< 2 Nyakati 12 >

1 Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
and to be like/as to establish: establish royalty Rehoboam and like/as strength his to leave: forsake [obj] instruction LORD and all Israel with him
2 Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
and to be in/on/with year [the] fifth to/for king Rehoboam to ascend: rise Shishak king Egypt upon Jerusalem for be unfaithful in/on/with LORD
3 Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
in/on/with thousand and hundred chariot and in/on/with sixty thousand horseman and nothing number to/for people which to come (in): come with him from Egypt Libyan Sukkiim and Ethiopian
4 Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
and to capture [obj] city [the] fortress which to/for Judah and to come (in): come till Jerusalem
5 Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
and Shemaiah [the] prophet to come (in): come to(wards) Rehoboam and ruler Judah which to gather to(wards) Jerusalem from face: because Shishak and to say to/for them thus to say LORD you(m. p.) to leave: forsake [obj] me and also I to leave: forsake [obj] you in/on/with hand: power Shishak
6 Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
and be humble ruler Israel and [the] king and to say righteous LORD
7 Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
and in/on/with to see: see LORD for be humble to be word LORD to(wards) Shemaiah to/for to say be humble not to ruin them and to give: give to/for them like/as little to/for survivor and not to pour rage my in/on/with Jerusalem in/on/with hand: power Shishak
8 Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
for to be to/for him to/for servant/slave and to know service my and service kingdom [the] land: country/planet
9 Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
and to ascend: rise Shishak king Egypt upon Jerusalem and to take: take [obj] treasure house: temple LORD and [obj] treasure house: home [the] king [obj] [the] all to take: take and to take: take [obj] shield [the] gold which to make Solomon
10 Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
and to make [the] king Rehoboam underneath: instead them shield bronze and to reckon: overseer upon hand ruler [the] to run: guard [the] to keep: guard entrance house: home [the] king
11 Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
and to be from sufficiency to come (in): come [the] king house: temple LORD to come (in): come [the] to run: guard and to lift: bear them and to return: return them to(wards) chamber [the] to run: guard
12 Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
and in/on/with be humble he to return: turn back from him face: anger LORD and not to/for to ruin to/for consumption and also in/on/with Judah to be word: thing pleasant
13 Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
and to strengthen: strengthen [the] king Rehoboam in/on/with Jerusalem and to reign for son: aged forty and one year Rehoboam in/on/with to reign he and seven ten year to reign in/on/with Jerusalem [the] city which to choose LORD to/for to set: put [obj] name his there from all tribe Israel and name mother his Naamah [the] Ammon
14 Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
and to make: do [the] bad: evil for not to establish: establish heart his to/for to seek [obj] LORD
15 Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
and word: deed Rehoboam [the] first and [the] last not they(masc.) to write in/on/with word: deed Shemaiah [the] prophet and Iddo [the] seer to/for to enroll and battle Rehoboam and Jeroboam all [the] day: always
16 Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.
and to lie down: be dead Rehoboam with father his and to bury in/on/with city David and to reign Abijah son: child his underneath: instead him

< 2 Nyakati 12 >