< 2 Nyakati 12 >

1 Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
A gdy Roboam utwierdził [swoje] królestwo i umocnił je, opuścił prawo PANA, a wraz z nim cały Izrael.
2 Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
I w piątym roku panowania Roboama Sziszak, król Egiptu, nadciągnął przeciw Jerozolimie, oni bowiem zgrzeszyli przeciw PANU;
3 Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
[Wyruszył] z tysiącem i dwustu rydwanami i z sześćdziesięcioma tysiącami jeźdźców oraz niezliczonym ludem, który nadciągnął z nim z Egiptu: Libijczykami, Sukkijczykami i Kuszytami.
4 Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
I zdobył warowne miasta, które były w Judzie, i dotarł aż do Jerozolimy.
5 Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
Wtedy prorok Szemajasz przyszedł do Roboama i do książąt Judy, którzy zebrali się w Jerozolimie [z obawy] przed Sziszakiem, i powiedział do nich: Tak mówi PAN: Wy mnie opuściliście, dlatego i ja was opuściłem i [poddałem] w ręce Sziszaka.
6 Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
Wtedy książęta Izraela i król ukorzyli się i powiedzieli: Sprawiedliwy [jest] PAN.
7 Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
A gdy PAN zobaczył, że się ukorzyli, słowo PANA doszło do Szemajasza: [Ponieważ] ukorzyli się, nie wytracę ich, [lecz] nieco ich wyzwolę, a mój gniew nie wyleje się na Jerozolimę przez ręce Sziszaka.
8 Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
Staną się jednak jego sługami, aby wiedzieli, co [znaczy] służyć mnie, a co królestwom ziemskim.
9 Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
Nadciągnął więc Sziszak, król Egiptu, przeciw Jerozolimie i zabrał skarby domu PANA oraz skarby domu królewskiego – zabrał wszystko. Wziął też złote tarcze, które wykonał Salomon.
10 Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
Zamiast nich król Roboam wykonał spiżowe tarcze i powierzył [je] dowódcom straży przybocznej, którzy strzegli wejścia do domu królewskiego.
11 Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
A gdy król wchodził do domu PANA, straż przyboczna przychodziła po nie, a potem odnosiła je do wartowni.
12 Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
A ponieważ [król] się ukorzył, odwrócił się od niego gniew PANA i [PAN] nie wytracił go całkowicie. Również w Judzie działy się rzeczy dobre.
13 Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
Umocnił się więc król Roboam w Jerozolimie i królował. Roboam miał czterdzieści jeden lat, kiedy zaczął królować, i królował siedemnaście lat w Jerozolimie, w mieście, które PAN wybrał spośród wszystkich pokoleń Izraela, aby tam przebywało jego imię. Jego matka [miała] na imię Naama [i była] Ammonitką.
14 Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
On zaś czynił to, co złe, bo nie przygotował swojego serca, aby szukać PANA.
15 Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
Ale dzieje Roboama, od pierwszych do ostatnich, czy nie są zapisane w księdze proroka Szemajasza oraz widzącego Iddo w opisie rodowodów? A [między] Roboamem i Jeroboamem [toczyły się] wojny po wszystkie [ich] dni.
16 Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.
Potem Roboam zasnął ze swoimi ojcami i został pogrzebany w mieście Dawida, a jego syn Abiasz królował w jego miejsce.

< 2 Nyakati 12 >