< 2 Nyakati 19 >

1 Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
Men Josaphat, Juda Konung, kom hem igen med frid till Jerusalem.
2 Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
Och gick ut emot honom. Jehu, Hanani son, Siaren, och sade till Konung Josaphat: Skulle du så hjelpa den ogudaktiga, och älska dem som Herran hata? Och fördenskull är öfver dig Herrans vrede.
3 Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
Så är dock likväl något godt funnet i dig, att du hafver borthäfvit de lundar utu landena, och hafver skickat ditt hjerta till att söka Gud.
4 Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
Alltså blef Josaphat i Jerusalem. Och han drog åter ut ibland folket, allt ifrå BerSeba, och in uppå Ephraims berg, och igenkallade dem till Herran deras fäders Gud.
5 Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
Och han beställde domare i landena uti alla Juda fasta städer, ju några uti hvar stad;
6 Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
Och sade till domarena: Ser till hvad I gören; förty I hållen icke menniskodom, utan Herrans, och han är med eder i domen.
7 Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
Derföre, låter Herrans fruktan vara när eder. Tager eder vara, och görer så; ty när Herranom vårom Gud är ingen orätt, eller anseende till personer, ej heller tager han gåfvor.
8 Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
Ock satte Josaphat i Jerusalem utaf Leviterna och Presterna, och utaf de öfversta fäderna i Israel, öfver Herrans dom och saker, och lät dem bo i Jerusalem;
9 Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
Och böd dem och sade: Görer alltså uti Herrans fruktan, med tro och rätto hjerta.
10 Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
Uti alla de saker, som komma till eder ifrån edra bröder, som bo i sina städer, emellan blod och blod, emellan lag och bud, emellan seder och rätter, skolen I undervisa dem, att de icke förbryta sig emot Herran, och en vrede må komma öfver eder, och edra bröder; görer alltså, så varden I icke brottslige.
11 Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”
Si, Amaria Presten är öfverste öfver eder i alla Herrans saker; så är Sebadia, Ismaels son, Förste i Juda hus, i alla Konungssaker; så hafven I ämbetsmän Leviterna för eder. Varer tröste, och görer så, och Herren varder blifvandes med dem goda.

< 2 Nyakati 19 >