< 2 Nyakati 22 >

1 Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
Og Indbyggerne i Jerusalem gjorde Ahasia, hans yngste Søn, til Konge i hans Sted; thi den Trop, som kom med Araberne til Lejren, havde ihjelslaaet alle de første; og Ahasia, Jorams Søn, regerede søm Konge i Juda.
2 Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
Ahasia var to og fyrretyve Aar gammel, der han blev Konge, og regerede et Aar i Jerusalem, og hans Moders Navn var Athalia, Omris (Søns) Datter.
3 Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
Og han vandrede i Akabs Hus's Veje; thi hans Moder var hans Raadgiver til at handle ugudeligt.
4 Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
Og han gjorde det, som var ondt for Herrens Øjne ligesom Akabs Hus; thi de vare hans Raadgivere efter hans Faders Død til Fordærvelse for ham.
5 Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
Han vandrede ogsaa efter deres Raad og drog med Joram, Israels Konge, Akabs Søn, i Krig imod Hasael, Kongen af Syrien, imod Ramoth i Gilead; men Syrerne sloge Joram.
6 Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
Og han vendte tilbage for at lade sig læge i Jisreel af de Saar, som de havde slaget ham ved Rama, der han stred med Hasael, Kongen af Syrien; og Asaria, Jorams Søn, Judas Konge, drog ned at besøge Joram, Akabs Søn, i Jisreel, thi han laa syg.
7 Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
Og af Gud var Ahasias Undergang, saa at han kom til Joram; thi der han kom, da drog han ud med Joram imod Jehu, Nimsis Søn, som Herren havde salvet til at udrydde Akabs Hus.
8 Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
Og det skete, da Dommen udførtes af Jehu imod Akabs Hus, da traf han de Øverste af Juda og Ahasias Brodersønner, som tjente Ahasia, og slog dem ihjel.
9 Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
Siden ledte han efter Ahasia, og de grebe ham, da han havde skjult sig i Samaria, og de førte ham til Jehu og dræbte ham og begrove ham; thi de sagde: Han er en Søn af Josafat, som søgte Herren af sit ganske Hjerte; og der var ingen af Ahasias Hus, som formaaede at overtage Riget.
10 Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
Der Athalia, Ahasias Moder, saa, at hendes Søn var død, da gjorde hun sig rede og udryddede hele den kongelige Slægt i Judas Hus.
11 Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
Men Josabeath, Kongens Datter, tog Joas, Ahasias Søn, og stjal ham midt ud fra Kongens Sønner, som bleve dræbte, og satte ham med sin Amme i Sengekammeret; og Josabeath, Kong Jorams Datter, Præsten Jojadas Hustru, skjulte ham (thi hun var Ahasias Søster) for Athalias Ansigt, saa at hun ikke fik ham dræbt.
12 Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.
Og han var skjult hos dem i Guds Hus seks Aar; men Athalia var Dronning i Landet.

< 2 Nyakati 22 >