< 2 Nyakati 11 >

1 Rehoroboamu alipofiki Yerusalemu, akawakusanya nyumba ya Yuda na Benyamini, wanaume 180, 000 walaiaochaguliwa amabao wliakuwa wanajeshi, kwa ajili ya kupigana dhiidi ya Israeli, ili kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.
Lorsque Roboam fut arrivé à Jérusalem, il rassembla la maison de Juda et de Benjamin, cent quatre-vingt mille hommes d'élite qui étaient des guerriers, pour combattre Israël, afin de ramener le royaume à Roboam.
2 Lakini neno la Yahwe likamjia Shemaya mtu wa Mungu, likisema,
Mais la parole de Yahvé fut adressée à Shemaya, homme de Dieu, en ces termes:
3 “Sema kwa Rehoboamu mwana wa Selemani, mfalme wa Yuda, na kwa Israeli kataika Yuda na Benyamaini,
« Parle à Roboam, fils de Salomon, roi de Juda, et à tout Israël en Juda et en Benjamin, et dis-leur:
4 Yahwe anasema hivi, “Msivamie wala kufanya vita dhidi ya ndugu zako. Kila mmoja lazima arudi kwenye nyumba yake, kwa maana nimesababisha jambo hili kutokea.” Kwa hiyo wakayatii maneno ya Yahwe na kuacha kumvamia Yeroboamu.
« Yahvé dit: Vous ne monterez pas, et vous ne combattrez pas vos frères! Chacun retournera dans sa maison, car cette chose est de moi. »" Ils écoutèrent donc les paroles de Yahvé et s'en retournèrent après avoir combattu Jéroboam.
5 Yeroboamu akaishi katika Yerusalemu na kujenga miji katika Yuda kwa ajili ya kujilinda.
Roboam habita à Jérusalem, et il bâtit en Juda des villes pour sa défense.
6 Akaijenga Bethelehemu, EtamuTekoa,
Il bâtit Bethléem, Etam, Tekoa,
7 Bethsusi, Soko, Adulamu,
Beth Tsur, Soco, Adullam,
8 Gathi, Maresha, Zifu,
Gath, Maréscha, Ziph,
9 Adoraimu, Lakishi, Azeka,
Adoraïm, Lakis, Azéka,
10 Sora, Aiyaloni, na Hebroni. Hii ni miji yenye ngome katika Yuda na Benyamini.
Zorah, Aijalon et Hébron, qui sont des villes fortes en Juda et en Benjamin.
11 Akaziimarisha ngome na kuweka maamri jeshsi ndani yake, pamaoja na hazina ya chakula, mafuta, na divai.
Il fortifia les places fortes et y plaça des chefs, avec des provisions de vivres, d'huile et de vin.
12 Akaweka ngao na mikuki katika miji yote na kuifanya imara sana. Kwa hiyo Yuda na Benyamini zikawa zake.
Il plaça des boucliers et des lances dans toutes les villes, et les rendit extrêmement fortes. Juda et Benjamin lui appartenaient.
13 Makuhani na Walawi waliokuwa katika Israeli yote wakaenda kwake kutoka ndani ya mipaka yao.
Les prêtres et les lévites qui étaient dans tout Israël se tinrent avec lui de tout leur territoire.
14 Kwa kuwa Walawi waliacha nchi za malisho yao na mali zao ili kuja Yuda na Yerusalemu, kwa maana
Car les Lévites quittèrent leurs pâturages et leurs biens, et vinrent en Juda et à Jérusalem; car Jéroboam et ses fils les avaient rejetés, afin qu'ils ne remplissent pas les fonctions de prêtres pour Yahvé.
15 Yeroboamu na wanaaye walikuwa wamewafukuza, ili kwamba wasifanye majukumu yao ya kikuhani kwa ajili ya sehemu za juu na mbuzi na sanamu za ndama alizokuwa ametengeneza.
Il établit lui-même des prêtres pour les hauts lieux, pour les idoles de boucs et de veaux qu'il avait faites.
16 Watu kutoka kabila zote za Israeli wakaja nyuma yao, wale walio wameiilekeza mioyo yao kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli; wakaja Yerusalemu kwa ajili ya kumtolea dhabihu Yahwe. Mungu wa baba zao.
Après eux, de toutes les tribus d'Israël, ceux qui avaient mis leur cœur à chercher l'Éternel, le Dieu d'Israël, venaient à Jérusalem pour sacrifier à l'Éternel, le Dieu de leurs pères.
17 Kwa hiyo wakauimarisha ufalame wa Yuda na kumfanya imara Rehoboamu mwana wa Selemani kwa miaka mitatu, na wakatembea kwa miaka mitatu katika njia ya Daudi na Selemani.
Ils renforcèrent le royaume de Juda et affermirent Roboam, fils de Salomon, pendant trois ans, car ils marchèrent trois ans dans la voie de David et de Salomon.
18 Rehoboamu akajitwalia mke: Mahalathi, binti wa Yerimothi, mwana wa Daudi na wa Abihaili, binti wa Eliabu, mwana wa Yese.
Roboam prit une femme pour lui, Mahalath, fille de Jerimoth, fils de David, et d'Abihail, fille d'Eliab, fils de Jessé.
19 Akamzalia wana: Yeushi, Shemaraia, na Zahamu.
Elle lui donna des fils: Jeush, Shemariah et Zaham.
20 Baaad ya Mahalathi, Rehoboamu akamchukua Maaka, binti Absalomu; akamzalia Abiya, Atai, Ziza, na Shelomithi.
Après elle, il prit Maaca, petite-fille d'Absalom, et elle lui enfanta Abija, Attaï, Ziza et Shelomith.
21 Rehoboamu akampenda Maaka, binti Solomoni, zaidi kuliko wake za wengine wote na masuria (alichukua wake kumi na nane na masuria sitini, na akawa baba wa wana ishirini na nane na mabinti sitini).
Roboam aimait Maaca, petite-fille d'Absalom, plus que toutes ses femmes et ses concubines; il prit dix-huit femmes et soixante concubines, et engendra vingt-huit fils et soixante filles.
22 Rehoboamu akamteua Abiya mwana wa Maaka kuwa mkuu, kiongozi miongoni mwa ndugu zake alikuwa na wazo la kumfanya mfalme.
Roboam nomma Abija, fils de Maaca, chef, prince parmi ses frères, car il avait l'intention de le faire roi.
23 Rehoboamu akatawala kwa hekima; akawatawanya wanaye katika nchi yote ya Yuda na Benyamini katika kila mji imara. Pia akawapa chakula kwa wingi na akatafuta wake wengi kwa ajili yao.
Il fit preuve de sagesse et dispersa quelques-uns de ses fils dans tous les pays de Juda et de Benjamin, dans toutes les villes fortifiées. Il leur donna de la nourriture en abondance, et il leur chercha beaucoup de femmes.

< 2 Nyakati 11 >