< 2 Nyakati 20 >

1 Ikawa baada ya hayo, kwamba watu wa Moabu na Amoni, na pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja juu ya Yehoshafati ili kupigana vita. (Mandishi, “baadhi ya Wameuni” yanatoa masahihisho kwa ajili ya maandishi ya Kiebrania, ambayo yanasomeka, “baadhi ya Waamoni”. Inadhaniwa kwamba “Wameuni” ndilo neno la asili, na wenye kunukuu walilibadili kuwa “baadhi ya Waamoni”. Lakaini jina hili la mwisho halileti maana, kwa sababu Waamoni tayari wamekwisha tajwa katika mstri huu. Vile vile, matoleo tofauti tofauti yanajihusha na tatizo hili katika namna mabli mbali)
По сих же приидоша сынове Моавли и сынове Аммони и с ними от Амманитов ко Иосафату на брань.
2 Kisha baadhi ya watu wakaja wakamwambia Yehoshafati, wakisema, “Umati mkubwa wanakuja juu yako ng'ambo ya Bahari iliyokufa, kutoka Edomu. Ona, wako Hason- tamari”, ambayo ndiyo En-gedi. (Badala ya “Edomu” baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasomeka, “Aramu.”
Приидоша же и сказаша Иосафату, глаголюще: идет противу тебе велико множество от об он пол моря от Сирии, и се, стоят во Асасан-Фамаре, иже есть Енгадди.
3 Yehoshafati akaogopa na akajipanga kumtafuta Yahwe. Akatangaza haraka katika Yuda yote.
И убояся, и вдаде Иосафат лице свое взыскати Господа, и проповеда пост во всей Иудеи.
4 Yuda wakakakusanyika pamoja kwa ajili ya kumtafuta Yahwe; wakaja kutoka miji yote ya Yuda kwa ajili ya kumtafauta Yahwe.
И собрася весь Иуда взыскати Господа: и от всех градов Иудиных приидоша ко умолению Господню.
5 Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la Yuda na Yerusalemu, kwenye nyumba ya Yahwe, mbele ya kibaraza kipya.
И ста Иосафат в собрании Иуды во Иерусалиме, в дому Господни пред лицем двора новаго,
6 Akasema, “Yahwe, Mungu wa babau zetu, hauko mbinguni? Wewe siyo mtawala juu ya falame zote za mataiafa? Nguvu na uweza viko mkononi mwako, kwa hiyao hakuna anayeweza akukupinga wewe.
и рече: Господи Боже отец наших, не Ты ли еси Бог на небеси горе, и Ты владычствуеши всеми царствы язык, и в руку Твоею есть крепость силы, и кто противостанет Тебе?
7 Munagu wetu, Hukuwafuaakuja nje wakaaji wa nchi hii mbe ya watau watau wakop Israeli, na kuitoa milele kwa ajili ya uzaoa wa Abrahamu?
Не Ты ли еси Бог наш искоренивый живущыя на земли сей от лица людий Твоих Израиля, и дал еси ю семени Авраамлю возлюбленному Твоему во веки?
8 Wakaishi ndani yake na kujenga sehemu takatifu kwa ajili ya jina lako, wakisema,
И вселишася на ней, и устроиша в ней святыню имени Твоему, глаголюще:
9 'Ikiwa janga litakuja juu yetu —upanga, hukumu, au ugonjwa, au njaa—tutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako (kwa maana jina lako limo ndani ya nyumba hii), na tutakulilia wewe katika mateso yetu, na utatusikia na kutuokoa.' (Badala ya “hukumu” baadhi ya maandiko ya zamani yanasema “mafuriko”).
аще нападут на ны злая, мечь, суд, губителство, глад, станем пред домом сим и пред Тобою, яко призвано имя Твое в дому сем, и возопием к Тебе от скорбей наших, и услышиши и спасеши:
10 Tazama sasa, hapa kuna watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri ambao hukuwaacha Israeli wawapige waalipotoka nchi ya Misri; badala yake, Israeli waliwageukia mbali na hawakuwaangamiza.
и ныне се, сынове Аммони и Моавли и гора Сиир, сквозе яже не изволил еси Израилю проити, егда исхождаху от земли Египетския, но уклонишася от них и не избиша их:
11 Ona jinsi wanavyotuzawadia; wanakuja kutotoa nje ya nchi yako mbayo umetupa kuirithi.
и се, ныне сии нападают на ны исходяще изгонити нас от наследия нашего, еже предал еси нам.
12 Mungu wetu, hutawahukumu? Kwa maana hatuna nguvu dhidi ya hili jeshi kubwa ambalo linakuja juu yetu. hatujui cha kufanya, lakini macho yetu yako kwako.
Господи Боже наш, не судиши ли им? В нас бо несть толика крепость, да можем сему множеству сопротивитися, еже нападе на ны, и не вемы что соделати имамы им: но токмо очи наши к Тебе.
13 Yuda wote wakasimama mbele ya Yahwe, pamoja na wadogo wao, wake, na watoto.
И весь Иуда стояше пред Господем, и чада их, и жены их.
14 Kisha kati kati ya kusanyiko, roho ya Yahwe ikaja juu ya Yahazieli, mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, mwana, Mlawi, mmoja wa wana wa Asafu.
Бе же Иозиил сын Захариин, сынов Ванеа, сынов Елеила, сынов Мафаниа левитина, от сынов Асафовых, и бысть на нем Дух Господень посреде народа,
15 Yahazieli akasema, “Sikilizeni, Yuda wote na ninyi wakaaji wa Yerusalemu, na Mfalme Yehoshafati. Hivi ndivyo Yahwe asemavyao kwenu, 'Msiogope: msivunjike moyo kwa sababu ya hili jeshsi kubwa, kwa maana vita siyo yenu, bali ni ya Mungu.
и рече: слышите, весь Иуда и обитающии во Иерусалиме, и ты, царю Иосафате: сия рече Господь вам: не бойтеся, ниже ужасайтеся от лица народа сего многаго, несть бо ваше ополчение, но Божие:
16 Lazima muende chini juu ya yao kesho, Ona, wanakuja wakipanda kupia njia ya Sisi. Mtawakuta mwishono mwa bondo, mbele ya jangwa la Yerueli.
заутра изыдите противу их: се, восходят по восходу Ассис, и обрящете их на краи реки противу пустыни Иериил:
17 Hamtahitaji kupigana katika vita hii. Simameni katika nafasi zenu, simameni wima, na muone wokovu wa Yahwe pamoja nanyi, Yuda na Yerusalemu. Msiogope wala kukata tamaa. Tokeni nje juu yao kesho, kwa maana yuko pamoja nanyi.”
не ваше есть воевати: сия разумейте и узрите сие спасение Господне с вами, Иудо и Иерусалиме: не убойтеся, ни ужасайтеся заутра изыти противу их, и Господь с вами.
18 Yehoshafati akainamisha kichwa chake pamaoja na uso wake chini. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka chini mbele za Yahwe, wakimwabudu yeye.
И преклонься Иосафат на лице свое, и весь Иуда, и обитающии во Иерусалиме, падоша пред Господем поклонитися Господеви.
19 Walawi, wale wa uzao wa Wakohathi na wa uzao wa Wakorahi, wakasimama juu kumsifu Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa sana.
И восташа левити от сынов Каафовых и от сынов Кореовых, хвалити Господа Бога Израилева гласом великим в высоту.
20 Asubuhi mapema wakasimama na kwenda nje kwenye bonde la Tekoa. Walipokuwa wakienda nje, Yehoshafati akasimama na kusema, “Nisikilizeni, Yuda, na nnyi wakaaji wa Yerusalemu! Aminini katika Yahwe Mungu wenu, na mtasaidiwa. Aminini katika manabii zake, na mtafanikiwa.
И заутра восташа рано и изыдоша в пустыню Фекое. И внегда исходити им, ста Иосафат (посреде их), и возопи и рече: услышите мя, мужие Иудины и вси обитающии во Иерусалиме: веруйте в Господа Бога нашего и уверитеся: веруйте пророку Его, и благопоспешится вам.
21 Alipokuwa ameshauriana na watu, akawachagaua wale ambao wangemwimbia Yahwe na kumpa sifa kwa ajili ya utukufu wake mtakatifu, walipokuwa wakienda wakilitangulia jeshi, na kusema, “Mshukuruni Yahwe, kwa maana uaminifu wa aganao lake unadumu milele.”
И советова с людьми, и постави псалмопевцы, и хвалящих исповедатися, и хвалити святая, внегда изыти пред силою, и глаголаху: исповедайтеся Господеви, яко благ, яко в век милость Его.
22 Walipoanza kuimba na kusifu, Yahwe akapanga wanaume katika mavamizi juu ya watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri, ambao walikuwa wanakauja dhidi ya Yuda. Walishindwa.
Егда же начаша хваления и исповедания, обрати Господь воевати сынов Аммоних на Моава и гору Сиир, изшедших на Иуду, и поражени быша.
23 Kwa maana watu wa Aamoni na Moabu walisimama kupigana na wakaaji wa Mlima Seiri, ili kuwaua kabisa na kuwangamiza. Waliapokuwa wamemaliza kuwaangamiza wakaaji wa Mlima Seiri, wote wakasaidiana kuangamizana kila mmoja.
И восташа сынове Аммони и Моавли на обитающих в горе Сиири, да побиют их и сокрушат: и егда скончаша обитающих в Сиире, восташа друг на друга, да потребятся.
24 Yuda walipokuwa katika sehemu hiyo wakiangalia jangwani, waliangalia nje juu ya jeshi. Tazama, walikuwa wamekufa, wameanguka chini; hakuna aliyekuwa amepona.
Иуда же прииде на созирание от пустыни, и воззре, и виде множество: и се, вси мертви падше на землю, и не бе спасыйся.
25 Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara kutoka kwa hao watu, walikuta miongoni mwao bidhaa nyingi, nguo, na johari za thamani, ambazo walizichukua kwa ajili yao wenyewe, nyingi kuliko uwezo wao wa kubeba. Iliwachukua siku tatu kusomba nyara hizo, zilikuwa nyingi sana. (Badala ya “miongoni mwao”, baadhi ya maandishi ya zamani na ya kisasa yanasema, “ng'ombe.” badala ya “nguo” baadhi ya maandiko ya kale na ya kisasa yanasema, “miili iliyokufa”).
И изыде Иосафат и людие его взяти корысти их, и обретоша скота много, и одежды, и корысти, и сосуды дражайшыя и плениша их: и быша собирающе корысти их три дни, яко многи бяху.
26 Katika siku ya nne wakakusanyika katika bonde la Baraka, Huko wakamsifu Yaahwe, kwa hiyo jina la sehemu hiyo hata leo ni “Bonde la Baraka”.
Дне же четвертаго собрахуся во удоль благословения, ибо тако благословиша Господа: сего ради прозваша место то удоль благословения даже до сего дне.
27 Kisha, wakarudi, kila mtu wa Yuda na Yerusalemu, na Yehoshafati katika uongozi wao, kwenda tena Yerusalemu kwa furaha, kwa maana Yahwe alikuwa amewafanya wafurahie juu ya adui zao.
И возвратишася вси мужие Иудины во Иерусалим и Иосафат вождь их с веселием великим: яко возвесели их Господь о вразех их.
28 Wakaja Yerusalemu na kwenye nyumba ya Yahwe kwa vinanda, vinubi na matarumbeta.
И внидоша во Иерусалим со псалтирми и гусльми и трубами в дом Господень.
29 Hofu ya Yahwe ikawa juu ya falme zote za mataifa waliposikia kwamba Yahwe amepigana dhidi ya adui wa Israeli.
И бысть страх Господень на вся царства земная, внегда услышати им, яко порази Господь враги Израилевы.
30 Kwa hiyo ufaleme wa Yehoshafati ulikuwa mtivu, kwa maana Mungu wake alimpa amani kuzungunga pande zake zote.
И умирися царство Иосафатово, и даде ему Господь покой окрест.
31 Yehoshafati akatawala juu ya Yuda: Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala. Jina la mama yke aliitwa Azubahi, binti wa Shilhi.
И царствова Иосафат над Иудою, сый лет тридесяти пяти, егда царство прия и двадесять пять лет царствова во Иерусалиме. Имя же матери его Азува, дщи Салиина.
32 Akatembea katika njia za Asa, baba yake; hakugeka popote kuziacha; akafanya yaliyo mema katika macaho ya Yahwe.
И хождаше в путех отца своего Асы, и не уклонися от них творити правое пред Господем:
33 Vile vile, sehemu za juu hazikuwa zimeondoshwa mbali. Watu walikuwa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa babu zao.
обаче высокая еще бяху, и еще людие не управиша сердца своего ко Господу Богу отец своих.
34 Kwa mambo mengine kuhusu Yehoshafati, mwanzo na mwisho, tazama, yameandikwa katika historia ya kitabu cha wafalme wa Israeli.
Прочая же деяния Иосафатова первая и последняя, се, писана суть во словесех Ииуа сына Ананиина, иже написа книгу царей Израилевых.
35 Baada ya hayo, Yehoshafati, mfalme wa Yuda, akapatana na Ahazia, mfalme wa Israeli, ambaye alitenda uovu mwingi.
И по сих сообщися Иосафат царь Иудин со Охозиею царем Израилевым, и сей беззаконнова,
36 Akapatana naye kujenga meli za kwenda Tarshishi; Wakazijenga meli hizo huko Esion-geberi.
занеже сотвори, и отиде к нему, да сотворят корабли, еже ити во Фарсис: и сотвори корабли в Гасион-Гавере.
37 Kisha Eliezeli, mwana wa Dadavahu wa Maresha, akatoa unabii juu ya Yehoshafati; akasema, “kwa sababu umepatana na Ahazia, Yahwe ameiharibu miradi yako.” Meli zilivunjika ili kwamba zisiweze kusafiri.
И пророчествова Елиезер сын Додиа от Марисиса на Иосафата, глаголя: понеже возимел еси любовь со Охозиею, сокруши Господь дело твое, и сокрушишася корабли твоя и не возмогоша поити во Фарсис.

< 2 Nyakati 20 >