< 2 Nyakati 12 >

1 Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
Et lorsque le royaume de Roboam fut fortifié et affermi, il abandonna la loi du Seigneur, lui et tout Israël avec lui.
2 Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
Mais à la cinquième année du règne de Roboam, Sésac, roi d’Égypte, monta à Jérusalem (parce que les Israélites avaient péché contre le Seigneur)
3 Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
Avec mille et deux cents chariots et soixante mille cavaliers; et le bas peuple qui était venu d’Égypte avec lui était sans nombre; il se composait de Libyens, de Troglodytes et d’Ethiopiens.
4 Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
Et il prit les villes les plus fortifiées dans Juda, et il vint jusqu’à Jérusalem.
5 Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
Or Séméias, le prophète, vint trouver le roi Roboam et les princes de Juda, qui s’étaient réunis à Jérusalem, fuyant Sésac, et il leur dit: Voici ce que dit le Seigneur: Vous, vous m’avez abandonné, et moi, je vous ai abandonnés à la main de Sésac.
6 Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
Alors, consternés, les princes d’Israël et le roi dirent: Il est juste, le Seigneur.
7 Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
Et lorsque le Seigneur vit qu’ils étaient humiliés, la parole du Seigneur fut adressée à Séméias, disant: Puisqu’ils se sont humiliés, je ne les exterminerai point, je leur donnerai un peu de secours, et ma fureur ne s’épanchera pas sur Jérusalem par la main de Sésac;
8 Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
Cependant ils le serviront, afin qu’ils sachent la différence de mon service et du service du royaume des nations.
9 Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
C’est pourquoi Sésac, roi d’Égypte, se retira de Jérusalem après avoir enlevé les trésors de la maison du Seigneur et de la maison du roi, et il emporta tout avec lui, même les boucliers d’or qu’avait faits Salomon,
10 Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
À la place desquels le roi en fit d’airain, et les remit aux chefs des scutaires qui gardaient le vestibule du palais.
11 Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
Et lorsque le roi entrait dans la maison du Seigneur, les scutaires venaient et les prenaient, puis ils les reportaient de nouveau dans leur arsenal.
12 Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
Ainsi donc, parce qu’ils s’étaient humiliés, la colère du Seigneur fut détournée d’eux, et ils ne furent pas entièrement détruits, attendu qu’il se trouva encore dans Juda de bonnes œuvres.
13 Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
Le roi Roboam se fortifia donc dans Jérusalem, et y régna; or il avait quarante et un ans quand il commença à régner, et il régna dix-sept ans à Jérusalem, ville que le Seigneur avait choisie d’entre toutes les tribus d’Israël pour y établir son nom: or le nom de sa mère était Naama, l’Ammanite.
14 Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
Mais il fit le mal, et ne prépara point son cœur pour chercher le Seigneur.
15 Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
Or les actions de Roboam, les premières et les dernières, sont écrites dans les livres de Séméias, le prophète, et d’Addo, le Voyant, et rapportées exactement: et Roboam et Jéroboam se firent la guerre durant tous leurs jours.
16 Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.
Et Roboam dormit avec ses pères, et il fut enseveli dans la cité de David; et Abia, son fils, régna en sa place.

< 2 Nyakati 12 >