< 2 Nyakati 22 >
1 Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
Et les habitants de Jérusalem proclamèrent roi à sa place Ochozias, son plus jeune fils, car l'armée de brigands qui était venue de l'Arabie et des bords de la mer, avait tué ses aînés; ainsi, Ochozias, fils de Joram, monta sur le trône de Juda.
2 Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
Il avait alors vingt ans, et il régna un an à Jérusalem; le nom de sa mère était Athalie; elle était issue d'Ambri.
3 Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
Et il marcha dans les voies de la maison d'Achab, parce que sa mère par ses conseils l'entraînait à pécher.
4 Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
Et il fit le mal devant le Seigneur comme la maison d'Achab, car d'elle seule il prit conseil après la mort de son père, et il se perdit.
5 Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
Marchant donc selon ses conseils, il se joignit à Joram, fils d'Achab, roi d'Israël, pour livrer bataille, à Ramoth-Galaad, au roi de Syrie Azaël, quand des archers atteignirent Joram.
6 Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
Et Joram revint à Jezraël pour se guérir des blessures que les Syriens lui avaient faites en Ramoth-Galaad, lorsqu'il combattait Azaël, roi de Syrie. Et Ochozias, fils de Joram, roi de Juda, alla voir, en Jezraël, Joram, roi d'Israël, parce qu'il était malade.
7 Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
Et une catastrophe venant de Dieu arriva à Ochozias lorsqu'il y fut; car, alors Joram sortit avec lui contre Jéhu, fils de Namesseï, l'oint du Seigneur, suscité contre la maison d'Achab.
8 Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
Et au moment où Jéhu tirait vengeance de la maison d'Achab, il trouva là les princes de Juda, et les frères d'Ochozias employés à le servir, et il les tua.
9 Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
Ensuite, il ordonna de chercher Ochozias; on le prit en Samarie soignant ses blessures, on le conduisit à Jéhu qui le mit à mort, et on l'inhuma; car, dirent ces gens, il est issu de Josaphat qui de tout son cœur a cherché Dieu; il n'y avait plus personne de la maison d'Ochozias pour fortifier le pouvoir en son royaume.
10 Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
Et Athalie, mère d'Ochozias, voyant son fils mort, se leva et détruisit toute la race royale en Juda.
11 Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
Mais Josabeth, fille du roi Joram, enleva Joas, fils d'Ochozias; elle le déroba du milieu des fils du roi que l'on massacrait; et elle le mit, avec sa nourrice, dans une alcôve des chambres à coucher. Puis, Josabeth, fille de Joram, sœur d'Ochozias, femme de Joad le prêtre, le cacha d'Athalie, qui ne le tua pas.
12 Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.
Il resta six ans avec Joad caché dans le temple de Dieu, pendant qu'Athalie régnait sur la terre.