< 2 Nyakati 12 >

1 Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
And it comes to pass, at the establishing of the kingdom of Rehoboam, and at his strengthening himself, he has forsaken the Law of YHWH, and all Israel with him.
2 Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
And it comes to pass, in the fifth year of King Rehoboam, Shishak king of Egypt has come up against Jerusalem—because they trespassed against YHWH—
3 Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
with one thousand and two hundred chariots, and with sixty thousand horsemen, and there is no number to the people who have come with him out of Egypt—Lubim, Sukkiim, and Cushim—
4 Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
and he captures the cities of the bulwarks that [are] of Judah, and comes to Jerusalem.
5 Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
And Shemaiah the prophet has come to Rehoboam and the heads of Judah who have been gathered to Jerusalem [to escape] from the presence of Shishak, and says to them, “Thus said YHWH: You have forsaken Me, and also, I have left you in the hand of Shishak”;
6 Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
and the heads of Israel are humbled—and the king—and they say, “YHWH [is] righteous.”
7 Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
And when YHWH sees that they have been humbled, a word of YHWH has been [sent] to Shemaiah, saying, “They have been humbled; I do not destroy them, and I have given to them as a little thing for an escape, and I do not pour out My fury in Jerusalem by the hand of Shishak;
8 Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
but they become servants to him, and they know My service, and the service of the kingdoms of the lands.”
9 Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
And Shishak king of Egypt comes up against Jerusalem, and takes the treasures of the house of YHWH and the treasures of the house of the king—he has taken the whole—and he takes the shields of gold that Solomon had made;
10 Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
and King Rehoboam makes shields of bronze in their stead, and has given [them] a charge on the hand of the heads of the runners who are keeping the opening of the house of the king;
11 Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
and it comes to pass, from the time of the going in of the king to the house of YHWH, the runners have come in and lifted them up, and brought them back to the chamber of the runners.
12 Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
And in his being humbled, the wrath of YHWH has turned back from him, so as not to destroy to completion; and also, there have been good things in Judah.
13 Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
And King Rehoboam strengthens himself in Jerusalem and reigns; for Rehoboam [is] a son of forty-two years in his reigning, and he has reigned seventeen years in Jerusalem, the city that YHWH has chosen to put His Name there, out of all the tribes of Israel, and the name of his mother [is] Naamah the Ammonitess,
14 Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
and he does evil, for he has not prepared his heart to seek YHWH.
15 Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
And the matters of Rehoboam, the first and the last, are they not written among the matters of Shemaiah the prophet, and of Iddo the seer, concerning genealogy? And the wars of Rehoboam and Jeroboam [are for] all the days;
16 Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.
and Rehoboam lies with his fathers, and is buried in the City of David, and his son Abijah reigns in his stead.

< 2 Nyakati 12 >