< 2 Nyakati 16 >

1 Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Baasha, mfalme wa Israeli, akatenda kwa ukatili dhidi ya Yuda na akaujenga Rama, ili kwamba asimruhusu mtu yeyote kutoka wala kuingia katika nchi ya Asa, mfalme wa Yuda.
Asa siangpahrang a bawinae kum 36 navah, Isarel siangpahrang Baasha ni Judahnaw a tuk teh, siangpahrang Asa koe apihai a kâen a tâco thai hoeh nahanlah Ramah kho a kangdue sak.
2 Kisha Asa akaitoa fedha na dhahabu nje ya vyumba vya kuhifadhia katika nyumba ya Yahwe na nje ya nyumba ya mfalme, na akaituma kwa Ben Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye aliishi Dameski. Akasema, pawe na agano kati yako na mimi, kama palivyokuwa na agano kati ya baba yangu na baba yako. Angalia, nimekutumia fedha na dhahabu.
Hatnavah, Asa ni BAWIPA e im hoi siangpahrang im dawk e sui, ngun, kaawm e pueng a la teh, Damaskas kho kaawm e Siria siangpahrang a patawn teh ahni koevah,
3 Livunje agano lako na Baasha, mfalme wa Israeli, ili kwamba aniache.”
lawkkamnae kai hoi nang rahak, apa hoi na pa rahak ao. Khenhaw! kai ni nang koe sui hoi ngun na patawn. Hatdawkvah, Isarel siangpahrang Baasha koe cet nateh, lawkkamnae raphoe nateh kai koe tho haw, '' telah lawk a thui.
4 Ben Hadadi akamsikiliza mfalme Asa na kutuma maakida wa majeshsi dhidi ya miji ya Israeli. Wakavamia Iyoni, Dani, Abelimaimu, na miji yoye ya kuhifadhia ya Naftali.
Siangpahrang Benhadad ni siangpahrang Asa e lawk a tang teh, Isarel ram dawk e khopuinaw tuk hanelah ransabawinaw a patoun. Ijon, Dan, Abelman hoi Naphtali ram dawk e hnopai hrueknae khonaw pueng a tuk.
5 Ikawa kwamba Baasha aliposikia hili, akaacha kuujenga Rama, na akaistisha kazi yake.
Baasha ni hote kamthang a thai toteh, Ramah kho a thawng lahun e a kâhat.
6 Kisha Asa mfalme akawachukua Yuda wote pamoja naye. Wakayabeba mawe na mbao za Rama ambazo Baasha alikuwa anajengea ule mji. Kisha Mfalme Asa alitumia vifaa hivyo vya ujenzi kwa ajili ya kuijenga Gaba na Mispa.
Hottelah siangpahrang Asa ni Judahnaw abuemlahoi a ceikhai teh, Baasha ni Ramah kho a thawng nahanelah talungnaw hoi thingnaw a rakueng e koung a la teh, Geba hoi Mizpah kho thawngnae koe a hno.
7 Wakati huo Hanani mwonaji akaenda kwa Asa, mfalme wa Yuda, na akamwambia, “Kwa sababu umemtegemea mfalme wa Aramu, na hukumtegemea Yahwe Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limetoroka nje ya mikono yako.
Hatnavah profet Hanani teh Judah siangpahrang Asa koe a tho teh, ahni koevah, BAWIPA na Cathut na kângue laipalah, Siria siangpahrang na kângue. Hatdawkvah, Siria siangpahrang e ransanaw teh na kut dawk hoi koung a hlout toe.
8 Waethiopia na Walubi hawakuwa jesi kubwa, wenye magari mengi na wapanda farasi wengi? Na bado, kwa sababau ulimtegemea Yahwe, alikupa ushindi juu yao.
Ethiopia taminaw hoi Lubim taminaw teh ransanaw, ranglengnaw hoi marangransanaw nahoehmaw. Hatei, BAWIPA na kâuep dawkvah, ahni ni na kut dawk a hnawng
9 Kwa maana macho ya Yahwe hukimbia kila mahali katika dunia yote, ili kwamba ajioneshe mwenyewe shujaa kwa niaba ya wale amabao mioyo yao ni mikamilifu kumwelekea yeye. Lakini umetenda kipumbavu katika jambo hili. Kwa maana tangu sasa na kuendelea, utakuwa na vita.” Kisha Asa akamkasirikia mwonaji, akamuweka gerezani, kwa maana alikuwa na hasira naye juu ya jambao
Ama koe yuemkamcu e lungthin ka tawn e tami koevah, athakaawme taminaw a kamnue sak hanelah, talai van pueng dawk BAWIPA ni a mit hoi pou a radoung. Hete hno dawk pathu lahoi thaw na tawk dawkvah, atu hoi teh taran na tawn han toe telah atipouh.
10 hili. Wakati huo huo, aliwagandamiza baadhi ya watu
Hahoi Asa teh profet koe a lungkhuek dawkvah, thongim a pabo. Bangkongtetpawiteh, a dei pouh e lawk kecu dawk a lung thouk a khuek. Hahoi Asa ni tami tangawn hai a rek.
11 Tazma, matendo ya Asa, kutoka mwanzo hadi mwisho, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Asa thaw tawknae a kamtawng hoi a pout totouh e Judah hoi Isarel siangpahrangnaw e cauk dawk thut lah ao.
12 Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipata ugnjwa kwenye miguu yake; ugonjwa wake ulikuwa mkali sana. Hata hivyo, hakutafuta msaada kutoka kwa Yahwe, lakini kutoka kwa waganga tu.
Asa a bawinae kum 39 navah, a khok dawk patawnae a tawn teh, patawnae teh puenghoi a nut. Hatei patawnae dawk BAWIPA tawng laipalah tâsibawinaw dai a tawng.
13 Asa akalala pamoja na babu zake; alikufa katika mwaka wa arobaiani na moja wa utawala wake. Wakamzika katika kaburi lake, ambalo alilichimba mwenyewe katika mji wa Daudi.
A uknae kum 41 touh navah, Asa teh mintoenaw koe a kâhat.
14 Walimlaza juu ya kitanda kilichokuwa kimewekewa manukato na aina mbali mbali ya dawa zilizotayarishwa na wale mafundi wa manukato. KIsha wakatengeneza moto kwa heshima yake.
Devit khopui dawk ama hanelah a ran e phuen dawk a pakawp awh. Hmuitui kasaknaw ni aphunphun dawk a sak awh e ikhun dawk a yan sak. Barinae lah hmaikonpui a patawi sak awh.

< 2 Nyakati 16 >