< 2 Nyakati 10 >

1 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa maana Isaraeli wote walikuwa wanakauja Shekemu kwa ajili ya kumfanya yeye mfalme.
Rehabeam drog till Sechem; ty hele Israel var kommen till Sechem, att göra honom till Konung.
2 Ikatokea kwamba Yeroboamu mwana wa Nebati akasikia haya (kwa maana alikuwa katika Misiri, ambako alikuw amekimbilia kutoka kwenye uwepo wa Mfalme Selemanai, lakini Yeroboamu akarudi kutoka Misiri).
Och då Jerobeam, Nebats son, som i Egypten var, dit han för Konung Salomo flydd var, det hörde, kom han igen utur Egypten.
3 Kwa hiyo wakatuma na kumuita yeye, na Yeroboamu na Israeli wote wakaja; wakamwambia Rehoboamu na kusema,
Och de sände bort, och läto kalla honom. Och Jerobeam kom med hela Israel; och de talade med Rehabeam, och sade:
4 “Baba yako aliifanya nira yetu ngumu. Kwa hiyo sasa, ifanye kazi ngumu ya baba yako kuwa rahisi, na ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu, na sisi tutakutumikia wewe.”
Din fader hafver gjort vårt ok allt för hårdt; så lätta du ini dins faders hårda tjenst, och det svåra ok som han på oss lagt hafver, så vilje vi vara dig underdånige.
5 Rehoboamu akawaambia, “Njoni kwangu tena baada ya siku tatu.” Kwa hiyo watu wakaondoka.
Han sade till dem: Efter tre dagar kommer igen till mig. Och folket gick sin väg.
6 Mfalme Rehoboamu akaomba ushauri kwa wazee ambao walikuwa wamesimama mbele ya Selemani baba yake wakati alipokuwa hai; akasema, Mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”
Och Konung Rehabeam rådfrågade med de äldsta, som för hans fader Salomo ståndit hade, medan han lefde, och sade: Hvad råden I, det jag skall svara desso folkena?
7 Wakasema kwake, Ikiwa wewe ni mwema kwa watu hawa na uwapendeze, na sema maneno mazuri kwao, basi siku zote watakuwa watumishi wako.”
De talade med honom, och sade: Om du ställer dig vänliga till detta folk, och far väl åt dem, och gifver dem god ord, så blifva de dig underdånige i alla sina dagar.
8 Lakini Rehoboamu akapuuza ushauri wa wazee ambao walimpa, na akashauriana na wanauame vijana ambao walikuwa wa rika lake, ambao walisimama mbele yake.
Men han lät blifva de äldstas råd, som de honom gifvit hade, och rådfrågade med de unga, som med honom uppväxte voro, och för honom stodo;
9 Akawaamabia, “Mnanipa ushauri gani, ili kwamba niwajibu watu waliozungumza kwangu na kusema, “Ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu'?”
Och sade till dem: Hvad råden I, det vi desso folkena svara skole, som med mig talat hafva, och sagt: Lätta oss det ok, som din fader på oss lagt hafver.
10 Wanaume vijana mabaoa walikuwa rika la Yeroboamu wakasema kwake, wakisema, “Hivi ndivyo utakavyosema kwa watu waliokuambia kwamba baba yako Selemani aliifanya nira yao nzito, lakini kwamba lazima uifanye nyepesi. Hivi ndivyo utakavyosema kwao, 'Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
Men de unge, som med honom uppväxte voro, talade med honom, och sade: Så skall du säga till folket, som till dig talat hafver, och säger: Din fader hafver gjort vårt ok allt för tungt, gör du vårt ok lättare; och säg till dem: Mitt minsta finger skall vara tjockare än mins faders länder.
11 Kwa hiyo sasa, ingawa babab yangu aliwatwika nira nzito, nitaiongeza nira yenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini nitawaadhibu kwa nge.”
Hafver nu min fader för tungt ok lagt uppå eder, så skall jag ännu göra edart ok tyngre; min fader hafver tuktat eder med gisslar, men jag med scorpioner.
12 Kwa hiyo Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu katika siku ya tatu, kama aliavyosema mfalme, “Rudini kwangu katika siku ya tatu,”
Som nu Jerobeam och allt folket kom till Rehabeam på tredje dagen, såsom Konungen sagt hade: Kommer igen till mig på tredje dagen;
13 Yeroboamu akasema kwa kwao kwa ukatili, akiupuuza aushauri wa wazee.
Svarade Konungen dem hårdeliga; och Konung Rehabeam öfvergaf de äldstas råd;
14 Akasema kwao akiufuata ushauri wa wanaume vijana, akisema, “Baba yangu aliifanya nira yenu nzito, lakini mimi nitaiongeza. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge.”
Och talade med dem efter de ungas råd, och sade: Hafver min fader gjort edart ok för svårt, så skall jag ännu göra det svårare; min fader hafver tuktat eder med gisslar, men jag med scorpioner.
15 Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa lilikuw tukio lililoletwa na Mungu, kwamba Yahwe aweze kulitimiza neno lake ambalo Ahiya Mshiloni alikuwa amemwambia Yeroboamu mwana wa Nebati.
Alltså hörde Konungen folket intet; ty det vardt alltså vändt af Gudi, på det Herren skulle göra sitt ord fast, som han talat hade genom Ahia af Silo till Jerobeam, Nebats son.
16 Israeli wote, walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu na kusema, “Tunasehemu gani katika Daudi? Hatuna urith katika wana wa Yese! Kila mmoja wenu anapaswa kwenda katika hema yake, Israeli. Sasa kila mtu aone nyumba yake, Daudi.” Kwa hiyo Israeli wote wakarudi kwenye hema zao.
Då nu hele Israel såg, att Konungen intet hörde dem, svarade folket Konungenom, och sade: Hvad del hafve vi med David, eller arf med Isai son? Hvar och en af Israel drage till sina hyddor: Så se du nu till ditt hus, David. Och hele Israel gick i sina hyddor;
17 Lakini kwa watu wa Yuda walioishi katika miji ya Yuda, Yeroboamu akatawala juu yao.
Så att Rehabeam regerade allenast öfver de Israels barn, som bodde i Juda städer.
18 Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, ambaye alikuwa msimamizi wa wafanya kazi, lakini watu wa Israeli walimuua kwa kumpiga mawe. Mfalame Rehoboamu akaingia haraka ndani ya gari lake kwenda Yerusalemu.
Då sände Konung Rehabeam Hadoram räntomästaren; men Israels barn stenade honom ihjäl. Och Konung Rehabeam steg med hast på sin vagn, och flydde till Jerusalem.
19 Kwa hiyo Israeli wakawa waasi dhidi ya nyumba ya Mungu hadi leo.
Alltså föll Israel af ifrå Davids hus, allt intill denna dag.

< 2 Nyakati 10 >