na Yerusalemu kodo iliyoagizwa na Musa mtumishi wa Yahwe na kusanyiko la Israeli, kwa ajili ya amri za hema ya agano?”
Certis the dekenes diden necgligentli. And the kyng clepide Joiada, the prince, and seide to hym, Whi was it not charge to thee, to constreyne the dekenes to brynge yn money of Juda and of Jerusalem, which money was ordeyned of Moises, the seruaunt of `the Lord, that al the multitude of Israel schulde brynge it in to the tabernacle of witnessyng?
7 Kwa maana wana wa Athalia, yule mwanamke muovu, walikuwa wameivunja nyumba ya Mungu na kuwapa Mabaali vitu vyote vitakatifu vya nyumba ya Yahwe.
For the worste Athalia, and hir sones, distrieden the hows of God; and of alle thingis, that weren halewid to the temple of the Lord, thei ourneden the temple of Baalym.
8 Kwa hiyo mfalme aliamuru, na wakatengeneza kasha na kulileta nje kwenye lango kwenye nyumba ya Yahwe.
Therfor the kyng comaundide, and thei maden an arke, and settiden it bisidis the yate of the Lord with out forth.
9 Kisha wakafanya tangazo katika Yuda na Yerusalemu, kwa ajili ya watu kuleta kwa Yahwe kodi aliyoiagiza Musa mtumishi wa Mungu juu ya Israeli jangwani.
And it was prechid in Juda and Jerusalem, that ech man schulde brynge to the Lord the prijs, which Moyses, the seruaunt of God, ordeynede on al Israel, in deseert.
10 Viongozi wote na watu wote wakafurahia na wakaleta fedha na kuiweka kwenye kasha hadi walipomaliza kulijaza.
And alle the princes and al the puple weren glad, and thei entriden, and brouyten, and senten in to the arke of the Lord, so that it was fillid.
11 Ikatokea kwamba kila lilipoletwa kasha kwa mikono ya Walawi kwa wakuu wa mfalme, na kila walipoona kwamba kulikuwa na fedha nyingi sana ndani yake, waandishi wa mfalme na mkuu wa kuhani mkuu walikuja, kulihamishia fedha kasha, na kulirudisha sehemu yake. Walifanya hivyo siku baada siku, wakikusanya kiasi kikubwa cha fedha.
And whanne it was tyme, that thei schulden bere the arke bifor the kyng bi the hondis of dekenes, for thei sien myche money, the clerk of the kyng entride, and he whom the firste preest hadde ordeynede, and thei schedden out the money, that was in the arke; sotheli thei baren ayen the arke to `his place. And so thei diden bi alle daies, and money with out noumbre was gaderid togidere;
12 Mfalme na Yehoyada akawapa zile fedha wale waliofanya kazi ya kuhudumu katika nyumba ya Yahwe, Watu hawa waliwaajiri waashi na maseremala ili waijenge nyumba ya Yahwe, na pia wale waliofanya kazi katika chuma na shaba.
which the kyng and Joiada yauen to hem that weren souereyns of the werkis of the hows of the Lord. And thei hiriden therof kitteris of stonys, and crafti men of alle werkis, that thei schulden reparele the hows of the Lord; also thei hiriden smythis of yrun, and of bras, that that thing schulde be vndurset, that bigan to falle.
13 Kwa hiyo wafanya kazi wakafanya kazi, na kazi ya kukarabati ikasonga mbele mikononi mwao; waakaisimamisha nyumba ya Mungu katika hali yake halisi na kuiimarisha.
Thei that wrouyten diden craftili, and the crasyng of the wallis was stoppid bi the hondis of hem; and thei reisiden the hows of the Lord in to the formere staat, and maden it to stonde stidfastli.
14 Walipomaliza, wakaleta fedha zilizobaki kwa mfalme na Yehoyada. Fedha hizo zilitumika kutengenezea samani kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vyombo vya huduma na kutolea dhabihu—vijiko na vyombo vya dhahabu na fedha. Wakatoa sadaka za kuteketezwa bila kukomaa katika nyumba ya Yahwe kwa siku zote za Yehoyada.
And whanne thei hadden fillid alle werkis, thei brouyten bifor the kyng and Joiada the tother part of the money, of which money vessels weren maad in to the seruyce of the temple, and to brent sacrifices; also viols, and othere vessels of gold and of siluer `weren maad therof. And brent sacrifices weren offrid in the hows of the Lord contynueli, in alle the daies of Joiada.
15 Yehoyada akazeeka na alaaikuwa amejaa siku, na kisha akafa; alikuwa na umri wa mika 130 alipokufa.
Forsothe Joiada ful of daies wexide eld, and he was deed, whanne he was of an hundrid yeer and thritti;
16 Wakamzika katika aamji wa Daudi miongoni mwa wafalme, kwa sababu alikuwa amefanya mema katika Israeli, kwa Mungu, na kwa ajili ya nyumba ya Mungu,
and thei birieden hym in the citee of Dauid with kyngis; for he hadde do good with Israel, and with his hows.
17 Sasa baada ya kifo cha Yehoyada, kiongozi wa Yuda akaja na kutoa heshima kwa mfalme. Kisha mfalme akawasikiliza.
But aftir that Joiada diede, the princes of Juda entriden, and worschipiden the kyng, which was flaterid with her seruices, and assentide to hem.
18 Wakaiacha nyumba ya Yahwe, Mungu wa babu zao, na kuwaabudu miungu na maashera na sanamu. Ghadhabu ya Mungu ikaja juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababau ya hili kosa lao.
And thei forsoken the temple of the Lord God of her fadris, and seruyden idols in wodis, and grauen ymagis; and the ire of the Lord was maad ayens Juda and Jerusalem for this synne.
19 Bado akatuma manabii kwao ili kuwaleta tena kwake, Yahwe, manabii wakatangaza juu ya watu, lakini walipuuza kusikiliza.
And he sente to hem profetis, that thei schulen turne ayen to the Lord; whiche profetis witnessynge thei nolden here.
20 Roho wa Mungu akaja juu ya Zekaria mwana wa Yehoyada, yule kuhani; Zekaria akasimama juu ya watu na kusema kwao, “Mungu anasema hivi: Kwa nini mnazivunja amri za Yahwe, ili kwamba msifanikiwe? Kwa kuwa mmemsahau Yahwe, pia amewasahau ninyi.”
Therfor the Spirit of the Lord clothide Zacharie, the preest, the sone of Joiada; and he stood in the siyt of the puple, and seide to hem, The Lord seith these thingis, Whi breken ye the comaundement of the Lord, `which thing schal not profite to you, and ye han forsake the Lord, that he schulde forsake you?
21 Lakini wakapanga njama dhidi yake; kwa amri ya mfalme, wakampiga kwa mawe katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
Whiche weren gaderide togidere ayens hym, and senten stonys, bi comaundement `of the kyng, in the large place of the hows of the Lord.
22 Katika namna hii hii, Yoashi, yule mfalme, akapuuza ukarimu ambao Yehoyada, baba yake Zekaria, alikuwa amemfanyia.
And kyng Joas hadde not mynde on the merci which Joiada, the fadir of Zacharie, hadde doon with hym; but he killide the sone of Joiada. And whanne Zacharie diede, he seide, The Lord se, and seke.
23 Ikawa karibu mwisho wa mwaka, kwamba jeshi la Aramu wakaja juu yake Yoashi. Wakaja Yuda na Yerusalemu; wakawaua viongozi wote wa watu na kupeleka nyara zote kutoka kwao kwa mfalme wa Dameski.
And whanne a yeer was turned aboute, `ether endid, the oost of Sirie stiede ayens Joas, and it cam in to Juda and in to Jerusalem, and it killide alle the princes of the puple; and thei senten al the prey to the kyng, to Damask.
24 Jeshsi la Waaramu walikuwa wamekuja na jeshi dogo, lakini Yahwe akawapa ushindi juu ya jeshi kubwa, kwa sababu Yuda alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao. Katika namna hii Waaramu wakaleta hukumu juu ya Yoashi.
And certeyn, whanne a ful litle noumbre of men of Sirie was comun, the Lord bitook in her hondis a multitude with out noumbre, for thei hadden forsake the Lord God of her fadris. Also thei vsiden schameful domes in Joas;
25 Katika muda ambao Waaramu walikuwa wameondoka, Yoashi alikuwa amejeruhiwa vikali. Watumishi wake wakapanga njama dhidi yake kwa sababu ya mauaji ya wana wa Yehoyada, yule kuhani. Wakamuua katika kitanda chake, na akafa; wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya wafalme.
and thei yeden awei, and leften hym in grete sorewis. Sotheli hise seruauntis risiden ayens hym, in to veniaunce of the blood of the sone of Joiada, preest; and killiden hym in his bed, and he was deed. And thei birieden hym in the citee of Dauid, but not in the sepulcris of kyngis.
26 Hawa walikuwa watu waliopanaga njama dhidi yake: Zabadi mwana wa Shimeathi, Mwamoni; na Yehozabadi mwana wa Shimrithi, Mwanamke Mmoabu.
Forsothe Sabath, the sone of Semath of Amon, and Josabeth, the sone of Semarith of Moab, settiden tresouns to hym.
27 Sasa matukio kuhusu wanaye, unabii muhimu uliokuwa umesemwa kumhusu yeye, na kujengwa tena kwa nyumba ya Mungu, ona, yameandikwa katika Kamusi ya kitabu cha wafalme. Amazia mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Sotheli hise sones, and the summe of money that was gaderid vndur hym, and the reparelyng of the hows of God, ben writun diligentli in the book of Kyngis.