< 2 Nyakati 22 >
1 Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
Yérusalémda turuwtqanlar Yehoramning kenji oghli Ahaziyani uning ornigha padishah qilip tiklidi; chünki Erebler bilen bille bargahqa bésip kirgen qaraqchilar Ahaziyaning akilirini qoymay öltürüwetkenidi. Shuning bilen Yehuda padishahi Yehoramning oghli Ahaziya seltenet qildi.
2 Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
Ahaziya textke chiqqan chéghida yigirme ikki yashta idi; u Yérusalémda bir yil seltenet qildi. Uning anisining ismi Ataliya bolup, Omrining [newre] qizi idi.
3 Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
Ahaziyamu Ahab jemetining yollirigha mangdi; chünki uning anisi uni rezillikke ündeytti.
4 Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
U Ahab jemeti qilghinidek, Perwerdigarning neziride rezil bolghanni qildi; chünki uning atisi ölgendin kéyin Ahab jemetidikiler uni halaketke élip baridighan rezil nesihetlerni béretti.
5 Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
U ularning nesihitige egiship, Israil padishahi Ahabning oghli Yehoram bilen birlikte Giléadtiki Ramotqa bérip Suriye padishahi Hazael bilen soqushti; shu chaghda Suriyler Yehoramni zeximlendürdi.
6 Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
Andin Yehoram Ramahda Suriye padishahi bilen soqushqan chaghdiki jarahetlirini dawalitish üchün Yizreelge qaytti. Andin Yehoramning oghli Yehuda padishahi Azariya Ahabning oghli Yehoramning késel bolup qalghanliqi sewebidin uni yoqlighili Yizreelge bardi.
7 Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
Halbuki, Ahaziyaning Yehoramni yoqlighili barghini del özini halaketke élip baridighan, Xuda békitken ish idi. Chünki u barghandin kéyin Yehoram bilen birlikte Nimshining oghli Yehugha qarshi soqushushqa chiqti. Mushu Yehu eslide Perwerdigar teripidin Ahabning jemetini yoqitish üchün mesih qilin’ghanidi.
8 Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
We shundaq boldiki, Yehu Xuda békitken hökümni Ahab jemetining üstige yürgüzgen waqtida, u Yehudadiki emeldarlarni we Ahaziyaning xizmitide bolghan qérindashlirining oghullirini uchritip, ularni qoymay öltürüwetti.
9 Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
Yehu Ahaziyanimu izdidi; kishiler uni tutuwaldi (u Samariyege yoshurunuwalghanidi). Ular uni Yehuning aldigha apirip öltürdi. Ular uni depne qildi, chünki kishiler: «Bu dégen Perwerdigarni chin könglidin izdigen Yehoshafatning newrisidur» dégenidi. Ahaziyaning jemetide padishahliqni qoligha alghudek birer adem qalmidi.
10 Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
Emdi Ahaziyaning anisi Ataliya oghlining ölginini körgende, Yehuda jemetidiki barliq shah neslini öltürüshke qozghaldi.
11 Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
Lékin padishahning qizi Yehoshébiyat öltürülüsh aldida turghan padishahning oghullirining arisidin Ahaziyaning oghli Yoashni oghriliqche élip chiqip, uni we inik anisini yastuq-kirlik ambirigha yoshurup qoydi. Shundaq qilip padishah Yehoramning qizi, (yeni Ahaziyaning singlisi), [bash] kahin Yehuyadaning xotuni Yehoshébiyat Yoashni Ataliya öltürüwetmisun dep Ataliyadin yoshurup qoydi.
12 Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.
Andin kéyin Yoash ular bilen Perwerdigarning öyide alte yil yoshurunup turdi; u chaghda Ataliya Yehuda zéminida seltenet qilatti.