< 2 Nyakati 18 >

1 Sasa Yehoshafati alikauwa na utajiri mwingi na heshima kubwa; alifanya undugu na Ahabu mmoja wa watu wa familia yake akamuo binti yake.
Og Josafat havde Rigdom og Ære i Mangfoldighed, og han gjorde Svogerskab med Akab.
2 Baada ya miaka kadhaa, akashsuka chini kwa Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja kondoo na ngo'mbe wengi kwa ajili ya yake na watu waliokuwa pamoja naye. Ahabu pia akamshawishi kuivamia Ramothi-gileadi pamoja naye.
Og der nogle Aar vare til Ende, drog han ned til Akab til Samaria, og Akab lod slagte smaat Kvæg og stort Kvæg i Mangfoldighed til ham og til det Folk, som var med ham, og han tilskyndede ham til at drage op til Ramoth i Gilead.
3 Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia Yehoshafati, mfalme wa Yuda, “Utakwenda Ramothi-gileadi pamoja nami?” Yehoshafati akamjibu, “Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako; tutakuwa pamoja nawe katika vita.”
Thi Akab, Israels Konge, sagde til Josafat, Judas Konge: Vil du drage med mig til Ramoth i Gilead? Og han sagde til ham: Jeg vil være ligesom du, og mit Folk skal være ligesom dit Folk, og vi ville være med dig i Krigen.
4 Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli, Tafadhali litafute neno la Yahwe kwanza kwa ajili ya jibu lako”
Fremdeles sagde Josafat til Israels Konge: Kære, adspørg i Dag Herrens Ord!
5 Kisha mfale wa Israeli akawakusanya manabii pamoja, wanauame mia nne, na akasema akwao, Tutaenda vitani Ramothi-gileadi, au nisiende?” Wakasema, “Vamia, kwa maana Mungu ataitia mkononi mwa mfalme.”
Da samlede Israels Konge Profeterne, fire Hundrede Mænd, og sagde til dem: Skulle vi drage imod Ramoth i Gilead til Krig, eller skal jeg lade være? og de sagde: Drag op, og Gud skal give den i Kongens Haand.
6 Lakini Yehoshafati akasema, “Hakuna nabii mwingine hapa wa Yahwe ambaye kwake tunapaswa kutafuta ushauri?”
Men Josafat sagde: Er her ikke endnu en Herrens Profet, at vi kunne spørge ham ad?
7 Mfale wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Bado kuna mtu mmoja amabaye kwake lazima tuutafute ushauri wa Yahwe, Mikaya mwana wa Imla, lakini namchukia kwa sababu yeye huwa hatabiri mema kamwe kuhusu mimi, bali kila mara maovu,” Lakini Yehoshafati akasema, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”
Og Israels Konge sagde til Josafat: Her er endnu en Mand, ved hvilken man kan adspørge Herren (men jeg hader ham, fordi han spaar ikke godt over mig, men alle sine Dage ondt), det er Mika, Jimas Søn; og Josafat sagde: Kongen sige ikke saa!
8 Kisha mfalme wa Israeli akamwita akida na kusema, Haraka mlete Mikaya mwana wa Imla.”
Da kaldte Israels Konge ad en Kammertjener og sagde: Hent hurtigt Mika, Jimlas Søn!
9 Sasa Ahabu mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wamekaa kila mmoja katika kiti cha enzi, wamevalia kanzu zao, katika sehemu ya uwazi katika maingilia ya lango la Samaria, na manabii wote walikuwa wakitabairi mbele zao.
Og Israels Konge og Josafat, Judas Konge, sade hver paa sin Trone, iførte Kongedragt, og de sade paa en fri Plads foran Indgangen til Samarias Port; og alle Profeterne spaaede for deres Ansigt.
10 Zedekia mwana wa Kenaani akajitengenezea pembe za chuma na kusema, Yahwe anasema hivi: Kwa kutumia hizi pembe mtawasukuma Waaramu hadi waangamie.”
Og Zedekias, Kna'anas Søn, havde gjort sig Jernhorn og sagde: Saa sagde Herren: Med disse skal du stange Syrerne, indtil de aldeles udryddes.
11 Manabii wote wakatabiri kitu kile kile, wakisema, “Vamia Raamothi-gleadi na shinda. kwa maana Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme.”
Og alle Profeterne spaaede saaledes og sagde: Drag op til Ramoth i Gilead og vær lykkelig, og Herren skal give den i Kongens Haand.
12 Mjumbe aliyeenda kumuita Mikaya akasema kwake, akisema, “Sasa angalia, maneno ya manabii yanatangaza mambo mema kwa ajili ya mfalme kwa kinywa kimoja. Tafadhali maneno yako yawe kama maneno ya mmoja wao na sema mambo mema.”
Og Budet, som var gaaet bort for at kalde Mika, talte til ham, sigende: Se, Profeternes Ord ere som af een Mund gunstige for Kongen; kære, lad dit Ord og være som Ordet af een af dem, og tal gunstigt!
13 Mikaya akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, mimi nitasema kile mbacho Mungu anasema.”
Da sagde Mika: Saa vist som Herren lever, det som min Gud siger, det vil jeg tale.
14 Alipokuja kwa mfalme, mfamle akamwambaia, “Mikaya, tutaenda Ramothi -gileadi kwa ajili ya vita, au la?” Mikaya akamjibu, “Vamia na utashinda! kwa maana utakuwa ushinda mkuu.”
Og han kom til Kongen, og Kongen sagde til ham: Mika, skulle vi drage imod Ramoth i Gilead til Krig, eller skal jeg lade være? Og han sagde: Drager op og værer lykkelige, og de skulle gives i eders Haand.
15 Kisha mfalme akasema kwake, “Ni mara ngapi ninapaswa kukutaka kuapa kutoniambia kitu chochote sispokuwa kweli katika jina la Yahwe?
Og Kongen sagde til ham: Hvor mange Gange skal jeg besværge dig, at du intet siger mig uden Sandheden i Herrens Navn?
16 Kwa hiyo Mikaya akasema, “Niliwaoana Israeli wametawanyika ktika mlima, kama kondoo wasio na mchungaji, na Yahwe akasema, hawa hawana mchungaji. Ebu kila mtu arudi nyumbani kwake kwa amani.”
Da sagde han: Jeg saa al Israel adspredt paa Bjergene som Faar, der ingen Hyrde have; og Herren sagde: Disse have ingen Herre, lad dem vende tilbage, hver til sit Hus med Fred.
17 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba asingeweza kutabiri mema juu yangu, bali majanga tu?
Da sagde Israels Konge til Josafat: Har jeg ikke sagt dig: Han spaar mig ikke godt, men ondt?
18 Kisha Mikaya akasema, “Kwa hiyo ninyi nyote mnapashwa kulisikia neno la Yahwe: Nilimuon Yahwe amekaa juu ya kiti chake cha enzi, na majeshi yote ya mbinguni yalikauwa yamekaa mkono wake wa kulia na mkono wake wa kushoto.
Og han sagde: Hører derfor Herrens Ord: Jeg saa Herren sidde paa sin Trone, og al Himmelens Hær staaende ved hans højre og ved hans venstre Side;
19 Yahwe akasema, Ni nani atakayemrubuni Ahabu, mfalme wa Israeli, ili kwamba aende na kuanguka huko Ramothi-gileadi?' Mmoja alisema hivi na mwingine hivi.
og Herren sagde: Hvo vil overtale Akab, Israels Konge, at han skal drage op og falde ved Ramoth i Gilead? Og han sagde: Den ene sagde saa, og den anden sagde saa.
20 Kisha roho ikaja moja kwa maja na kusimama mbele ya Yahwe na kusema, 'Nitamrubuni.' Yahwe akamwambia, 'Kivipi?'
Da gik en Aand ud og stod for Herrens Ansigt og sagde: Jeg vil overtale ham; og Herren sagde til ham: Hvormed?
21 Roho ikajibu, “nitatoka nje na nitakuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.' Yahwe akajibu, 'utamrubuni, na pia utafanikiwa. nenda sasa na fanya hivyo.'
Og han sagde: Jeg vil gaa ud og være en løgnagtig Aand i alle hans Profeters Mund; og han sagde: Du skal overtale ham og ogsaa formaa det; gak ud og gør saaledes!
22 Sasa ona, Yahwe ameweka roho ya uongo katika midomo ya manabii wako hawa, na Yahwe ametangaza majanga kwa ajili yako.”
Og nu se, Herren har givet en løgnagtig Aand i disse dine Profeters Mund; men Herren har talt ondt over dig.
23 Kisha Zedekia mwana wa Kenaana, akaja, akampiga kofi mika juu ya shavu, na kusema, “Kwa njia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe?”
Da gik Zedekias, Kna'anas Søn, frem, og slog Mika paa Kinden og sagde: Hvor er den Vej, ad hvilken Herrens Aand er gaaet bort fra mig til at tale med dig?
24 Mika akasema, Angalia, utalijua hilo katika siku hiyo, mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha.”
Og Mika sagde: Se, du skal se det paa den Dag, naar du gaar ind fra et Kammer i et andet for at skjule dig.
25 Mfalme wa Israeli akasema kwa baadhi ya watumishi, “Enyi watu mkamateni Mikaya na mmpeleke hadi Amoni, mkuu wa mji na, na kwa Yoashi, mwanangu.
Da sagde Israels Konge: Tager Mika og fører ham tilbage til Amon, Stadens Befalingsmand, og til Joas, Kongens Søn,
26 Nanyi mtamwambia, 'Mfalme anasema: Mweke gerezanai huyu mtu na umlishe kwa mkate kiogo tu na maji kidogo tu, mpaka nitakaporudi salama.”
og siger: Saa siger Kongen: Sætter denne i Fængsels Hus og bespiser ham med Trængsels Brød og Trængsels Vand, indtil jeg kommer tilbage med Fred.
27 Kisha Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, Yahwe hajasema nami.”Kisha akaongeza, “Sikiliza haya, enyi watu wote.”
Og Mika sagde: Dersom du kommer tilbage med Fred, da har Herren ikke talt ved mig; og han sagde: Hører, I Folk alle sammen!
28 Kwa hiyo Ahabu, mfalme wa Israeli, na Yehoshafati, mfalme wa Yuda, wakaenda juu ya Ramothi-giledi.
Saa drog Israels Konge og Josafat, Judas Konge, op imod Ramoth i Gilead.
29 Mfalme wa Israeli akamwamabia Yehoshafati, “Nitajibadilisha mwenyewe na kwenda vitani, lakini wewe vaa mavazi yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalame wa Israeli akajibalisha, na wakaenda vitani.
Og Israels Konge sagde til Josafat: Jeg vil forklæde mig og gaa i Kampen, men tag du dine egne Klæder paa; og Israels Konge forklædte sig, og de gik i Kampen.
30 Sasa mfalme wa Aramu alikuwa amewaamuru maakida wa magari yake, akisema, Msiwavamie wanajeshsi wasio wa muhimu wala wanajeshsi muhimu. Badala yake, mvamieni mfalme wa Israeli pekee,”
Men Kongen af Syrien bød de Øverste for Vognene, som han havde, og sagde: I skulle ikke stride imod liden eller stor, uden imod Israels Konge alene.
31 Ikawa kwamba maakida wa magari walipomuona Yehoshafati wakasema, “Yule ni mfalme wa Israeli.” Wakageka kumzunguka wamvamie, lakini Yehoshafati akalia, na Yahwe akamsaidia. Mungu akawageza nyuma kutoka kwake.
Og det skete, der de Øverste for Vognene saa Josafat, da sagde de: Han er Israels Konge; og de omringede ham for at stride; men Josafat raabte, og Herren hjalp ham, og Gud tilskyndede dem til at vende sig fra ham.
32 Ikawa kwamba maakida wa magari walipoona ya kuwa hakuwa mfalme wa Israeli, wakarudi nyuma wasimfukuze.
Og det skete, der de Øverste for Vognene saa, at det ikke var Israels Konge, da vendte de tilbage fra ham.
33 Lakini mtu mmoja akauvuta upinde wake kwa kubahatisha na kumpiga mfalme wa Israeli kati kati ya maungio ya mavazi yake. Kisha Ahabu akamwambia dereva wa gari lake, “Geuza nyuma na nitoe nje ya mapigano, kwa maana nimejeruhiwa vibaya sana.”
Og en Mand spændte Buen paa Lykke og Fromme og skød Israels Konge imellem Remmene og Panseret; da sagde han til Køresvenden: Vend din Haand om og før mig ud af Hæren; thi jeg er saaret.
34 Mapigano yakazidi kuwa makali siku hiyo, na mfalme wa israeli akashikiliwa katika gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Muda jua lilipokaria kwenda chini, akafa.
Og Kampen tog til paa den samme Dag, og Israels Konge blev staaende i Vognen over for Syrerne indtil Aftenen; og han døde ved den Tid, da Solen gik ned.

< 2 Nyakati 18 >