< 2 Nyakati 16 >

1 Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Baasha, mfalme wa Israeli, akatenda kwa ukatili dhidi ya Yuda na akaujenga Rama, ili kwamba asimruhusu mtu yeyote kutoka wala kuingia katika nchi ya Asa, mfalme wa Yuda.
Asa Lengvai poh kum somthum lhin kumin, Israel lengpa Baasha chun Judah gam ahin bullu tan ahile; Judah gamsunga Asa gamkol akonna koimacha lutle potle aumlouna dingin Ramah khopia chun kul agen tan ahi.
2 Kisha Asa akaitoa fedha na dhahabu nje ya vyumba vya kuhifadhia katika nyumba ya Yahwe na nje ya nyumba ya mfalme, na akaituma kwa Ben Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye aliishi Dameski. Akasema, pawe na agano kati yako na mimi, kama palivyokuwa na agano kati ya baba yangu na baba yako. Angalia, nimekutumia fedha na dhahabu.
Asa chun alethuh nai, Pakai Houin le leng inpia um gouthil kikoina um sana le dangka jouse chu aladoh in; Damascus gam vaihom Ram Lengpa Baasha chu thu athot tan ahi.
3 Livunje agano lako na Baasha, mfalme wa Israeli, ili kwamba aniache.”
Kapa le nangpa kah’a kinoptona ana um bang chun eini kah’a jong umhen. “Ven, keiman sana le dangka kahin thotne Israel lengpa Baasha toh na kinop tona hon chu sutang jengin chutile aman eidalha tante.”
4 Ben Hadadi akamsikiliza mfalme Asa na kutuma maakida wa majeshsi dhidi ya miji ya Israeli. Wakavamia Iyoni, Dani, Abelimaimu, na miji yoye ya kuhifadhia ya Naftali.
Ben-Hadad leng pan Asa taona anoppeh in, chule Israel khopi ho bullu ding in a sepai ja lamkai pachu asoltan ahi. Amahon Ijon, dan Abel-beth- Maacah khopiho le Naphthali gam sunga thil khol khopi len ho jouse chu ala tauvin ahi.
5 Ikawa kwamba Baasha aliposikia hili, akaacha kuujenga Rama, na akaistisha kazi yake.
Baasha Israel Lengpan thilsoh ho chu ajah doh doh chun, Ramah khopi kul getna tohgon adalhan anatoh jouse chu angatan ahi.
6 Kisha Asa mfalme akawachukua Yuda wote pamoja naye. Wakayabeba mawe na mbao za Rama ambazo Baasha alikuwa anajengea ule mji. Kisha Mfalme Asa alitumia vifaa hivyo vya ujenzi kwa ajili ya kuijenga Gaba na Mispa.
Chuin Lengpa Asa, “Chun in Ramah khopia kul semnaa mandin Baashan akoi in, songho le thing kiatsa ho pomang ding chun Judah te mijouse chu akoudoh tan ahi. Hiche chu Geba le Mizpah khopi kul semnan amangcha tan ahi.”
7 Wakati huo Hanani mwonaji akaenda kwa Asa, mfalme wa Yuda, na akamwambia, “Kwa sababu umemtegemea mfalme wa Aramu, na hukumtegemea Yahwe Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limetoroka nje ya mikono yako.
Hiche pet hin Hanami mitva neipa Lengpa Asa komma ahungin, chule hitin asepeh’e, “Nangman Pakai na-Pathen khella Ram Lengpa chunga tahsana na koi tah jeh chun, Ram Lengpa sepaite suhmang na ding phatpha chu namansah tai.
8 Waethiopia na Walubi hawakuwa jesi kubwa, wenye magari mengi na wapanda farasi wengi? Na bado, kwa sababau ulimtegemea Yahwe, alikupa ushindi juu yao.
Ethiopia le Libya te chule Sepai tamtah toh akangtalai hou le kangtalai tol ho chunga, ipi anasoh ham tichu nagel doh lou hitam? Hiche petna chu nangma Pakaiya naki ngai jeh’a aman nangma napehdoh ahi,” ati.
9 Kwa maana macho ya Yahwe hukimbia kila mahali katika dunia yote, ili kwamba ajioneshe mwenyewe shujaa kwa niaba ya wale amabao mioyo yao ni mikamilifu kumwelekea yeye. Lakini umetenda kipumbavu katika jambo hili. Kwa maana tangu sasa na kuendelea, utakuwa na vita.” Kisha Asa akamkasirikia mwonaji, akamuweka gerezani, kwa maana alikuwa na hasira naye juu ya jambao
Pakaiyin leiset pumpia hi ama komma alungthim pea kipedoh ho chu, “Athahat theina diuva amit tenia hi ahol le ji ahi. Iti ngolla ngol nahi hitam! Tua kipat na hi nang man gal nasat jing ding ahitai,” tin aseipeh tan ahi.
10 hili. Wakati huo huo, aliwagandamiza baadhi ya watu
Hanani in hitiho aseipeh jeh chun, Asa chu alung hang behset in ama chu Songkul'a ahengin bul atuh tan ahi. Hiche pet chun amite phabep jong asugim pan tan ahi.
11 Tazma, matendo ya Asa, kutoka mwanzo hadi mwisho, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Asa Lengvaipoh abulla pat achaina chan thilsoh thusim adangho chu, Judah le Israel te lengho thusim bua akijih lut soh keijin ahi.
12 Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipata ugnjwa kwenye miguu yake; ugonjwa wake ulikuwa mkali sana. Hata hivyo, hakutafuta msaada kutoka kwa Yahwe, lakini kutoka kwa waganga tu.
Ama Leng vaipoh kum somthum le ko lhin kum chun, Asa chu keng natna khohtah khat aveitan ahi. Chutobang natna khohtah aneijing vang chun, Pakai hollouvin alou them aithem hojoh kithopina ahol jingin ahi.
13 Asa akalala pamoja na babu zake; alikufa katika mwaka wa arobaiani na moja wa utawala wake. Wakamzika katika kaburi lake, ambalo alilichimba mwenyewe katika mji wa Daudi.
Hichun aleng vaipoh kum som le li lhinna kum chun athitan ahi.
14 Walimlaza juu ya kitanda kilichokuwa kimewekewa manukato na aina mbali mbali ya dawa zilizotayarishwa na wale mafundi wa manukato. KIsha wakatengeneza moto kwa heshima yake.
David khopia chun aman song chunga ana kikhen lhan achun akivuitan ahi. Ama chu gim namtui le thao namtui kinu lupna achun alupsah un, chuin mipi ho chun ama jana vetsahnan kigona meikong lentah khat ahaluvin ahi.

< 2 Nyakati 16 >