< 2 Nyakati 23 >
1 Katika mwaka wa sa saba, Yehoyada alionesha nguvu zake na akaingia katika agano na maakida wa mamia, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
В лето же седмое укрепися Иодай, и взя сотники, Азарию сына Иорамля и Исмаила сына Иоананя, и Азарию сына Овидова и Амасию сына Адиева и Елисафана сына Захариина с собою в дом Господень.
2 Wakaenda katika Yuda na kuwakusanya Walawi kutoka miji yote ya Yuda, vile vile na wakuu wa nyumba za mababu wa Israeli, na wakaja hadi Yerusalemu.
И обыдоша Иудею, и собраша левиты от всех градов Иудиных и началники отечеств Израилевых, и приидоша во Иерусалим.
3 Kusanyiko lote wakafanya aganao na mfalme katika nyumba ya Mungu. Yehoyada akawaambia, “Ona, mwana wa mfalme atatawala, kama Yahwe alivyosema kuhusu uzao wa Daudi.
И завеща все собрание Иудино завет в дому Божии со царем: и показа им сына царева и рече им (Иодай): се, сын царев да воцарится, якоже глагола Господь о доме Давидове:
4 Hivi ndivyo mtakavyo fanya: theluthi yenu makuhani na Walawi ambao huja kuhudumu siku ya Sabato, mtakuwa walinzi katika milango.
и ныне слово сие, еже сотворите: третия часть от вас да изыдет в субботу, священников и левитов, и во врата входов,
5 Theluthi nyingine mtakuwa katika nyumba ya mfalme, na theluthi nyingine mtakuwa katika Msingi wa Lango. Watu wote watakuwa katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
и третия часть в дому цареве, и третия часть во вратех средних, и вси людие (да будут) во дворех дому Господня:
6 Msimruhusu yeyote kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, isipokuwa makuhani na Walawi wanaoatumika. Wao wanaweza kuingia kwa sababu inawahusu.
и никтоже да внидет в дом Господень, токмо священницы и левити и иже служат от левит: тии внидут, яко освящени суть, вси же людие да держат стражу Господню:
7 Lakini watu wengine wote lazima mtii amri ya Yahwe. Walawi lazima wamzunguke mfalme pande zote, kila mtu na silaha zake mkononi mwake. Yeyote atakayeingia katika nyumba, atauawa. Kaeni na mfalme aingiapo ndani na atokapo nje.”
левити же да ходят окрест царя, кийждо имея оружие свое в руку своею, и входяй в церков да убиется, и да будут со царем, входящу ему и исходящу.
8 Kwa hiyo Walawi na Yuda wote walitumika kwa kila njia kama katika namna ambayo Yehoyada kuhani aliwaamuru. Kila mmoja alichukua watu wake, wale waliotakiwa kuja ndani kuhudumu katika Sabato, na wale watakaoondoka siku ya Sabato, kwa maana
И сотвориша левити и весь Иуда по всему, елика повеле им Иодай жрец: и взяша кийждо мужы своя от начала субботы даже до исхода субботы: занеже не остави Иодай жрец службы дневныя.
9 Yehoyada, kuhani, hakuwa amezuilia mojawapo ya zamu zao. Kisha Yeliyadaya, kuhani, akaleta kwa maakida mikuki na ngao ndogo na kubwa zilizokuwa za mfalme Daudi ambazo zilikuwa katika nyumba ya Mungu.
И даде Иодай священник сотником по чину поставленным мечы и щиты и броня, яже бяху царя Давида в дому Божии,
10 Yehoyada akawaleta wanajeshi wote, kila mtu na mkuki wake katika mkono wake, upande wa kulia wa hekalu hadi upande wa kushoto wa hekalu, pembeni mwa madhabahu na hekalu, wakimzunguka mfalme.
и постави вся люди, коегождо во оружии его, от десныя страны церкве даже до левыя страны олтаря и церкве, над царем окрест:
11 Kisha wakamleta nje mwana wa mfalme, wakaiweka taji juu yake, na kumpa agano la sheria. Kisha wakamfanya mfalme, na Yehoyda na wanaye wakampaka mafuta. Kisha wakasema, “Aishi maisha marefu mfalme.”
и изведе сына царева, и возложиша на него диадиму и свидения, и поставиша его царем, и помаза его Иодай жрец и сынове его и рекоша да живет царь.
12 Athalia aliposikia kele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akatoka ili awaone watu katika nyumba ya Yahwe.
И услыша Гофолиа глас людий текущих и исповедающих и хвалящих царя, и вниде ко царю в церковь Господню,
13 na akaangalia, na, tazama, mfamle alikuwa amesimama karibu na nguzo yake katika lango la, kuingilia na maakida na wapuliza tarumbeta walikuwa karibu na mfame. Watu wote wa nchi walikuwa wakifurahia na kupuliza tarumbeta na waimbaji walikuwa wakipiga vyombo vya muziki na kuongoza nyimbo za kusifu. Kisha Athalia akayararua mavazi yake na kupiga kelele. “Fitina! Fitina!”
и виде, и се, царь стояше на степени своем, на входе же князи и трубы, и началницы окрест царя: и вси людие земли возрадовашася и вострубиша трубами, и поюще во органы певцы, и хваляще хвалою. И растерза Гофолиа ризы своя, и возопи и рече: нападающе нападаете.
14 Kisha Yehoyada, kuhani, akawaleta nje maakida wa mamia waliokuwa juu ya jeshi na kusema, “Mleteni nje kati ya safu, yeyote atakayemfuata, auwawe kwa upanga.” kwa maana kuhani alikwishasema, “Msimuue katika nyumba ya Yahwe.”
Изыде же Иодай архиерей, и повеле сотником и началником силы и рече им: изрините ю вон из церкве, и изыдите вслед ея, и да убиется мечем. Рече бо священник да не умрет в дому Господни.
15 Kwa hiyo wakafanya njia kw ajili yake, na akaenda kwenye nyumba ya mfalme kupita njia ya Lango la Farasi, na huko wakamuuwa.
И даша ей ослабу на мало, дондеже пройде врата конник дому царева и убиша ю тамо.
16 kisha Yehoyada alifanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme, kwamba watakuwa watu wa Yahwe.
И завеща Иодай завет между собою и всеми людьми и царем, да быша были людие Господни.
17 Kwa hiyo watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuiangusha chini. wakazivunja vipande vipande madhabahu za Baali na sanamu zake, na wakamuua Matani, kuhani wa Baali, mbele ya madhabahu hizo.
И внидоша вси людие земли в дом Ваалов и разориша его, и олтари его и идолы его сокрушиша, и Матфана жерца Ваалова убиша пред олтарем его.
18 Yehoyada akateua wakuu kwa ajili ya nyumba ya Yahwe chini ya mkono wa makuhani, ambao walikuwa Walawi, ambao Daudi alikuwa amewapanga kwenye nyumba ya Yahwe, ili wamtolee Yahwe sadaka za kuteketezwa, kama ilivyoandikwa katika sheria ya Musa, pamoja na kushangilia na kuimba, kama alivyotoa maelekezo Daudi.
И вручи Иодай жрец дела дому Господня в руку священников и левитов, и возстави дневныя чреды жерцев и левитов, яже раздели Давиде в дому Господни, и вознесе всесожжения Господеви, якоже писано есть в законе Моисеове, в радости и пениих по расположению Давидову:
19 Yehoyada akaweka walinzi katika malango ya nyumba ya Yahwe, ili kwamba kwa namna yoyote ile asiingie mtu asiyesafi.
и постави придверники во вратех дому Господня, и да не внидет нечист во всяцей вещи:
20 Yehoyada akachukua pamoja naye maakida wa mamia, watu wakubwa, watawala wa watu, na watu wote wa nchi. Akamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe; watu wakaja kwenye nyumba ya mfalme kupitia Lango la juu na kumkalisha mfalme juu ya kiti cha enzi cha ufalme. (Baadhi ya maandiko ya ya kisasa yanasema, “wakamshusha chini mfalme”)
и взя отечеств началники, и сильныя, и началники людий, и вся люди земли, и возведоша царя от дому Господня, и вниде вратами внутренними в дом царев, и посадиша царя на престоле царстем.
21 Kwa hiyo watu wote wa nchi wakafurahia, na mji wote ulikuwa kimya. Kuhusu Asa walikuwa wamemuua kwa upanga.
И возвеселишася вси людие земстии и град упокоися, и Гофолиа убиена есть мечем.