< 2 Nyakati 12 >
1 Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
Kad je Roboam utvrdio kraljevstvo i ojačao, napustio je Jahvin zakon i on i sav Izrael s njim.
2 Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
Ali pete godine Roboamova kraljevanja navali egipatski kralj Šišak na Jeruzalem, koji se bijaše iznevjerio Jahvi.
3 Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
Došao je sa tisuću i dvjesta bojnih kola i sa šezdeset tisuća konjanika, a narodu koji je došao s njim iz Egipta - Libijcima, Sukijcima i Etiopljanima - nije bilo broja.
4 Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
Osvojivši tvrde judejske gradove, dopro je do Jeruzalema.
5 Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
Tada dođe prorok Šemaja k Roboamu i judejskim knezovima, koji se bijahu skupili u Jeruzalemu bježeći od Šišaka, i reče im: “Ovako veli Jahve: 'Vi ste ostavili mene, pa i ja ostavljam vas u ruke Šišaku.'”
6 Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
Tada se poniziše izraelski knezovi i kralj i rekoše: “Pravedan je Jahve!”
7 Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
Kad ih Jahve vidje gdje se poniziše, dođe njegova riječ Šemaji: “Ponizili su se; neću ih uništiti, nego ću im uskoro dati spasenje te se moja srdžba neće oboriti na Jeruzalem preko Šišaka.
8 Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
Bit će mu sluge, da vide što znači služiti meni, a što zemaljskim kraljevstvima.”
9 Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
Tako egipatski kralj Šišak navali na Jeruzalem, opljačka blago iz Doma Jahvina i riznicu kraljeva dvora; sve je uzeo; uze i zlatne štitove što ih bijaše napravio Salomon.
10 Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
Namjesto njih kralj Roboam napravi tučane štitove i povjeri ih zapovjednicima straže koja je čuvala vrata kraljevskoga dvora.
11 Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
Kad je god kralj išao u Dom Jahvin, stražari su ih uzimali, a poslije ih vraćali u stražaru.
12 Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
Kad se, dakle, ponizio, odvratio se od njega Jahvin gnjev te ga nije sasvim uništio, jer i u Judeji bijaše dobra.
13 Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
Potom se kralj Roboam utvrdi u Jeruzalemu i stade kraljevati. Roboamu je bila četrdeset i jedna godina kad se zakraljio, a sedamnaest je godina kraljevao u Jeruzalemu, u gradu koji Jahve izabra između svih izraelskih plemena da ondje postavi Ime svoje. Majka mu se zvala Naama, a bila je Amonka.
14 Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
Činio je zlo, jer nije pregnuo srcem da traži Jahvu.
15 Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
Roboamova prva i posljednja djela - i ratovi koji su se neprestano vodili između Roboama i Jeroboama - zapisani su u povijesti proroka Šemaje i u plemenskom popisu vidioca Adona.
16 Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.
Potom Roboam počinu sa svojim ocima i bi sahranjen u Davidovu gradu; na njegovo se mjesto zakraljio sin mu Abija.