< 2 Nyakati 23 >

1 Katika mwaka wa sa saba, Yehoyada alionesha nguvu zake na akaingia katika agano na maakida wa mamia, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
A kum sarinae dawk Jehoiada teh, amahoima a thakâla teh, ransa 100 touh kahrawikungnaw Jehoram capa Azariah, Jehohanan capa Ishmael Obed capa Azariah, Adai capa Maaseiah,
2 Wakaenda katika Yuda na kuwakusanya Walawi kutoka miji yote ya Yuda, vile vile na wakuu wa nyumba za mababu wa Israeli, na wakaja hadi Yerusalemu.
hahoi, Judah ram a lawngven awh teh, Judah ram kho tangkuem e Levihnaw hoi Isarel imthung kahrawikungnaw a pâkhueng awh teh, Jerusalem lah bout a tho awh.
3 Kusanyiko lote wakafanya aganao na mfalme katika nyumba ya Mungu. Yehoyada akawaambia, “Ona, mwana wa mfalme atatawala, kama Yahwe alivyosema kuhusu uzao wa Daudi.
Kamkhuengnaw pueng ni Cathut im dawk siangpahrang hoi lawkkamnae a sak awh. Hahoi Jehoiada ni ahnimouh koevah, khenhaw! BAWIPA ni Devit capanaw e kong dawk a dei tangcoung e patetlah, a uknaeram bawitungkhung dawk siangpahrang lah ao hanelah ao.
4 Hivi ndivyo mtakavyo fanya: theluthi yenu makuhani na Walawi ambao huja kuhudumu siku ya Sabato, mtakuwa walinzi katika milango.
Nangmouh ni na sak awh hane teh, sabbath hnin vah ka tho e vaihmanaw hoi Levihnaw thung dawk hu thum touh dawk hu touh ni longkha a ring awh han.
5 Theluthi nyingine mtakuwa katika nyumba ya mfalme, na theluthi nyingine mtakuwa katika Msingi wa Lango. Watu wote watakuwa katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
Hu touh teh siangpahrang im dawk ao awh vaiteh, hu touh teh longkha koe, alouknaw pueng teh BAWIPA im thongma dawk na o awh han.
6 Msimruhusu yeyote kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, isipokuwa makuhani na Walawi wanaoatumika. Wao wanaweza kuingia kwa sababu inawahusu.
Hatei, vaihmanaw hoi Levihnaw hoeh laipateh, apihai BAWIPA im dawk kâen mahoeh. Ahnimouh teh a kâen thai awh. Bangkongtetpawiteh, ahnimouh teh a thoung awh. Taminaw pueng teh BAWIPA hah ring awh naseh.
7 Lakini watu wengine wote lazima mtii amri ya Yahwe. Walawi lazima wamzunguke mfalme pande zote, kila mtu na silaha zake mkononi mwake. Yeyote atakayeingia katika nyumba, atauawa. Kaeni na mfalme aingiapo ndani na atokapo nje.”
Levihnaw ni senehmaica patuep laihoi siangpahrang kalup awh naseh. Hahoi imthung kâennaw pueng teh thei lah ao han. Siangpahrang a tâco, a kâen nah pou awm sin awh telah lawk a thui.
8 Kwa hiyo Walawi na Yuda wote walitumika kwa kila njia kama katika namna ambayo Yehoyada kuhani aliwaamuru. Kila mmoja alichukua watu wake, wale waliotakiwa kuja ndani kuhudumu katika Sabato, na wale watakaoondoka siku ya Sabato, kwa maana
Hottelah Judahnaw hoi Levihnaw pueng ni vaihma Jehoiada e kâpoelawk patetlah a sak awh. Lengkaleng a uk awh e patetlah sabbath hnin vah ka tho hane hoi sabbath hnin vah ka ban hane naw hah a ceikhai awh. Bangkongtetpawiteh, vaihma Jehoiada ni ka ban hane naw ban sak hoeh rah.
9 Yehoyada, kuhani, hakuwa amezuilia mojawapo ya zamu zao. Kisha Yeliyadaya, kuhani, akaleta kwa maakida mikuki na ngao ndogo na kubwa zilizokuwa za mfalme Daudi ambazo zilikuwa katika nyumba ya Mungu.
Vaihma Jehoiada ni Cathut im dawk e Devit e tahroenaw, bahling kathoungnaw hoi kalennaw a la teh ransa 100 touh kauknaw koe a poe.
10 Yehoyada akawaleta wanajeshi wote, kila mtu na mkuki wake katika mkono wake, upande wa kulia wa hekalu hadi upande wa kushoto wa hekalu, pembeni mwa madhabahu na hekalu, wakimzunguka mfalme.
Senehmaica ka patuem e tami pueng teh, siangpahrang petkâkalup lah avoilae im takin koehoi aranglae im takin totouh thuengnae khoungroe hoi im takin totouh a hruek awh.
11 Kisha wakamleta nje mwana wa mfalme, wakaiweka taji juu yake, na kumpa agano la sheria. Kisha wakamfanya mfalme, na Yehoyda na wanaye wakampaka mafuta. Kisha wakasema, “Aishi maisha marefu mfalme.”
Hottelah siangpahrang capa a tâcokhai awh teh, bawilukhung a kâmuk sak hnukkhu, lawkpanuesaknae a poe awh teh, siangpahrang a tawk sak awh. Jehoiada hoi a capanaw ni satui a awi awh teh, siangpahrang hringsaw seh, telah ati awh.
12 Athalia aliposikia kele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akatoka ili awaone watu katika nyumba ya Yahwe.
Taminaw a yawng awh e pawlawk hoi siangpahrang a pholen awh e Athaliah ni a thai toteh, BAWIPA im dawk e taminaw koe a cei.
13 na akaangalia, na, tazama, mfamle alikuwa amesimama karibu na nguzo yake katika lango la, kuingilia na maakida na wapuliza tarumbeta walikuwa karibu na mfame. Watu wote wa nchi walikuwa wakifurahia na kupuliza tarumbeta na waimbaji walikuwa wakipiga vyombo vya muziki na kuongoza nyimbo za kusifu. Kisha Athalia akayararua mavazi yake na kupiga kelele. “Fitina! Fitina!”
A khet navah, im takhang koe e khomkung koe siangpahrang a kangdue teh, ateng e ransabawinaw hoi mongka kauengkungnaw, hote ram dawk e taminaw pueng teh, a lung thouk ahawi awh. Mongka thouk a ueng awh teh, la kasaknaw ni tumkhawng khawng laihoi pholen la a sak awh. Hahoi Athaliah ni a khohna a phi teh, youknae taran doeh, youknae taran doeh, telah a hram.
14 Kisha Yehoyada, kuhani, akawaleta nje maakida wa mamia waliokuwa juu ya jeshi na kusema, “Mleteni nje kati ya safu, yeyote atakayemfuata, auwawe kwa upanga.” kwa maana kuhani alikwishasema, “Msimuue katika nyumba ya Yahwe.”
Vaihma Jehoiada ni BAWIPA e im thung thet awh hanh. Alawilah hrawi awh. Ahni koelah kampang e tami teh tahloi hoi thet awh telah ransa 100 touh ka uk e ransabawi koe lawk a thui tangcoung e patetlah.
15 Kwa hiyo wakafanya njia kw ajili yake, na akaenda kwenye nyumba ya mfalme kupita njia ya Lango la Farasi, na huko wakamuuwa.
Athaliah a man awh teh, siangpahrang im ceinae marang kâennae lamthung koe a pha awh navah a thei awh.
16 kisha Yehoyada alifanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme, kwamba watakuwa watu wa Yahwe.
Hahoi Jehoiada ni ama hoi a taminaw pueng hoi siangpahrang rahak vah BAWIPA e tami lah ao thai nahanelah lawkkamnae a sak.
17 Kwa hiyo watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuiangusha chini. wakazivunja vipande vipande madhabahu za Baali na sanamu zake, na wakamuua Matani, kuhani wa Baali, mbele ya madhabahu hizo.
Taminaw pueng teh Baal im vah a cei awh teh a raphoe awh. Thuengnae khoungroenaw hoi meikaphawknaw reprep a dei awh teh, Baal vaihma Mattan hah thuengnae khoungroenaw e hmalah a thei awh.
18 Yehoyada akateua wakuu kwa ajili ya nyumba ya Yahwe chini ya mkono wa makuhani, ambao walikuwa Walawi, ambao Daudi alikuwa amewapanga kwenye nyumba ya Yahwe, ili wamtolee Yahwe sadaka za kuteketezwa, kama ilivyoandikwa katika sheria ya Musa, pamoja na kushangilia na kuimba, kama alivyotoa maelekezo Daudi.
Jehoiada ni Mosi e kâlawk cauk dawk a thut e patetlah lunghawinae la sak laihoi Devit ni, BAWIPA im dawk BAWIPA koe hmaisawi thuengnae thueng sak hanelah, a pouk tangcoung e vaihma, Levihnaw e kut rahim thaw tawk hanelah Devit ni kâ a poe e patetlah BAWIPA im ka khenyawn hanelah a hmoun.
19 Yehoyada akaweka walinzi katika malango ya nyumba ya Yahwe, ili kwamba kwa namna yoyote ile asiingie mtu asiyesafi.
Kathounghoehe tami kâen thai hoeh nahanelah, BAWIPA im longkha ka ring hanelah a rawi.
20 Yehoyada akachukua pamoja naye maakida wa mamia, watu wakubwa, watawala wa watu, na watu wote wa nchi. Akamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe; watu wakaja kwenye nyumba ya mfalme kupitia Lango la juu na kumkalisha mfalme juu ya kiti cha enzi cha ufalme. (Baadhi ya maandiko ya ya kisasa yanasema, “wakamshusha chini mfalme”)
Tami 100 touh kahrawikung hoi tamimaya kahrawikung hanelah, ram thung e taminaw a la teh, ahnimanaw ni BAWIPA im dawk hoi siangpahrang a thokhai awh teh, lathueng lae longkha koe lahoi siangpahrang im dawk a thokhai awh. Hahoi siangpahrang teh bawitungkhung dawk a tahung sak awh.
21 Kwa hiyo watu wote wa nchi wakafurahia, na mji wote ulikuwa kimya. Kuhusu Asa walikuwa wamemuua kwa upanga.
Hatdawkvah, ram thung e tami pueng teh a lunghawi awh. Tahloi hoi Athaliah a thei awh hnukkhu khopui teh a roum.

< 2 Nyakati 23 >