< 2 Nyakati 11 >
1 Rehoroboamu alipofiki Yerusalemu, akawakusanya nyumba ya Yuda na Benyamini, wanaume 180, 000 walaiaochaguliwa amabao wliakuwa wanajeshi, kwa ajili ya kupigana dhiidi ya Israeli, ili kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.
Roboam rentra donc à Jérusalem; puis, il réunit Juda et Benjamin, cent quatre-vingt mille jeunes gens allant à la guerre, afin de combattre Israël, et de recouvrer la royauté pour Roboam.
2 Lakini neno la Yahwe likamjia Shemaya mtu wa Mungu, likisema,
Mais, la parole du Seigneur vint à Samaïas, homme de Dieu; disant:
3 “Sema kwa Rehoboamu mwana wa Selemani, mfalme wa Yuda, na kwa Israeli kataika Yuda na Benyamaini,
Parle à Roboam, fils de Salomon, à tout Juda et à Benjamin, dis-leur:
4 Yahwe anasema hivi, “Msivamie wala kufanya vita dhidi ya ndugu zako. Kila mmoja lazima arudi kwenye nyumba yake, kwa maana nimesababisha jambo hili kutokea.” Kwa hiyo wakayatii maneno ya Yahwe na kuacha kumvamia Yeroboamu.
Voici ce que dit le Seigneur: Ne partez pas, ne combattez point vos frères les fils d'Israël, retournez chacun en votre demeure, car cette chose est de moi. Ils obéirent à la parole du Seigneur, et, selon son ordre, ils renoncèrent à marcher contre Jéroboam.
5 Yeroboamu akaishi katika Yerusalemu na kujenga miji katika Yuda kwa ajili ya kujilinda.
Et Roboam habita Jérusalem, et il bâtit des places fortes en Judée.
6 Akaijenga Bethelehemu, EtamuTekoa,
Il bâtit encore Bethléem, Etan, Thécoé,
7 Bethsusi, Soko, Adulamu,
Bethsura, Sochoth, Odollam,
9 Adoraimu, Lakishi, Azeka,
Adoraï, Lachis, Azéca,
10 Sora, Aiyaloni, na Hebroni. Hii ni miji yenye ngome katika Yuda na Benyamini.
Saraa, Aïlon et Hébron, qui appartient à Juda et à Benjamin; toutes villes qu'il entoura de remparts.
11 Akaziimarisha ngome na kuweka maamri jeshsi ndani yake, pamaoja na hazina ya chakula, mafuta, na divai.
Et il les fortifia, et leur donna des chefs auxquels il assigna des vivres, de l'huile et du vin,
12 Akaweka ngao na mikuki katika miji yote na kuifanya imara sana. Kwa hiyo Yuda na Benyamini zikawa zake.
Et il approvisionna chacune d'elles de lances et de boucliers, et il en multiplia les défenses; et il eut à lui Juda et Benjamin.
13 Makuhani na Walawi waliokuwa katika Israeli yote wakaenda kwake kutoka ndani ya mipaka yao.
Cependant, les prêtres et les lévites qui étaient en tout Israël, se rassemblaient auprès de lui de tous les points du territoire.
14 Kwa kuwa Walawi waliacha nchi za malisho yao na mali zao ili kuja Yuda na Yerusalemu, kwa maana
Car, ils abandonnèrent leurs villes de résidence, et ils se rendirent en Juda et à Jérusalem, parce que Jéroboam et ses fils leur avaient ôté le service du Seigneur.
15 Yeroboamu na wanaaye walikuwa wamewafukuza, ili kwamba wasifanye majukumu yao ya kikuhani kwa ajili ya sehemu za juu na mbuzi na sanamu za ndama alizokuwa ametengeneza.
Et Jéroboam avait institué pour lui des prêtres des hauts lieux qui sacrifiaient aux idoles, aux choses vaines, aux veaux d'or, qu'avaient faits Jéroboam.
16 Watu kutoka kabila zote za Israeli wakaja nyuma yao, wale walio wameiilekeza mioyo yao kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli; wakaja Yerusalemu kwa ajili ya kumtolea dhabihu Yahwe. Mungu wa baba zao.
Et il avait chassé des tribus d'Israël ceux qui dévouaient leur cœur à chercher le Seigneur Dieu d'Israël; et ils vinrent à Jérusalem pour sacrifier au Seigneur Dieu de leurs pères.
17 Kwa hiyo wakauimarisha ufalame wa Yuda na kumfanya imara Rehoboamu mwana wa Selemani kwa miaka mitatu, na wakatembea kwa miaka mitatu katika njia ya Daudi na Selemani.
Et ils affermirent le royaume de Juda, et Roboam, fils de Salomon, en fut fortifié pendant trois ans, parce qu'il marcha trois ans dans les voies de David et de Salomon.
18 Rehoboamu akajitwalia mke: Mahalathi, binti wa Yerimothi, mwana wa Daudi na wa Abihaili, binti wa Eliabu, mwana wa Yese.
Roboam prit pour femmes Moolath, fille de Jerimuth, fils de David; et Abigaïl, fille d'Eliab, fils de Jessé.
19 Akamzalia wana: Yeushi, Shemaraia, na Zahamu.
Celle-ci lui enfanta des fils: Jéhu, Samoria et Zaam.
20 Baaad ya Mahalathi, Rehoboamu akamchukua Maaka, binti Absalomu; akamzalia Abiya, Atai, Ziza, na Shelomithi.
Après cela, il épousa Maacha, fille d'Absalon, et elle lui enfanta Abias, Jetthi, Zéza et Salémoth.
21 Rehoboamu akampenda Maaka, binti Solomoni, zaidi kuliko wake za wengine wote na masuria (alichukua wake kumi na nane na masuria sitini, na akawa baba wa wana ishirini na nane na mabinti sitini).
Or, Roboam aima Maacha, fille d'Absalon, plus que toutes ses femmes et ses concubines, car il avait dix-huit femmes et soixante concubines; il eut d'elles vingt-huit fils et soixante filles.
22 Rehoboamu akamteua Abiya mwana wa Maaka kuwa mkuu, kiongozi miongoni mwa ndugu zake alikuwa na wazo la kumfanya mfalme.
Et il fit Adias, fils de Maacha, chef de tous ses frères, car il avait dessein de lui laisser le trône.
23 Rehoboamu akatawala kwa hekima; akawatawanya wanaye katika nchi yote ya Yuda na Benyamini katika kila mji imara. Pia akawapa chakula kwa wingi na akatafuta wake wengi kwa ajili yao.
Et il le fortifia plus que tous ses autres fils dispersés sur tout le territoire de Juda et de Benjamin, dans les villes entourées de remparts où Roboam maintenait abondance de vivres, et où il leur fit épouser beaucoup de femmes.