< 2 Nyakati 17 >

1 Yehoshafati mwana wa Asa akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoshafati akajiimarisha dhidi ya Israeli.
Et Josaphat, son fils, régna à sa place; et il se fortifia contre Israël,
2 Akaweka majeshi katika miji yote Yuda yenye ngome, na akaweka magereza katika nchi ya Yuda na katika miji ya Efraimu, ambayo Asa baba yake alikuwa ameiteka.
et mit des troupes dans toutes les villes fortes de Juda, et mit des garnisons dans le pays de Juda et dans les villes d’Éphraïm qu’Asa, son père, avait prises.
3 Yahwe alikuwa pamoja na Yehoshafati kwa sababu alitembea katika njia za kwanza za baba yake Daudi, na hakuwatafuta Mabaali. (Baadhi ya mandiko ya kale hayana “Daudi”, na baadhi ya matoleo ya kisasa yameacha hili jina “Daudi).
Et l’Éternel fut avec Josaphat, car il marcha dans les premières voies de David, son père, et ne rechercha point les Baals,
4 Badala yake, alimtegemea Mungu wa baba yake, na alitembea katika amri zake, siyo katika tabia ya Israeli.
mais il rechercha le Dieu de son père, et marcha dans ses commandements, et non comme faisait Israël.
5 Kwa hiyo Yahwe akaimarisha sheria katika mkono wake; Yuda wote wakaleta kodi kwa Yehoshafati. Alikuwa na utajiri na heshima kubwa.
Et l’Éternel affermit le royaume dans sa main; et tout Juda fit des présents à Josaphat, et il eut beaucoup de richesses et de gloire.
6 Moyo wake ulikuwa umejikita katika njia za Yahwe. Pia aliziondoa sehemu za juu na Maashera mbali na Yuda.
Et il prit courage dans les voies de l’Éternel, et de plus, il ôta de Juda les hauts lieux et les ashères.
7 Katika mwaka wa tatu wa utawala wake aliwatuma wakuu wake Ben-haili, Obadia, Zekaria, Nethania, na Mikaya, ili wafundishe katika miji ya Yuda.
Et la troisième année de son règne, il envoya ses chefs, Ben-Haïl, et Abdias, et Zacharie, et Nethaneël, et Michée, pour enseigner dans les villes de Juda;
8 Pamoja nao walikuwepo Walawi: Shemaya, Nethanieli, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, na Tob-adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu.
et avec eux les lévites, Shemahia, et Nethania, et Zebadia, et Asçaël, et Shemiramoth, et Jonathan, et Adonija, et Tobija, et Tob-Adonija, lévites; et avec eux Élishama et Joram, sacrificateurs;
9 Walifundisha katika Yuda, wakiwa na kitabau cha sheria ya Yahwe. Wakaenda karibu miji yote ya Yuda na kufundisha miongoni mwa watu.
et ils enseignèrent en Juda, ayant avec eux le livre de la loi de l’Éternel; et ils firent le tour de toutes les villes de Juda, et enseignèrent parmi le peuple.
10 Hofu ya Yahwe ikashuka juu ya falme zote za nchi, zilizouzunguka Yuda, kwa hiyo hazikufanya vita dhidi ya Yehoshafati.
Et la frayeur de l’Éternel fut sur tous les royaumes des pays qui étaient autour de Juda, et ils ne firent pas la guerre à Josaphat.
11 Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi, fedha kama kodi. Waarabu pia wakamletea makundi, 7, 700 kondoo waume, na mbuzi 7, 770.
Et il y eut des Philistins qui apportèrent à Josaphat des présents, et de l’argent comme tribut; les Arabes aussi lui amenèrent du menu bétail, 7 700 béliers et 7 700 boucs.
12 Yehoshafati akawa na nguvu sana.
Et Josaphat alla grandissant jusqu’au plus haut degré. Et il bâtit en Juda des châteaux et des villes à entrepôts.
13 Akajenga ngome na miji ya maghala katika Yuda. Alikuwa na kazi nyingi katika miji ya Yuda, na wanajeshsi—imara, wanaume hodari—katika Yerusalemu.
Et il eut beaucoup de travail dans les villes de Juda, et des hommes de guerre forts et vaillants dans Jérusalem.
14 Hapa ni rodha yao, wamepangwa kwa majina ya nyumba za baba zo: Kutoka Yuda, maakida wa maelfu; Adna yule jemedari, na pamoja naye wanaume wa kwenda vitani 300, 000;
Et c’est ici leur recensement, selon leurs maisons de pères: pour Juda, les chefs de milliers, Adna, le chef, et avec lui 300 000 hommes forts et vaillants;
15 akifuatiwa na Yehonani jemedari, na pamoja naye wanaume 280, 00;
et à côté de lui, Jokhanan, le chef, et avec lui 280 000;
16 akifuatiwa na Amasia mwana wa Zikri, ambaye kwa hiari alijitoa kumtumikia Yahwe; na pamoja naye wanaume wa kwenda vitani 200, 000.
et à côté de lui, Amasia, fils de Zicri, qui s’était volontairement donné à l’Éternel, et avec lui 200 000 hommes forts et vaillants.
17 Kutoka Benyamini: Eliada mtu jasiri, na pamoja naye watu 200, 000 waliovaa upinde na ngao;
Et de Benjamin, l’homme fort et vaillant, Éliada, et avec lui 200 000 [hommes] armés de l’arc et de l’écu;
18 akifutiwa na Yehozabadi, na pamoja naye askari 180, 000 waliotayari kwa vita.
et à côté de lui, Jozabad, et avec lui 180 000 [hommes] équipés pour l’armée.
19 Hawa walikuwa ni wale ambao walimtumikia mfalme, miongoni mwao wale ambao mfalme aliwaweka katika miji ya ngome katika Yuda yote.
Ce sont là ceux qui servaient le roi, outre ceux que le roi avait mis dans les villes fortes, dans tout Juda.

< 2 Nyakati 17 >