< 2 Nyakati 2 >

1 Sasa Selemani akaamuru kulijengea nyumba jina la Yahwe na nyumamba kwa ajili ya ikulu ya ufalme wake.
Hina bagade Soloumane da dunu ilia da Hina Godema nodone sia: ne gadoma: ne, Debolo Diasu gagumusa: ilegei. Amola hi amoga esaloma: ne, hi diasu gagumusa: ilegei.
2 Selemeni akateua wanaume elfu sabini wabebe mizigo, na wanaume elfu themanini wa kukata mbao katika mlima, na wanaume 3, 600 kwa ajili ya kusimamia.
Soloumane da 80,000 dunu enowane agolo sogega magufu damusu hawa: hamoma: ne asunasi. Amola dunu eno 70,000 agoane ilia da amo magufu damui gisima: ne asunasi. Amola ilia hawa: hamosu amo ouligima: ne, e da sesesu dunu 3,300 agoane asunasi.
3 Selemani akatuma ujumbe kwa Hiramu, mfalme wa Tiro, ukisema, “Kama ulivyofanya na Daudi baba yangu, ulivyomtumia magogo ya mierezi ili ajenge nyumba ya kuishi, fanya hivyo hivyo na mimi.
Soloumane da Daia Soge hina bagade Haila: mema amane sia: si, “Di da na ada hina bagade Da: ibidima ea hina bagade diasu gaguma: ne, ema dolo ifa bidi lai. Wali, nama bidi lasu hamoma.
4 Tazama, niko karibu kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yahwe Mungu wangu, kuiweka wakifu kwake, kwa ajili ya kumtolea sadaka za kuteketezwa zenye viungo vitamu mbele zake, kwa ajili ya mkate wa uwepo, na kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa asubuhi na jioni, katika siku za Sabato na za mwezi mpya, na katika sikukuu zilizoteuliwa kwa ajili ya Yahwe Mungu wetu. Hii itakuwa milele, kwa Israeli.
Wali na da na Hina Godema nodone sia: ne gadosu Debolo diasu gagumusa: ilegei dagoi Amo Debolo Diasu da hadigidafa diasu ba: mu. Amola amo ganodini, na amola na fi dunu da Ema nodomusa: , gabusiga: manoma gobele salimu, hadigi agi Ema imunu, amola hahabe, daeya, Sa: bade eso, Oubi Gaheabolo Lolo Nasu eso, amola eno Hina Godema nodone sia: ne gadosu eso huluane, amoha Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele salasu hou hamomu.
5 Nyumba nitakayoijenga itakuwa kubwa sana, maana Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote.
Na da Debolo Diasu noga: idafa gagumusa: ilegesa. Bai ninia Gode da bagadedafa. E da eno ‘gode’ liligi bagadewane baligisa.
6 Lakini ni nani anayeweza kumjengea Mungu nyumba, kama dunia yote na hata mbigu yenyewe haviwezi kumtosha? Mimi ni nani hata nimjengee nyumba, ispokuwa sadaka kwa ajili ya sadaka za kufukiza mbele zake?
Be osobo bagade dunu da dafawane Godema debolo gagumu hamedei ba: sa. Bai E da bagadedafaba: le mu bagadedafa da Ema fonobahadi agoai ba: sa. Amaiba: le, na da E amo ganodini esaloma: ne, habodane Debolo Diasu gaguma: bela: ? Na gagumu liligi da Ema gabusiga: gobele salasu diasu fawane ba: mu gala.
7 Kwa hiyo nileteeni mtu mwenye ujuzi wa kazi katika kazi ya dhahabu, fedha, shaba, na chuma, na ya dhambarau, na nyekundu, na sufu ya samawati, mtu anayejua kutengeza aina zote za mapambo ya mbao. Atakuwa na watu wenye ustadi waliopamoja nami katika Yuda na Yerusalemu, ambao Daudi baba yangu aliwaweka.
Defea! Wali di dunu amo da gouli, silifa, balase, amola gula amoga dedesu hou noga: le dawa: , amola haisewe, oga: iyei, amola yoi abula amunasu hou noga: le dawa: - amo dunu nama asunasima. E amola Yuda amola Yelusaleme hawa: hamosu dunu amo na ada Da: ibidi ilegei, ilia da gilisili hawa: hamomu.
8 Nitumieni pia mierezi, miberoshi, na miti ya msandali kutoka Lebanoni, maana najua ya kuwa watumishi wako wanajua jinsi ya kukata mbao katika Lebanoni. Angalia, watumishi wangu watakuwa na watumishi wako,
Na dawa: Dia dunu ilia ifa abusa: su bagade dawa: Amaiba: le, dolo, saibalase amola yunibe ifa Lebanone sogega abusale, nama iasima. Na da na hawa: hamosu dunu, dia fi dunuma fidima: ne asunasimu.
9 ili kwamba watayarishe mbao nyingi kwa ajili yangu, maana nyumba ninayotaka kuijenga itakuwa kubwa na ya ajabu.
Ninia da ifa bagohame momagela: di. Bai Debolo Diasu na gagumu ilegei da bagade amola noga: idafa ba: mu.
10 Angalia, nitawapa watumishi wako, watu watakaozikata mbao, kori ishirini elfu za ngano ya aridhini, kori ishirini elfu za shayiri, bathi ishirini elfu za mvinyo, na bathi ishirini elfu za mafuta.” (Maandishsi ya kale yanasema: “kori ishirini elfu za ngano kama chakula”).
Na da widi gala: ine 2,000 danese, bali gala: ine 2,000 ‘danese’ agoane, waini hano 400,000 lida agoane, amola olife susuligi noga: idafa 400,000 lida agoane, dia hawa: hamosu dunu ili moma: ne, dima iasimu.”
11 Kisha Hiramu, mfalme wa Tiro, akajibu kwa maandishi, ambayo alimtumia Selemani: “Kwa kuwa Yahwe anawapenda watu wake, amekufanya kuwa mfalme juu yao.”
12 Zaidi ya hayo, Hiramu akasema, “Abarikiwe Yahwe, Mungu wa Israeli, aliyeziumba mbingu na dunia, amempa Daudi mwana mwenye hekima, mwenye karama ya busara na uelewa, ambaye atajenga nyumba kwa aajili ya Yahwe, na nyumba kwa ajili ya ufalme wake.
Hina bagade Haila: me da Soloumanema meloa agoane dedene iasi, “Wali eso, Hina Gode, mu amola osobo bagade Hahamosu Dunu, Ema nodoma! Bai E da Da: ibidima bagade dawa: su mano i dagoi. Amola e da wali Hina Gode Ea Debolo Diasu amola hina bagade diasu gagumusa: ilegei dagoi.
13 Sasa nimemtum mtu mwenye ujuzi, mwenye karama ya uelewa, Hiramu, mtaalamu wangu.
Na da bagade dawa: su hawa: hamosu dunu ea dio amo Hiula: me, amo dima asunasimu.
14 Ni mwana wa mwanamke wa binti za Dani. Baba yake alikuwa mtu kutoka Tiro. Ana ujuzi katika kazi za dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe, na katika mbao, na katika dhambarau, samawati, na sufu yenkundu, na kitani safi. Pia ana ujuzi katika kutengeneza michoro ya aina yoyote na katika kubuni kitu chochote. Apatiwe nafsi miongoni mwa watumishi wako wenye ujuzi, na pamoja na wale wa bwana wangu, Daudi, baba yako.
Ea ame da Da: ne fi uda amola ea ada da Daia sogega esalu dunu. E da gouli, silifa, balase, amola gula amoga dedesu hou noga: le dawa: , amola haisewe, oga: iyei, amola yoi abula amunasu hou noga: le dawa: Dia da ema sia: sea, e da dia sia: i defele, amo liligiga hawa: hamomu. E amola dia medenegi hawa: hamosu dunu amo ilia dia ada Da: ibidi olelei, ilia gilisili hawa: hamomu da defea.
15 Sasa, ngano na shayiri, mafuta na mvinyo, ambayo bwana wangu aliisema, na apeleke sasa vitu hivi kwa watumishi wake.
Amaiba: le, widi, bali, waini hano, amola olife susuligi, di ninima imunusa: ilegele sia: i liligi, amo ninima iasima.
16 Tutakata mbao kutoka Lebanoni, mbao nyingi kadri unavyohitaji. Tutazileta kwako kama mitumbwi kupitia bahari kwenda Yafa, na utazibeba hadi Yerusalemu.”
Ninia da Lebanone goumi sogeganini, dolo ifa dia hanai defele abusa: le, hano wayabo bagade amogudu hiougilala dafia: le, simi amunawene, amalu hanoba: le sua: sa sa: ili, hano bega: moilai Yoba amogawi doaga: mu. Amogawi, na dunu ilia da liligi simiga fadegale, dia dunu ilia da amo ifa Yelusalemega gaguli masunu.”
17 Selemani akawahesabu watu wageni waliokuwa katika nchi ya Israeli, kwa kutumia njia ya Daudi, baba yake, aliyoitumia kuwahesabu. Walikutwa wako 153, 600.
Hina bagade Soloumane da ea ada Da: ibidi ea musa: hamoi defele, ga fi dunu Isala: ili soge ganodini esalu, amo ilia dio idili dedei. Ilia idi da 153,600 agoane.
18 Miongoni mwao aliwateua sabini elfu ili wabebe mizigo, themanini elfu kuwa wakataji wa mbao katika milima, na 3, 600 kuwa wasimamizi wa kuwasimamia watu wafanye kazi.
E da amo dunu mogili, hawa: hamosu ilima agoane ilegei: - E da dunu 70,000 agoane da ifa amola eno liligi gaguli masa: ne ilegei. E da dunu 80,000 agoane da agolo sogega, magufu damusu hawa: hamoma: ne ilegei. Amola ilia hawa: hamosu amo noga: le ouligima: ne, e da sesesu dunu 3,300 agoane ilegei.

< 2 Nyakati 2 >