< 2 Nyakati 12 >

1 Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
And whanne the rewme of Roboam was maad strong and coumfortid, he forsook the lawe of the Lord, and al Israel with hym.
2 Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
Sotheli in the fyuethe yeer of the rewme of Roboam Sesach, the kyng of Egipt, stiede in to Jerusalem, for thei synneden ayens the Lord;
3 Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
and he stiede with a thousynde and two hundrid charys, and with sixti thousynde of horse men, and no noumbre was of the comyn puple, that cam with hym fro Egipt, that is, Libiens, and Trogoditis, and Ethiopiens.
4 Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
And he took ful stronge citees in Juda, and he cam `til to Jerusalem.
5 Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
Forsothe Semei, the prophete, entride to Roboam, and to the princes of Juda, whiche fleynge fro Sesach weren gaderid togidere `in to Jerusalem. And he seide to hem, The Lord seith these thingis, Ye han forsake me, and Y haue forsake you in the hond of Sesach.
6 Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
And the princes of Israel and the kyng weren astonyed, and seiden, The Lord is iust.
7 Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
And whanne the Lord hadde seyn that thei weren mekid, the word of the Lord was maad to Semey, and seide, For thei ben mekid, Y schal not distrie hem, and Y schal yyue to hem a litil help, and my stronge veniaunce schal not droppe on Jerusalem bi the hond of Sesach.
8 Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
Netheles thei schulen serue hym, that thei knowe the dyuersitee of my seruyce and of the seruyce of the rewme of londis.
9 Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
Therfor Sesach, the kyng of Egipt, yede a wey fro Jerusalem, aftir that he hadde take awei the tresouris of the hows of the Lord, and of the kyngis hows; and he took alle thingis with hym, and the goldun scheeldis whiche Salomon hadde maad,
10 Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
for whiche the kyng made brasun scheeldis, and took tho to the princes of scheeld makeris, that kepten the porche of the paleis.
11 Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
And whanne the kyng entride in to the hows of the Lord, the scheeldmakeris camen, and token tho, and eft brouyten tho to his armure place.
12 Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
Netheles for thei weren mekid, the ire of the Lord was turned a wei fro hem, and thei weren not don a wei outirli; for good werkis weren foundyn also in Juda.
13 Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
Therfor kyng Roboam was coumfortid in Jerusalem, and regnede. Forsothe he was of oon and fourti yeer, whanne he bigan to regne, and he regnyde seuentene yeer in Jerusalem, the citee which the Lord chees of alle the lynagis of Israel, that he schulde conferme his name there. Forsothe the name of his modir was Naama Amanytis.
14 Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
And he dide yuel, and he made not redi his herte to seke God.
15 Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
Sotheli the firste and the laste werkis of Roboam ben writun, and diligentli declarid in the bookis of Semei the profete, and of Abdo the profete.
16 Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.
And Roboam and Jeroboam fouyten in alle daies ayens hem silf. And Roboam slepte with hise fadris, and was biried in the citee of Dauid; and Abia, his sone, regnede for hym.

< 2 Nyakati 12 >