< 2 Nyakati 20 >
1 Ikawa baada ya hayo, kwamba watu wa Moabu na Amoni, na pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja juu ya Yehoshafati ili kupigana vita. (Mandishi, “baadhi ya Wameuni” yanatoa masahihisho kwa ajili ya maandishi ya Kiebrania, ambayo yanasomeka, “baadhi ya Waamoni”. Inadhaniwa kwamba “Wameuni” ndilo neno la asili, na wenye kunukuu walilibadili kuwa “baadhi ya Waamoni”. Lakaini jina hili la mwisho halileti maana, kwa sababu Waamoni tayari wamekwisha tajwa katika mstri huu. Vile vile, matoleo tofauti tofauti yanajihusha na tatizo hili katika namna mabli mbali)
Po tem se je tudi pripetilo, da so Moábovi otroci, Amónovi otroci in z njimi drugi, poleg Amóncev, prišli zoper Józafata, da se vojskujejo.
2 Kisha baadhi ya watu wakaja wakamwambia Yehoshafati, wakisema, “Umati mkubwa wanakuja juu yako ng'ambo ya Bahari iliyokufa, kutoka Edomu. Ona, wako Hason- tamari”, ambayo ndiyo En-gedi. (Badala ya “Edomu” baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasomeka, “Aramu.”
Potem so prišli nekateri, ki so Józafatu rekli: »Velika množica prihaja zoper tebe, iz druge strani morja, na to stran Sirije. Glej, oni so v Hacecón Tamáru, ki je En Gedi.
3 Yehoshafati akaogopa na akajipanga kumtafuta Yahwe. Akatangaza haraka katika Yuda yote.
Józafat se je zbal in se pripravil, da išče Gospoda in je po vsem Judu razglasil post.
4 Yuda wakakakusanyika pamoja kwa ajili ya kumtafuta Yahwe; wakaja kutoka miji yote ya Yuda kwa ajili ya kumtafauta Yahwe.
Juda se je zbral skupaj, da prosi pomoč od Gospoda. Celo iz vseh Judovih mest so prišli, da iščejo Gospoda.
5 Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la Yuda na Yerusalemu, kwenye nyumba ya Yahwe, mbele ya kibaraza kipya.
Józafat je stal v skupnosti Judovcev in Jeruzalemcev, v Gospodovi hiši, pred novim dvorom
6 Akasema, “Yahwe, Mungu wa babau zetu, hauko mbinguni? Wewe siyo mtawala juu ya falame zote za mataiafa? Nguvu na uweza viko mkononi mwako, kwa hiyao hakuna anayeweza akukupinga wewe.
in rekel: »Oh Gospod, Bog naših očetov, ali nisi ti Bog v nebesih? In ali ne vladaš nad vsemi kraljestvi poganov? In ali ni v tvoji roki oblast in moč, tako da se ti nihče ne more zoperstaviti?
7 Munagu wetu, Hukuwafuaakuja nje wakaaji wa nchi hii mbe ya watau watau wakop Israeli, na kuitoa milele kwa ajili ya uzaoa wa Abrahamu?
Mar nisi ti naš Bog, ki si napodil prebivalce te dežele pred svojim ljudstvom Izraelom in jo daješ potomcem svojega prijatelja Abrahama na veke?
8 Wakaishi ndani yake na kujenga sehemu takatifu kwa ajili ya jina lako, wakisema,
In oni prebivajo v njej in so ti v njej zgradili svetišče za tvoje ime, rekoč:
9 'Ikiwa janga litakuja juu yetu —upanga, hukumu, au ugonjwa, au njaa—tutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako (kwa maana jina lako limo ndani ya nyumba hii), na tutakulilia wewe katika mateso yetu, na utatusikia na kutuokoa.' (Badala ya “hukumu” baadhi ya maandiko ya zamani yanasema “mafuriko”).
›Če zlo prihaja nad nas kakor meč, sodba ali kužna bolezen ali lakota, mi stojimo pred to hišo in v tvoji prisotnosti (kajti tvoje ime je v tej hiši) in kličemo k tebi v svoji stiski, potem boš slišal in pomagal.
10 Tazama sasa, hapa kuna watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri ambao hukuwaacha Israeli wawapige waalipotoka nchi ya Misri; badala yake, Israeli waliwageukia mbali na hawakuwaangamiza.
In sedaj glej, Amónovi in Moábovi otroci in gorovje Seír, za katere nisi hotel, da jih Izraelci napadejo, ko so prišli iz egiptovske dežele, temveč so se obrnili od njih in jih niso uničili,
11 Ona jinsi wanavyotuzawadia; wanakuja kutotoa nje ya nchi yako mbayo umetupa kuirithi.
glej pravim, kako so nas nagradili, da pridejo, da nas vržejo ven iz tvoje posesti, ki si nam jo ti dal, da jo podedujemo.
12 Mungu wetu, hutawahukumu? Kwa maana hatuna nguvu dhidi ya hili jeshi kubwa ambalo linakuja juu yetu. hatujui cha kufanya, lakini macho yetu yako kwako.
Oh naš Bog, mar jih ne boš sodil? Kajti nobene moči nimamo zoper to veliko skupino, ki prihaja zoper nas niti ne vemo, kaj storiti, temveč so naše oči na tebi.«
13 Yuda wote wakasimama mbele ya Yahwe, pamoja na wadogo wao, wake, na watoto.
Ves Juda je stal pred Gospodom s svojimi malčki, svojimi ženami in svojimi otroki.
14 Kisha kati kati ya kusanyiko, roho ya Yahwe ikaja juu ya Yahazieli, mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, mwana, Mlawi, mmoja wa wana wa Asafu.
Potem je nad Jahaziéla, sina Zeharjája, sina Benajája, sina Jeiéla, sina Matanjája, Lévijevca izmed Asáfovih sinov, prišel Duh od Gospoda v sredo skupnosti
15 Yahazieli akasema, “Sikilizeni, Yuda wote na ninyi wakaaji wa Yerusalemu, na Mfalme Yehoshafati. Hivi ndivyo Yahwe asemavyao kwenu, 'Msiogope: msivunjike moyo kwa sababu ya hili jeshsi kubwa, kwa maana vita siyo yenu, bali ni ya Mungu.
in rekel je: »Prisluhnite, ves Juda in prebivalci Jeruzalema in ti, kralj Józafat: ›Tako vam govori Gospod: ›Ne bojte se niti ne bodite zaprepadeni zaradi te velike množice, kajti bitka ni vaša, temveč Božja.
16 Lazima muende chini juu ya yao kesho, Ona, wanakuja wakipanda kupia njia ya Sisi. Mtawakuta mwishono mwa bondo, mbele ya jangwa la Yerueli.
Jutri pojdite dol zoper njih. Glejte, prišli bodo pri pečini Cic in našli jih boste na koncu potoka, pred jeruélsko divjino.
17 Hamtahitaji kupigana katika vita hii. Simameni katika nafasi zenu, simameni wima, na muone wokovu wa Yahwe pamoja nanyi, Yuda na Yerusalemu. Msiogope wala kukata tamaa. Tokeni nje juu yao kesho, kwa maana yuko pamoja nanyi.”
V tej bitki se vam ne bo treba bojevati. Razpostavite se, stojte mirno in glejte rešitev duš Gospoda z vami, oh Juda in Jeruzalem. Ne bojte se niti ne bodite zaprepadeni. Jutri pojdite ven zoper njih, kajti Gospod bo z vami.‹«
18 Yehoshafati akainamisha kichwa chake pamaoja na uso wake chini. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka chini mbele za Yahwe, wakimwabudu yeye.
Józafat je sklonil svojo glavo s svojim obrazom do tal in ves Juda in prebivalci Jeruzalema so padli pred Gospodom in oboževali Gospoda.
19 Walawi, wale wa uzao wa Wakohathi na wa uzao wa Wakorahi, wakasimama juu kumsifu Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa sana.
Lévijevci izmed otrok Kehátovcev in izmed Kórahovcev so vstali, da hvalijo Gospoda, Izraelovega Boga, s silno močnim glasom.
20 Asubuhi mapema wakasimama na kwenda nje kwenye bonde la Tekoa. Walipokuwa wakienda nje, Yehoshafati akasimama na kusema, “Nisikilizeni, Yuda, na nnyi wakaaji wa Yerusalemu! Aminini katika Yahwe Mungu wenu, na mtasaidiwa. Aminini katika manabii zake, na mtafanikiwa.
Zgodaj zjutraj so vstali ter odšli naprej v divjino Tekóe in ko so šli naprej se je Józafat ustavil in rekel: »Poslušajte me, oh Juda in vi, prebivalci Jeruzalema. Verjemite v Gospoda, svojega Boga, tako boste utrjeni; verjemite prerokom, tako boste uspeli.«
21 Alipokuwa ameshauriana na watu, akawachagaua wale ambao wangemwimbia Yahwe na kumpa sifa kwa ajili ya utukufu wake mtakatifu, walipokuwa wakienda wakilitangulia jeshi, na kusema, “Mshukuruni Yahwe, kwa maana uaminifu wa aganao lake unadumu milele.”
Ko se je posvetoval z ljudstvom, je določil pevce za Gospoda in ki naj bi hvalili lepoto svetosti, medtem ko bodo šli ven pred vojsko in govorili: »Hvalite Gospoda, kajti njegovo usmiljenje vztraja na veke.«
22 Walipoanza kuimba na kusifu, Yahwe akapanga wanaume katika mavamizi juu ya watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri, ambao walikuwa wanakauja dhidi ya Yuda. Walishindwa.
Ko so začeli peti in hvaliti, je Gospod pripravil zasede zoper otroke Amóna, Moába in gorovje Seír, ki so prišli zoper Juda; in bili so udarjeni.
23 Kwa maana watu wa Aamoni na Moabu walisimama kupigana na wakaaji wa Mlima Seiri, ili kuwaua kabisa na kuwangamiza. Waliapokuwa wamemaliza kuwaangamiza wakaaji wa Mlima Seiri, wote wakasaidiana kuangamizana kila mmoja.
Kajti otroci Amóna in Moába so se dvignili zoper prebivalce gorovja Seír, da jih popolnoma pobijejo in uničijo. In ko so prebivalcem Seíra storili konec, je vsakdo pomagal uničiti drugega.
24 Yuda walipokuwa katika sehemu hiyo wakiangalia jangwani, waliangalia nje juu ya jeshi. Tazama, walikuwa wamekufa, wameanguka chini; hakuna aliyekuwa amepona.
Ko je Juda prišel proti stražnemu stolpu v divjini, so pogledali k množici in glej, bili so trupla, padla na zemljo in nihče ni pobegnil.
25 Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara kutoka kwa hao watu, walikuta miongoni mwao bidhaa nyingi, nguo, na johari za thamani, ambazo walizichukua kwa ajili yao wenyewe, nyingi kuliko uwezo wao wa kubeba. Iliwachukua siku tatu kusomba nyara hizo, zilikuwa nyingi sana. (Badala ya “miongoni mwao”, baadhi ya maandishi ya zamani na ya kisasa yanasema, “ng'ombe.” badala ya “nguo” baadhi ya maandiko ya kale na ya kisasa yanasema, “miili iliyokufa”).
Ko je Józafat in njegovo ljudstvo prišlo, da od njih poberejo plen, so med njimi našli v obilju tako bogastev s trupli, kakor dragocene dragulje, ki so jih pobrali zase, več kakor so lahko nesli in tam so bili tri dni pri pobiranju plena, toliko ga je bilo.
26 Katika siku ya nne wakakusanyika katika bonde la Baraka, Huko wakamsifu Yaahwe, kwa hiyo jina la sehemu hiyo hata leo ni “Bonde la Baraka”.
Na četrti dan so se zbrali skupaj v dolini Berahá, kajti tam so blagoslovili Gospoda. Zato je bilo ime tega kraja imenovano dolina Berahá do današnjega dne.
27 Kisha, wakarudi, kila mtu wa Yuda na Yerusalemu, na Yehoshafati katika uongozi wao, kwenda tena Yerusalemu kwa furaha, kwa maana Yahwe alikuwa amewafanya wafurahie juu ya adui zao.
Potem so se vrnili, vsak človek iz Juda in Jeruzalema in Józafat na njihovem čelu, da gredo ponovno z radostjo v Jeruzalem, kajti Gospod jim je storil, da se veselijo nad svojimi sovražniki.
28 Wakaja Yerusalemu na kwenye nyumba ya Yahwe kwa vinanda, vinubi na matarumbeta.
V Jeruzalem so prišli s plunkami, harfami in trobentami h Gospodovi hiši.
29 Hofu ya Yahwe ikawa juu ya falme zote za mataifa waliposikia kwamba Yahwe amepigana dhidi ya adui wa Israeli.
Božji strah je bil na vseh kraljestvih tistih dežel, ko so slišali, da se je Gospod boril zoper Izraelove sovražnike.
30 Kwa hiyo ufaleme wa Yehoshafati ulikuwa mtivu, kwa maana Mungu wake alimpa amani kuzungunga pande zake zote.
Tako je bilo Józafatovo kraljestvo mirno, kajti njegov Bog mu je naokoli dal počitek.
31 Yehoshafati akatawala juu ya Yuda: Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala. Jina la mama yke aliitwa Azubahi, binti wa Shilhi.
Józafat je kraljeval nad Judom. Petintrideset let je bil star, ko je začel kraljevati in v Jeruzalemu je kraljeval petindvajset let. Ime njegove matere je bilo Azúba, Šilhíjeva hči.
32 Akatembea katika njia za Asa, baba yake; hakugeka popote kuziacha; akafanya yaliyo mema katika macaho ya Yahwe.
Hodil je po poti svojega očeta Asája in se ni oddvojil od nje in delal je to, kar je bilo pravilno v Gospodovih očeh.
33 Vile vile, sehemu za juu hazikuwa zimeondoshwa mbali. Watu walikuwa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa babu zao.
Vendar visoki kraji niso bili odstranjeni, kajti do takrat ljudstvo svojih src še ni pripravilo k Bogu njihovih očetov.
34 Kwa mambo mengine kuhusu Yehoshafati, mwanzo na mwisho, tazama, yameandikwa katika historia ya kitabu cha wafalme wa Israeli.
Torej preostala izmed Józafatovih dejanj, prva in zadnja, glej, ta so zapisana v knjigi Hananijevega sina Jehúja, ki je omenjen v knjigi Izraelovih kraljev.
35 Baada ya hayo, Yehoshafati, mfalme wa Yuda, akapatana na Ahazia, mfalme wa Israeli, ambaye alitenda uovu mwingi.
Potem je Judov kralj Józafat sebe pridružil Izraelovemu kralju Ahazjáju, ki je počel zelo zlobno.
36 Akapatana naye kujenga meli za kwenda Tarshishi; Wakazijenga meli hizo huko Esion-geberi.
Pridružil se mu je, da izdelata ladje, da bi plule v Taršíš in ladje so izdelali v Ecjón Geberju.
37 Kisha Eliezeli, mwana wa Dadavahu wa Maresha, akatoa unabii juu ya Yehoshafati; akasema, “kwa sababu umepatana na Ahazia, Yahwe ameiharibu miradi yako.” Meli zilivunjika ili kwamba zisiweze kusafiri.
Potem je Dodavájev sin Eliézer iz Maréše prerokoval zoper Józafata, rekoč: »Ker si se pridružil Ahazjáju, je Gospod zlomil tvoja dela.« In ladje so bile razbite, da niso mogle pluti v Taršíš.