< 2 Nyakati 12 >

1 Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
A gdy utwierdził królestwo swoje Roboam i zmocnił je, opuścił zakon Pański, i wszystek Izrael z nim.
2 Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
I stało się roku piątego panowania Roboamowego, że wyciągnął Sesak, król Egipski, przeciw Jeruzalemowi (albowiem byli zgrzeszyli przeciw Panu.)
3 Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
Z tysiącem i dwoma stami wozów, i z sześćdziesiąt tysięcy jezdnych, a nie było liczby ludu, który przyciągnął z nim z Egiptu, Lubimczyków, Suchymczyków, i Chusymczyków.
4 Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
I pobrał miasta obronne, które były w Judzie, i przyciągnął aż ku Jeruzalemowi.
5 Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
Tedy Semejasz prorok przyszedł do Roboama i do książąt Judzkich, którzy się byli zebrali do Jeruzalemu, uciekając przed Sesakiem, i rzekł do nich: Tak mówi Pan: Wyście mię opuścili, dla tegom i Ja was opuścił i podał w ręce Sesakowe.
6 Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
I upokorzyli się książęta Izraelscy, i król, i mówili: Sprawiedliwy jest Pan.
7 Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
A gdy ujrzał Pan iż się upokorzyli, stało się słowo Pańskie do Semejasza, mówiąc: Upokorzyli się, nie wytracę ich; ale im dam wkrótce wybawienie, ani się wyleje zapalczywość moja przeciw Jeruzalemowi przez ręce Sesaka.
8 Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
Wszakże będą mu za sługi, aby wiedzieli, co to jest, służyć mnie, albo służyć królestwom ziemskim.
9 Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
A tak ciągnął Sesak, król Egipski, przeciw Jeruzalemowi, i pobrał skarby domu Pańskiego, i skarby domu królewskiego, wszystko to pobrał; wziął też tarcze złote, które był sprawił Salomon.
10 Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
I sprawił król Roboam miasto nich tarcze miedziane, i poruczył je przełożonym nad piechotą, którzy strzegli drzwi domu królewskiego.
11 Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
A gdy wchadzał król do domu Pańskiego, tedy przychodziła piechota, i brali je; potem zasię odnosili je do swoich komor.
12 Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
A tak iż się upokorzył, odwrócił się od niego gniew Pański, i nie wytracił go do końca; albowiem jeszcze i w Judzie było nieco dobrego.
13 Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
Zmocnił się tedy król Roboam w Jeruzalemie i królował. A było czterdzieści lat i jeden rok Roboamowi, gdy królować począł, a siedmnaście lat królował w Jeruzalemie, w mieście, które obrał Pan ze wszystkich pokoleń Izraelskich, aby tam przebywało imię jego. A imię matki jego było Naama Ammonitka.
14 Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
Ten czynił złe; bo nie przygotował serca swego, aby szukał Pana.
15 Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
Ale sprawy Roboamowe pierwsze i poślednie zapisane są w księdze Semejasza proroka, i Jaddy widzącego; gdzie się opisuje porządek rodzajów, także wojny między Roboamem i Jeroboamem po wszystkie dni.
16 Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.
I zasnął Roboam z ojcami swymi, i pochowan jest w mieście Dawidowem, a królował Abijasz, syn jego, miasto niego.

< 2 Nyakati 12 >