< 2 Nyakati 21 >

1 Yehoshafati akalala pamoja na babu zake na akizikwa pamoaja nao katika mji wa Daudi;
Og Josafat laa med sine Fædre og blev begraven hos sine Fædre i Davids Stad, og hans Søn Joram blev Konge i hans Sted.
2 Yehoramu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoramu alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati: Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. Wote hawa walikuwa wana wa Yehoshafati, mfalme wa Israeli.
Og han havde Brødre, Sønner af Josafat: Asaria og Jehiel og Sakaria og Asaria og Mikael og Sefatja; alle disse vare Josafats, Israels Konges, Sønner.
3 Baba yao alikuwa amewapa zawadi kubwa ya fedha, dhahabu, na vitu vingine vya thamani, na miji yenye ngome katika Yuda, lakini kiti cha enzi alimpa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.
Og deres Fader gav dem mange Gaver af Sølv og af Guld og kostbare Sager, tillige med faste Stæder i Juda; men Riget gav han Joram, thi han var den førstefødte.
4 Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongizi wengine mbali mbali wa Israeli.
Og der Joram havde overtaget sin Faders Rige og havde befæstet sig, slog han alle sine Brødre ihjel med Sværdet, ja ogsaa nogle af de Øverste i Israel.
5 Yehoramu alikuwa na umri wa mika thelathini na mbili alipoanza kutawala, na akatawala kwa miaka minane katika Yerusalemu.
Joram var to og tredive Aar gammel, der han blev Konge, og regerede otte Aar i Jerusalem.
6 Akatembea katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa maana alikuwa na binti Ahabu kama mke wake, na akafanya yaliyo maovu katika macho ya Yahwe.
Og han vandrede i Israels Kongers Vej, ligesom Akabs Hus gjorde; thi Akabs Datter var hans Hustru; og han gjorde det, som var ondt for Herrens Øjne.
7 Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
Dog vilde Herren ikke ødelægge Davids Hus for den Pagts Skyld, som han havde gjort med David, og saaledes som han havde sagt, at han vilde give ham og hans Sønner et Lys alle Dage.
8 Katika siku za Yehoramu, Edomu wakaasi wasiwe chini ya Yuda, na wakajisimamishia mfalme juu yao.
I hans Dage faldt Edom af fra Judas Herredømme, og de satte en Konge over sig.
9 Kisha Yeroboamu akavuka ng'ambo pamoja na maakida na magari yake yote. Ilikuwa usiku aliposimama na kupigana dhidi ya Waedomu ambao walikuwa wamemzunguka na maakida wa magari yake.
Derfor drog Joram over med sine Øverster og alle Vognene med ham, og han gjorde sig rede om Natten og slog Edom, som var trindt omkring ham, og de Øverste for deres Vogne.
10 Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna pia aliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zake.
Dog faldt Edom af fra Judas Herredømme indtil denne Dag; da faldt ogsaa Libna paa samme Tid af fra hans Herredømme; thi han forlod Herren, sine Fædres Gud.
11 Zaidi ya hayo, Yehoramu pia alikuwa amezijenga sehemu zake za juu katika milma ya Yuda na akawafanya wakaaji wa Yuda kuishi kama makahaba, na akawaongoza Yuda katika upotevu.
Han gjorde ogsaa Høje paa Judas Bjerge og forførte Indbyggerne i Jerusalem til at bole, ja han drev Juda dertil.
12 Barua kutoka kwa nabii Eliya ikaja kwa Yerohamu. Ilisema, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi, babu yako, anasema: Kwa sababu hujatembea katika njia za Yehoshafafati, baba yako, wala katika njia za Asa, mfalme wa Yuda,
Og der kom en Skrivelse til ham fra Elias, Profeten, hvori han sagde: Saa siger Herren, din Fader Davids Gud: Fordi du ikke har vandret i din Fader Josafats Veje, ej heller i Asas, Judas Konges, Veje;
13 bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanya—na kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe—
men du har vandret i Israels Kongers Vej og forført Juda og Jerusalems Indbyggere til at bole efter Akabs Hus's Bolerier, og du tilmed har ihjelslaget dine Brødre af din Faders Hus, hvilke vare bedre end du:
14 ona, Yahwe atawapiga watu wako na pigo kubwa, watoto wako, wake zako, na mali zako zote.
Se, derfor skal Herren slaa dit Folk og dine Børn og dine Hustruer og alt dit Gods med stor Plage
15 Wewe mwenyewe utakuwa na ugonjwa mwingi kwa sababu ya ugonjwa kataika katika utumbo wako, mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa, siku baada ya siku.
og dig selv med mange Smerter, ved en Sygdom i dine Indvolde, indtil dine Indvolde gaa ud formedelst Smerten, der skal vare fra Dag til Dag.
16 Yahwe akaichochea roho ya Wafilisiti dhidi ya Yuda na ya Waarabu waliokuwa karibu na Waethipia.
Saa opvakte Herren imod Joram Filisternes Aand og de Arabers, som bo ved Siden af Morianerne.
17 Wakaivamia Yuda, wakavamia katika nyumba ya mfalme. Pia wakawachukua wanaye na wake zake. Hakuna mwana aliyebakizwa kwa ajili yake ispokuwa, Yehoshafati, mwanaye mdogo.
Og de droge op i Juda og brøde ind derudi og bortførte alt Godset, som fandtes i Kongens Hus og tilmed hans Sønner og hans Hustruer; og han beholdt ikke en Søn tilovers uden Joakas, den yngste af hans Sønner.
18 Baada ya haya yote, Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.
Og efter alt dette plagede Herren ham i hans Indvolde med Smerte, saa at der var ingen Lægedom.
19 Ikawa wakati ulipofika, katika mwisho wa miaka miwili, kwamba utumbo wake ukaaanguka nje kwa sababu ya ugonjwa wake, na kwamba akafa kwa ugonjwa mkali. Watu wake hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake kama walivyokuwa wamefanyia babu zake.
Og det holdt ved fra Dag til Dag, og ved Enden af det andet Aar, da gik hans Indvolde ud under hans Sygdom, saa at han døde i gruelige Smerter; og hans Folk brændte intet til hans Ære, saaledes som de havde gjort for hans Fædre.
20 Alikuwa ameanza kutawala alipokuwa na umrai wa miaka thelatahini na mbaili; akatawala katika Israeli kwa miaka minane, na alikufa bila kuaombolezwa. Wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya kifalme.
Han var to og tredive Aar gammel, der han blev Konge, og regerede otte Aar i Jerusalem, og han vandrede saa, at ingen havde Længsel efter ham, og de begrove ham i Davids Stad, men ikke iblandt Kongernes Grave.

< 2 Nyakati 21 >