< 2 Nyakati 20 >

1 Ikawa baada ya hayo, kwamba watu wa Moabu na Amoni, na pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja juu ya Yehoshafati ili kupigana vita. (Mandishi, “baadhi ya Wameuni” yanatoa masahihisho kwa ajili ya maandishi ya Kiebrania, ambayo yanasomeka, “baadhi ya Waamoni”. Inadhaniwa kwamba “Wameuni” ndilo neno la asili, na wenye kunukuu walilibadili kuwa “baadhi ya Waamoni”. Lakaini jina hili la mwisho halileti maana, kwa sababu Waamoni tayari wamekwisha tajwa katika mstri huu. Vile vile, matoleo tofauti tofauti yanajihusha na tatizo hili katika namna mabli mbali)
and to be after so to come (in): come son: descendant/people Moab and son: descendant/people Ammon and with them from [the] Meunite upon Jehoshaphat to/for battle
2 Kisha baadhi ya watu wakaja wakamwambia Yehoshafati, wakisema, “Umati mkubwa wanakuja juu yako ng'ambo ya Bahari iliyokufa, kutoka Edomu. Ona, wako Hason- tamari”, ambayo ndiyo En-gedi. (Badala ya “Edomu” baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasomeka, “Aramu.”
and to come (in): come and to tell to/for Jehoshaphat to/for to say to come (in): come upon you crowd many from side: beyond to/for sea from Edom and behold they in/on/with Hazazon-tamar Hazazon-tamar he/she/it Engedi Engedi
3 Yehoshafati akaogopa na akajipanga kumtafuta Yahwe. Akatangaza haraka katika Yuda yote.
and to fear and to give: put Jehoshaphat [obj] face his to/for to seek to/for LORD and to call: call out fast upon all Judah
4 Yuda wakakakusanyika pamoja kwa ajili ya kumtafuta Yahwe; wakaja kutoka miji yote ya Yuda kwa ajili ya kumtafauta Yahwe.
and to gather Judah to/for to seek from LORD also from all city Judah to come (in): come to/for to seek [obj] LORD
5 Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la Yuda na Yerusalemu, kwenye nyumba ya Yahwe, mbele ya kibaraza kipya.
and to stand: stand Jehoshaphat in/on/with assembly Judah and Jerusalem in/on/with house: temple LORD to/for face: before [the] court [the] new
6 Akasema, “Yahwe, Mungu wa babau zetu, hauko mbinguni? Wewe siyo mtawala juu ya falame zote za mataiafa? Nguvu na uweza viko mkononi mwako, kwa hiyao hakuna anayeweza akukupinga wewe.
and to say LORD God father our not you(m. s.) he/she/it God in/on/with heaven and you(m. s.) to rule in/on/with all kingdom [the] nation and in/on/with hand: power your strength and might and nothing with you to/for to stand
7 Munagu wetu, Hukuwafuaakuja nje wakaaji wa nchi hii mbe ya watau watau wakop Israeli, na kuitoa milele kwa ajili ya uzaoa wa Abrahamu?
not you(m. s.) God our to possess: take [obj] to dwell [the] land: country/planet [the] this from to/for face: before people your Israel and to give: give her to/for seed: children Abraham to love: friend you to/for forever: enduring
8 Wakaishi ndani yake na kujenga sehemu takatifu kwa ajili ya jina lako, wakisema,
and to dwell in/on/with her and to build to/for you in/on/with her sanctuary to/for name your to/for to say
9 'Ikiwa janga litakuja juu yetu —upanga, hukumu, au ugonjwa, au njaa—tutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako (kwa maana jina lako limo ndani ya nyumba hii), na tutakulilia wewe katika mateso yetu, na utatusikia na kutuokoa.' (Badala ya “hukumu” baadhi ya maandiko ya zamani yanasema “mafuriko”).
if to come (in): come upon us distress: harm sword judgment and pestilence and famine to stand: stand to/for face: before [the] house: home [the] this and to/for face: before your for name your in/on/with house: home [the] this and to cry out to(wards) you from distress our and to hear: hear and to save
10 Tazama sasa, hapa kuna watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri ambao hukuwaacha Israeli wawapige waalipotoka nchi ya Misri; badala yake, Israeli waliwageukia mbali na hawakuwaangamiza.
and now behold son: descendant/people Ammon and Moab and mountain: mount (Mount) Seir which not to give: allow to/for Israel to/for to come (in): come in/on/with them in/on/with to come (in): come they from land: country/planet Egypt for to turn aside: turn aside from upon them and not to destroy them
11 Ona jinsi wanavyotuzawadia; wanakuja kutotoa nje ya nchi yako mbayo umetupa kuirithi.
and behold they(masc.) to wean upon us to/for to come (in): come to/for to drive out: drive out us from possession your which to possess: possess us
12 Mungu wetu, hutawahukumu? Kwa maana hatuna nguvu dhidi ya hili jeshi kubwa ambalo linakuja juu yetu. hatujui cha kufanya, lakini macho yetu yako kwako.
God our not to judge in/on/with them for nothing in/on/with us strength to/for face: before [the] crowd [the] many [the] this [the] to come (in): come upon us and we not to know what? to make: do for upon you eye our
13 Yuda wote wakasimama mbele ya Yahwe, pamoja na wadogo wao, wake, na watoto.
(and all *LAB(h)*) Judah to stand: stand to/for face: before LORD also child their woman: wife their and son: child their
14 Kisha kati kati ya kusanyiko, roho ya Yahwe ikaja juu ya Yahazieli, mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, mwana, Mlawi, mmoja wa wana wa Asafu.
and Jahaziel son: descendant/people Zechariah son: descendant/people Benaiah son: descendant/people Jeiel son: descendant/people Mattaniah [the] Levi from son: descendant/people Asaph to be upon him spirit LORD in/on/with midst [the] assembly
15 Yahazieli akasema, “Sikilizeni, Yuda wote na ninyi wakaaji wa Yerusalemu, na Mfalme Yehoshafati. Hivi ndivyo Yahwe asemavyao kwenu, 'Msiogope: msivunjike moyo kwa sababu ya hili jeshsi kubwa, kwa maana vita siyo yenu, bali ni ya Mungu.
and to say to listen all Judah and to dwell Jerusalem and [the] king Jehoshaphat thus to say LORD to/for you you(m. p.) not to fear and not to to be dismayed from face: because [the] crowd [the] many [the] this for not to/for you [the] battle for to/for God
16 Lazima muende chini juu ya yao kesho, Ona, wanakuja wakipanda kupia njia ya Sisi. Mtawakuta mwishono mwa bondo, mbele ya jangwa la Yerueli.
tomorrow to go down upon them look! they to ascend: rise in/on/with ascent [the] Ziz and to find [obj] them in/on/with end [the] torrent: valley face: east wilderness Jeruel
17 Hamtahitaji kupigana katika vita hii. Simameni katika nafasi zenu, simameni wima, na muone wokovu wa Yahwe pamoja nanyi, Yuda na Yerusalemu. Msiogope wala kukata tamaa. Tokeni nje juu yao kesho, kwa maana yuko pamoja nanyi.”
not to/for you to/for to fight in/on/with this to stand to stand: stand and to see: see [obj] salvation LORD with you Judah and Jerusalem not to fear and not to to be dismayed tomorrow to come out: come to/for face: before their and LORD with you
18 Yehoshafati akainamisha kichwa chake pamaoja na uso wake chini. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka chini mbele za Yahwe, wakimwabudu yeye.
and to bow Jehoshaphat face land: soil [to] and all Judah and to dwell Jerusalem to fall: fall to/for face: before LORD to/for to bow to/for LORD
19 Walawi, wale wa uzao wa Wakohathi na wa uzao wa Wakorahi, wakasimama juu kumsifu Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa sana.
and to arise: rise [the] Levi from son: descendant/people [the] Kohathite and from son: descendant/people [the] Korahite to/for to boast: praise to/for LORD God Israel in/on/with voice great: large to/for above [to]
20 Asubuhi mapema wakasimama na kwenda nje kwenye bonde la Tekoa. Walipokuwa wakienda nje, Yehoshafati akasimama na kusema, “Nisikilizeni, Yuda, na nnyi wakaaji wa Yerusalemu! Aminini katika Yahwe Mungu wenu, na mtasaidiwa. Aminini katika manabii zake, na mtafanikiwa.
and to rise in/on/with morning and to come out: come to/for wilderness Tekoa and in/on/with to come out: come they to stand: stand Jehoshaphat and to say to hear: hear me Judah and to dwell Jerusalem be faithful in/on/with LORD God your and be faithful be faithful in/on/with prophet his and to prosper
21 Alipokuwa ameshauriana na watu, akawachagaua wale ambao wangemwimbia Yahwe na kumpa sifa kwa ajili ya utukufu wake mtakatifu, walipokuwa wakienda wakilitangulia jeshi, na kusema, “Mshukuruni Yahwe, kwa maana uaminifu wa aganao lake unadumu milele.”
and to advise to(wards) [the] people and to stand: appoint to sing to/for LORD and to boast: praise to/for adornment holiness in/on/with to come out: come to/for face: before [the] to arm and to say to give thanks to/for LORD for to/for forever: enduring kindness his
22 Walipoanza kuimba na kusifu, Yahwe akapanga wanaume katika mavamizi juu ya watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri, ambao walikuwa wanakauja dhidi ya Yuda. Walishindwa.
and in/on/with time to profane/begin: begin in/on/with cry and praise to give: put LORD to ambush upon son: descendant/people Ammon Moab and mountain: mount (Mount) Seir [the] to come (in): come to/for Judah and to strike
23 Kwa maana watu wa Aamoni na Moabu walisimama kupigana na wakaaji wa Mlima Seiri, ili kuwaua kabisa na kuwangamiza. Waliapokuwa wamemaliza kuwaangamiza wakaaji wa Mlima Seiri, wote wakasaidiana kuangamizana kila mmoja.
and to stand: rise son: descendant/people Ammon and Moab upon to dwell mountain: mount (Mount) Seir to/for to devote/destroy and to/for to destroy and like/as to end: finish they in/on/with to dwell (Mount) Seir to help man: anyone in/on/with neighbor his to/for destruction
24 Yuda walipokuwa katika sehemu hiyo wakiangalia jangwani, waliangalia nje juu ya jeshi. Tazama, walikuwa wamekufa, wameanguka chini; hakuna aliyekuwa amepona.
and Judah to come (in): come upon [the] lookout to/for wilderness and to turn to(wards) [the] crowd and look! they corpse to fall: fall land: soil [to] and nothing survivor
25 Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara kutoka kwa hao watu, walikuta miongoni mwao bidhaa nyingi, nguo, na johari za thamani, ambazo walizichukua kwa ajili yao wenyewe, nyingi kuliko uwezo wao wa kubeba. Iliwachukua siku tatu kusomba nyara hizo, zilikuwa nyingi sana. (Badala ya “miongoni mwao”, baadhi ya maandishi ya zamani na ya kisasa yanasema, “ng'ombe.” badala ya “nguo” baadhi ya maandiko ya kale na ya kisasa yanasema, “miili iliyokufa”).
and to come (in): come Jehoshaphat and people his to/for to plunder [obj] spoil their and to find in/on/with them to/for abundance and property and corpse and article/utensil precious thing and to rescue to/for them to/for nothing burden and to be day three to plunder [obj] [the] spoil for many he/she/it
26 Katika siku ya nne wakakusanyika katika bonde la Baraka, Huko wakamsifu Yaahwe, kwa hiyo jina la sehemu hiyo hata leo ni “Bonde la Baraka”.
and in/on/with day: today [the] fourth to gather to/for Valley (of Beracah) Beracah (Valley) for there to bless [obj] LORD upon so to call: call by [obj] name [the] place [the] he/she/it Valley (of Beracah) Beracah (Valley) till [the] day: today
27 Kisha, wakarudi, kila mtu wa Yuda na Yerusalemu, na Yehoshafati katika uongozi wao, kwenda tena Yerusalemu kwa furaha, kwa maana Yahwe alikuwa amewafanya wafurahie juu ya adui zao.
and to return: return all man Judah and Jerusalem and Jehoshaphat in/on/with head: leader their to/for to return: return to(wards) Jerusalem in/on/with joy for to rejoice them LORD from enemy their
28 Wakaja Yerusalemu na kwenye nyumba ya Yahwe kwa vinanda, vinubi na matarumbeta.
and to come (in): come Jerusalem in/on/with harp and in/on/with lyre and in/on/with trumpet to(wards) house: temple LORD
29 Hofu ya Yahwe ikawa juu ya falme zote za mataifa waliposikia kwamba Yahwe amepigana dhidi ya adui wa Israeli.
and to be dread God upon all kingdom [the] land: country/planet in/on/with to hear: hear they for to fight LORD with enemy Israel
30 Kwa hiyo ufaleme wa Yehoshafati ulikuwa mtivu, kwa maana Mungu wake alimpa amani kuzungunga pande zake zote.
and to quiet royalty Jehoshaphat and to rest to/for him God his from around
31 Yehoshafati akatawala juu ya Yuda: Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala. Jina la mama yke aliitwa Azubahi, binti wa Shilhi.
and to reign Jehoshaphat upon Judah son: aged thirty and five year in/on/with to reign he and twenty and five year to reign in/on/with Jerusalem and name mother his Azubah daughter Shilhi
32 Akatembea katika njia za Asa, baba yake; hakugeka popote kuziacha; akafanya yaliyo mema katika macaho ya Yahwe.
and to go: walk in/on/with way: conduct father his Asa and not to turn aside: turn aside from her to/for to make: do [the] upright in/on/with eye: seeing LORD
33 Vile vile, sehemu za juu hazikuwa zimeondoshwa mbali. Watu walikuwa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa babu zao.
surely [the] high place not to turn aside: remove and still [the] people not to establish: establish heart their to/for God father their
34 Kwa mambo mengine kuhusu Yehoshafati, mwanzo na mwisho, tazama, yameandikwa katika historia ya kitabu cha wafalme wa Israeli.
and remainder word: deed Jehoshaphat [the] first and [the] last look! they to write in/on/with word: deed Jehu son: child Hanani which to ascend: establish upon scroll: book king Israel
35 Baada ya hayo, Yehoshafati, mfalme wa Yuda, akapatana na Ahazia, mfalme wa Israeli, ambaye alitenda uovu mwingi.
and after so to unite Jehoshaphat king Judah with Ahaziah king Israel he/she/it be wicked to/for to make: do
36 Akapatana naye kujenga meli za kwenda Tarshishi; Wakazijenga meli hizo huko Esion-geberi.
and to unite him with him to/for to make fleet to/for to go: went Tarshish and to make fleet in/on/with Ezion-geber Ezion-geber
37 Kisha Eliezeli, mwana wa Dadavahu wa Maresha, akatoa unabii juu ya Yehoshafati; akasema, “kwa sababu umepatana na Ahazia, Yahwe ameiharibu miradi yako.” Meli zilivunjika ili kwamba zisiweze kusafiri.
and to prophesy Eliezer son: child Dodavahu from Mareshah upon Jehoshaphat to/for to say like/as to unite you with Ahaziah to break through LORD [obj] deed: work your and to break fleet and not to restrain to/for to go: went to(wards) Tarshish

< 2 Nyakati 20 >