< 2 Nyakati 11 >

1 Rehoroboamu alipofiki Yerusalemu, akawakusanya nyumba ya Yuda na Benyamini, wanaume 180, 000 walaiaochaguliwa amabao wliakuwa wanajeshi, kwa ajili ya kupigana dhiidi ya Israeli, ili kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.
Idi nakasangpet ni Rehoboam idiay Jerusalem, inummongna ti balay ni Juda ken Benjamin, 180, 000 a napili a lallaki a soldado, a makigubat iti Israel, tapno maisubli manen ti pagarian kenni Rehoboam.
2 Lakini neno la Yahwe likamjia Shemaya mtu wa Mungu, likisema,
Ngem immay ti sao ni Yahweh kenni Semaias, a tao ti Dios, a kunana,
3 “Sema kwa Rehoboamu mwana wa Selemani, mfalme wa Yuda, na kwa Israeli kataika Yuda na Benyamaini,
“Agsaoka kenni Rehoboam, a putot a lalaki ni Solomon, nga ari ti Juda, ken kadagiti amin a tattao ti Israel idiay Juda ken Benjamin; a kunam,
4 Yahwe anasema hivi, “Msivamie wala kufanya vita dhidi ya ndugu zako. Kila mmoja lazima arudi kwenye nyumba yake, kwa maana nimesababisha jambo hili kutokea.” Kwa hiyo wakayatii maneno ya Yahwe na kuacha kumvamia Yeroboamu.
'Kastoy ti kuna ni Yahweh: Rumbeng a saanyo a rauten wenno gubaten dagiti kakabsatyo. Rumbeng nga agsubli ti tunggal lalaki iti balayna, ta pagayatak ti napasamak.”' Impangagda ngarud dagiti sasao ni Yahweh ket imbabawida ti panangrautda kenni Jeroboam.
5 Yeroboamu akaishi katika Yerusalemu na kujenga miji katika Yuda kwa ajili ya kujilinda.
Nagnaed ni Rehoboam idiay Jerusalem ket nangibangon kadagiti siudad idiay Juda a pangsalaknib.
6 Akaijenga Bethelehemu, EtamuTekoa,
Binangonna ti Betlehem, Etam, Tekoa,
7 Bethsusi, Soko, Adulamu,
Bet-zur, Soco, Adullam,
8 Gathi, Maresha, Zifu,
Gat, Maresa, Zif,
9 Adoraimu, Lakishi, Azeka,
Adoraim, Lakis, Azeka,
10 Sora, Aiyaloni, na Hebroni. Hii ni miji yenye ngome katika Yuda na Benyamini.
Zora, Aijalon ken Hebron. Dagitoy dagiti nasarikedkedan a siudad idiay Juda ken Benjamin.
11 Akaziimarisha ngome na kuweka maamri jeshsi ndani yake, pamaoja na hazina ya chakula, mafuta, na divai.
Pinalagdana dagiti sarikedked ket nangisaad isuna kadagiti mangidaulo kadagitoy, nga addaan kadagiti abasto a taraon, lana, ken arak.
12 Akaweka ngao na mikuki katika miji yote na kuifanya imara sana. Kwa hiyo Yuda na Benyamini zikawa zake.
Nangikabil isuna kadagiti kalasag ken gayang iti tunggal siudad ken pinatibkerna dagiti siudad. Kukuana ti Juda ken Benjamin.
13 Makuhani na Walawi waliokuwa katika Israeli yote wakaenda kwake kutoka ndani ya mipaka yao.
Napan kenkuana dagiti padi ken Levita nga adda iti entero nga Israel manipud kadagiti beddengda.
14 Kwa kuwa Walawi waliacha nchi za malisho yao na mali zao ili kuja Yuda na Yerusalemu, kwa maana
Ta pinanawan dagiti Levita dagiti pagpastoranda ken sanikuada tapno mapanda idiay Juda ken Jerusalem; ta pinagtalaw ida ni Jeroboam ken dagiti putotna a lallaki, tapno saandan a maaramid dagiti pagrebbenganda a kas padi ni Yahweh.
15 Yeroboamu na wanaaye walikuwa wamewafukuza, ili kwamba wasifanye majukumu yao ya kikuhani kwa ajili ya sehemu za juu na mbuzi na sanamu za ndama alizokuwa ametengeneza.
Nangdutok ni Jeroboam kadagiti bukodna a padi nga agserbi kadagiti disso a pagdaydayawan ken kadagiti didiosen a sinan-urbon a baka ken sinan-kalding nga inaramidna.
16 Watu kutoka kabila zote za Israeli wakaja nyuma yao, wale walio wameiilekeza mioyo yao kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli; wakaja Yerusalemu kwa ajili ya kumtolea dhabihu Yahwe. Mungu wa baba zao.
Simmurot kadakuada dagiti tattao a nagtaud iti amin a tribu ti Israel, dagiti nangipapuso a mangsapul kenni Yahweh a Dios ti Israel; napanda idiay Jerusalem tapno mangidatagda kenni Yahweh a Dios dagiti kapuonanda.
17 Kwa hiyo wakauimarisha ufalame wa Yuda na kumfanya imara Rehoboamu mwana wa Selemani kwa miaka mitatu, na wakatembea kwa miaka mitatu katika njia ya Daudi na Selemani.
Isu a pinatibkerda ti pagarian ti Juda, ken pinabilegda ni Rehoboam a putot ni Solomon, bayat iti tallo a tawen—ta nagbiagda iti wagas da David ken Solomon iti tallo a tawen.
18 Rehoboamu akajitwalia mke: Mahalathi, binti wa Yerimothi, mwana wa Daudi na wa Abihaili, binti wa Eliabu, mwana wa Yese.
Inasawa ni Rehoboam ni Mahalat nga anak a babai da Abigail ken Jerimot a putot a lalaki ni David, ni Abigail ti putot a babai ni Eliab, a putot a lalaki ni Jesse.
19 Akamzalia wana: Yeushi, Shemaraia, na Zahamu.
Nangipasngay ni Mahalat iti annak a lallaki: Da Jeus, Semarias ken Zaham.
20 Baaad ya Mahalathi, Rehoboamu akamchukua Maaka, binti Absalomu; akamzalia Abiya, Atai, Ziza, na Shelomithi.
Kalpasan ni Mahalat, inasawa ni Rehoboam ni Maaca a putot a babai ni Absalom; impasngayna da Abias, Attai, Ziza ken Selomit.
21 Rehoboamu akampenda Maaka, binti Solomoni, zaidi kuliko wake za wengine wote na masuria (alichukua wake kumi na nane na masuria sitini, na akawa baba wa wana ishirini na nane na mabinti sitini).
Ad-adda nga inayat ni Rehoboam ni Maaca a putot a babai ni Absalom ngem kadagiti dadduma nga assawana ken kadagiti kamalalana (nangasawa isuna iti sangapulo ket walo ken innem a pulo ti kamalalana, ken duapulo ket walo ti putotna a lallaki ken innem a pulo a babbai).
22 Rehoboamu akamteua Abiya mwana wa Maaka kuwa mkuu, kiongozi miongoni mwa ndugu zake alikuwa na wazo la kumfanya mfalme.
Dinutokan ni Rehoboam ni Abias nga anak ni Maaca a kas panguloen, a mangidaulo kadagiti kakabsatna; gandatna nga isuna ti isaadna nga ari.
23 Rehoboamu akatawala kwa hekima; akawatawanya wanaye katika nchi yote ya Yuda na Benyamini katika kila mji imara. Pia akawapa chakula kwa wingi na akatafuta wake wengi kwa ajili yao.
Nagturay a sisisirib ni Rehoboam; inwarasna dagiti amin a putotna a lallaki iti entero a daga ti Juda ken Benjamin iti tunggal nasarikedkedan a siudad. Inikkanna pay ida iti nabuslon a taraon ken imbirokanna ida iti adu nga assawa.

< 2 Nyakati 11 >