< 2 Nyakati 23 >
1 Katika mwaka wa sa saba, Yehoyada alionesha nguvu zake na akaingia katika agano na maakida wa mamia, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
Gobele salasu dunu Yihoida da ode gafeyale ouesalu, A:dalaia fadegamusa: dawa: i. E da dadi gagui ouligisu dunu biyale e fidima: ne ilegei. Ilia dio da A: salaia (Yihoula: me egefe), Isiama: iele (Yihouhaina: ne egefe), A:salaia (Oubede egefe), Ma: iasia (Ada: iya egefe), amola Ilisiafa: de (Sigalai egefe).
2 Wakaenda katika Yuda na kuwakusanya Walawi kutoka miji yote ya Yuda, vile vile na wakuu wa nyumba za mababu wa Israeli, na wakaja hadi Yerusalemu.
Ilia da Yuda moilai bai bagade amoga asili, Lifai fi dunu amola sosogo fi huluane ilia ouligisu dunu amo bu Yelusalemega oule misi.
3 Kusanyiko lote wakafanya aganao na mfalme katika nyumba ya Mungu. Yehoyada akawaambia, “Ona, mwana wa mfalme atatawala, kama Yahwe alivyosema kuhusu uzao wa Daudi.
Ilia huluane da Debolo Diasu ganodini gilisili, amogawi hina bagade egefe Youa: sie, e hana bagade hawa: hamoma: ne ilegei. Yihoiada da ilima amane sia: i, “Hina bagade bogoi amo ea mano da goea! Hina Gode da hina bagade Da: ibidi egaga fi dunu da hina bagade hamoma: ne ilegele sia: i. Amaiba: le, Youa: sie da hina bagade hamomu.
4 Hivi ndivyo mtakavyo fanya: theluthi yenu makuhani na Walawi ambao huja kuhudumu siku ya Sabato, mtakuwa walinzi katika milango.
Ninia da agoane hamomu. Dilia gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu da Sa: bade eso hawa: hamomusa: masea, mogi udiana amoga afae da Debolo Diasu Logo Ga: su sosodo aligima: ne sia: ma!
5 Theluthi nyingine mtakuwa katika nyumba ya mfalme, na theluthi nyingine mtakuwa katika Msingi wa Lango. Watu wote watakuwa katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
Mogi udiana afae eno da hina bagade uda ea diasu sosodo aligima: ne sia: ma! Mogi udiana amoga, eno da Debolo Bai Logo Ga: suga sosodo aligima: ne sia: ma! Dunu huluane da Debolo Diasu gagoi ganodini gilisima: ne sia: ma!
6 Msimruhusu yeyote kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, isipokuwa makuhani na Walawi wanaoatumika. Wao wanaweza kuingia kwa sababu inawahusu.
Gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu amo da hawa: hamomusa: misi, ilia fawane da Debolo Diasu ganodini golili sa: imu. Bai ilia fawane da nigima: dodofei. Eno dunu huluane da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, gadili aligima: mu.
7 Lakini watu wengine wote lazima mtii amri ya Yahwe. Walawi lazima wamzunguke mfalme pande zote, kila mtu na silaha zake mkononi mwake. Yeyote atakayeingia katika nyumba, atauawa. Kaeni na mfalme aingiapo ndani na atokapo nje.”
Lifai fi dunu da hina bagade sisiga: le leluwane, gegesu gobihei duga: le gadolewane, hina bagade Youa: sie noga: le gema: mu! E da habidili ahoasea, dili e sigi masa. Nowa da Debolo ganodini golili sa: imusa: dawa: sea, amo medole legema!”
8 Kwa hiyo Walawi na Yuda wote walitumika kwa kila njia kama katika namna ambayo Yehoyada kuhani aliwaamuru. Kila mmoja alichukua watu wake, wale waliotakiwa kuja ndani kuhudumu katika Sabato, na wale watakaoondoka siku ya Sabato, kwa maana
Ouligisu dunu ilia da Yihoida ea hamoma: ne sia: i defele hamoi. Ilia da ilia dunu, gilisisu amo da Sa: bade esoga helefi amola gilisisu amo da Sa: bade esoga hawa: hamonanu, amo huluane Yihoidama oule asi.
9 Yehoyada, kuhani, hakuwa amezuilia mojawapo ya zamu zao. Kisha Yeliyadaya, kuhani, akaleta kwa maakida mikuki na ngao ndogo na kubwa zilizokuwa za mfalme Daudi ambazo zilikuwa katika nyumba ya Mungu.
Yihoida da musa: hina bagade Da: ibidi ea goge agei amola ludasa: besa: le da: igene ga: su liligi huluane Debolo diasu ganodini modaligi, amo lale, ouligisu dunu ilima i.
10 Yehoyada akawaleta wanajeshi wote, kila mtu na mkuki wake katika mkono wake, upande wa kulia wa hekalu hadi upande wa kushoto wa hekalu, pembeni mwa madhabahu na hekalu, wakimzunguka mfalme.
Amola e da dunu ilia gegesu gobihei duga: le gadole, amo hina bagade Youa: sie gemusa: , Debolo diasu midadi sisiga: le dadalema: ne asunasi.
11 Kisha wakamleta nje mwana wa mfalme, wakaiweka taji juu yake, na kumpa agano la sheria. Kisha wakamfanya mfalme, na Yehoyda na wanaye wakampaka mafuta. Kisha wakasema, “Aishi maisha marefu mfalme.”
Amalalu, Yihoida da Youa: sie amo gadili oule asili, hina bagade habuga ea dialuma da: iya figisili, meloa amo ganodini da hina bagade ilia sema dedei ema i. Amalalu, e da Youa: sie ea dialuma da: iya susuligi sogagala: le, e Yuda hina bagade hamoma: ne mogili gagale ilegei. Dunu huluane da lobo fane, amane wele sia: i, “Hina bagade da sedagili esalumu da defea!”
12 Athalia aliposikia kele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akatoka ili awaone watu katika nyumba ya Yahwe.
Hina bagade uda A: dalaia da sosodo aligisu dunu amola gilisi dialu dunu ilia nodosa gugulubi amo nababeba: le, e da hehenaia Debolo diasuga doaga: loba, dunu bagohame amogawi gilisi dialebe ba: i.
13 na akaangalia, na, tazama, mfamle alikuwa amesimama karibu na nguzo yake katika lango la, kuingilia na maakida na wapuliza tarumbeta walikuwa karibu na mfame. Watu wote wa nchi walikuwa wakifurahia na kupuliza tarumbeta na waimbaji walikuwa wakipiga vyombo vya muziki na kuongoza nyimbo za kusifu. Kisha Athalia akayararua mavazi yake na kupiga kelele. “Fitina! Fitina!”
Amogawi, e da hina bagade gaheabolo, Yuda fi ilia hou defele, duni bugi bagade Debolo Diasu logo holeiga dialu, amo dafulili lelebe ba: i. Ouligisu dunu huluane amola dalabede fulabosu dunu ilia da e sisiga: le lelefulu. Amola dunu huluane da hahawane wele sia: nanebe amola dalabede fulabolalebe ba: i. A: dalaia da bagadewane da: i dioiba: le, ea abula gadelale, ha: giwane amane wele sia: i, “Hohonosu! Hohonosu da doaga: i dagoi.”
14 Kisha Yehoyada, kuhani, akawaleta nje maakida wa mamia waliokuwa juu ya jeshi na kusema, “Mleteni nje kati ya safu, yeyote atakayemfuata, auwawe kwa upanga.” kwa maana kuhani alikwishasema, “Msimuue katika nyumba ya Yahwe.”
Yihoida da A: dalaia amo Debolo diasu sogebi ganodini medole legei ba: mu higa: i galu. Amaiba: le e da dadi gagui wa: i ouligisu dunu ilima amane hamoma: ne sia: i, “A: dalaia amo sosodo aligisu dunu ilia dadalei dogoa amoga gadili oule masa. Nowa da e gesea, amo medole legema!”
15 Kwa hiyo wakafanya njia kw ajili yake, na akaenda kwenye nyumba ya mfalme kupita njia ya Lango la Farasi, na huko wakamuuwa.
Ilia da A: dalaia gagulaligili, hina bagade diasuga gaguli oule asili, Hosi Logo Ga: sua amogai, e medole legei dagoi.
16 kisha Yehoyada alifanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme, kwamba watakuwa watu wa Yahwe.
Gobele salasu dunu Yihoida da amane hamoma: ne sia: beba: le, hina bagade Youa: sie amola Yuda fi dunu da Hina Godema ilia da Ea fidafa fawane esaloma: ne, dafawane ilegele sia: su hamoi.
17 Kwa hiyo watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuiangusha chini. wakazivunja vipande vipande madhabahu za Baali na sanamu zake, na wakamuua Matani, kuhani wa Baali, mbele ya madhabahu hizo.
Amalalu, dunu huluane da ogogosu ‘gode’ Ba: ile ea debolo diasuga asili, amo mugululi, wadela: lesi. Ilia da oloda amola loboga hamoi ‘gode’ agoai liligi loboga hamoi, amo huluane gugunufinisi. Amola ilia da oloda amo ilia midadi, Ba: ile gobele salasu dunu Ma: da: ne, medole legei dagoi.
18 Yehoyada akateua wakuu kwa ajili ya nyumba ya Yahwe chini ya mkono wa makuhani, ambao walikuwa Walawi, ambao Daudi alikuwa amewapanga kwenye nyumba ya Yahwe, ili wamtolee Yahwe sadaka za kuteketezwa, kama ilivyoandikwa katika sheria ya Musa, pamoja na kushangilia na kuimba, kama alivyotoa maelekezo Daudi.
Yihoida da gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu amo Debolo Diasu ouligima: ne asunasi. E da ilima ilia da hina bagade Da: ibidi ilima ilegei hawa: hamosu, amola Mousese ea Sema defele, Hina Godema gobele salasu hawa: hamoma: ne sia: i. Amola ilia gesami hea: lala dusu hou amola lolo nasu hou huluane ouligima: ne sia: i.
19 Yehoyada akaweka walinzi katika malango ya nyumba ya Yahwe, ili kwamba kwa namna yoyote ile asiingie mtu asiyesafi.
Amola Yihoiada da sosodo aligisu dunu amo Debolo Logo Ga: su ouligima: ne ilegei. Ilia hawa: hamosu da nigima: hamoi dunu Debolo ganodini golili dasa: besa: le, ilia logo ga: musa: ilegei.
20 Yehoyada akachukua pamoja naye maakida wa mamia, watu wakubwa, watawala wa watu, na watu wote wa nchi. Akamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe; watu wakaja kwenye nyumba ya mfalme kupitia Lango la juu na kumkalisha mfalme juu ya kiti cha enzi cha ufalme. (Baadhi ya maandiko ya ya kisasa yanasema, “wakamshusha chini mfalme”)
Amalalu, e amola dadi gagui wa: i ouligisu dunu amola hina bagade da: i sosodo aligisu dunu, ilia da hina bagade amo Debolo diasu fisili, hina bagade diasuga oule asi. Dunu huluane da ili bobogei. Youa: sie da Sosodo Aligisu Logo Ga: su amoga hina bagade diasu golili sa: ili, hina bagade fisu amoga fila heda: i.
21 Kwa hiyo watu wote wa nchi wakafurahia, na mji wote ulikuwa kimya. Kuhusu Asa walikuwa wamemuua kwa upanga.
Dunu huluane da hahawane bagade ba: i. Moilai bai bagade da olofosu ba: i. Bai A: dalaia da gegesu gobiheiga fane legei dagoi ba: i.