< 2 Nyakati 15 >
1 Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
Nivotrak’ amy Azarià ana’ i Ovede t’i Arofon’ Añahare;
2 Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
le niavotse mb’eo hifanalaka amy Asa, le hoe re ama’e: Janjiño iraho ry Asa naho ry Iehoda miharo Beniamine iaby; indreza’ Iehovà kanao ireketa’ areo; itsoeho le ho isa’areo; f’ie aforintse’ areo le ho farie’e ka.
3 Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
Hatrela t’ie tsy aman’ Añahare to t’Israele naho tsy amam-pisoroñe mpañoke vaho tsy aman-Kàke;
4 Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
fe amy haembera’ iareo le nitolik’ am’ Iehovà Andrianañahare’ Israele, nipay vaho nahatendreke.
5 Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
Ie tañ’ andro izay tsy nanintsiñe ty niavotse ndra ty nimoake, fa hasotriam-bey ty nampilovilovi’ ze hene mpimone’ o taneo.
6 Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
Finofoke iereo, fifeheañe miatre-pifeheañe, rova miatre-rova; amy t’ie nametsahan’ Añahare ze atao hasotriañe.
7 Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
Fe mihaozara, ko apoke higebañe ty fità’ areo, fa ho tambezeñe o fitoloña’areoo.
8 Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
Ie nahajanjiñe i tsara zay t’i Asa, i nitokia’ i Azarià ana’ i Ovede, mpitokiy, le nandrobo-batañe naho finao’e an-tane’ Iehodà naho e Beniamine iaby ze raha nampangorìñe, naho amo rova rinambe’e am-bohibohi’ i Efraimeo; vaho hinavao’e i kitreli’ Iehovà, aolo’ i lavaranga’ Iehovàiy.
9 Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
Le natonto’e iaby t’Iehodà naho i Beniamine naho o mpañialo ama’e boak’ Efraime naho e Menasè vaho e Simeoneo; fa maro ty nihintsañe am’ Israele ie nioni’ iereo te nindre ama’e t’Iehovà Andrianañahare’e.
10 Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
Aa le nifanontoñe e Ierosalaime ao amy volam-paha-telo, amy taom-paha-folo-lim’ ambi’ i Asay,
11 Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
vaho nanao soroñe amy Iehovà amy andro zay, boak’ amy fikopahañe nendesa’ iareoy, añombe fiton-jato naho añondry fito-arivo;
12 Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
le nifañina hitsoeke Iehovà Andrianañaharen-droae’ iareo, an-kaampon’ arofo naho an-kaliforam-pañova,
13 Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
le havetrake ze tsy mipay Iehovà Andrianañahare’ Israele, ke t’ie kedekede he te bey, ke lahilahy hera ampela.
14 Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
Aa le nifanta am-pazak’ am’ Iehovà iereo naho am-pamatsiañe vaho an-trompetra naho antsiva.
15 Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
Nandia taroba iaby t’Iehoda ty amy fantay, amy te nititiheñe an-kaampon’ arofo naho nitsotsehe’ iereo vaho nitendreke. Aa le nitsitsihe’ Iehovà fañanintsiñe.
16 Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
Nafaha’e tsy ho renem-panjaka ka t’i Maakà rene’ i Asa mpanjaka amy t’ie nandranjy sare tiva i Aserà; le finira’ i Asa i sare’e nampangorìñey naho dinemo’e ho deboke vaho noroa’e an-toraha’ i Kidrone ao.
17 Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
Toe tsy nafahañe am’ Israele o toets’ aboo; fe ni-ary ty arofo’ i Asa amo hene andro’eo.
18 Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
Le nindese’e añ’ anjomban’ Añahare ao o raha navìn-droae’e naho o raha navì’eo, volafoty naho volamena naho fanake.
19 Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.
Vaho tsy aman’ aly i taney pak’ an-taom-pifehea’ i Asa faha-telopolo-lim’ amby.