< 2 Nyakati 10 >
1 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa maana Isaraeli wote walikuwa wanakauja Shekemu kwa ajili ya kumfanya yeye mfalme.
Roboam udał się do Sychem, gdyż do Sychem przybył cały Izrael, aby ustanowić go królem.
2 Ikatokea kwamba Yeroboamu mwana wa Nebati akasikia haya (kwa maana alikuwa katika Misiri, ambako alikuw amekimbilia kutoka kwenye uwepo wa Mfalme Selemanai, lakini Yeroboamu akarudi kutoka Misiri).
A gdy usłyszał o tym Jeroboam, syn Nebata, który był w Egipcie, dokąd uciekł przed królem Salomonem, wrócił z Egiptu;
3 Kwa hiyo wakatuma na kumuita yeye, na Yeroboamu na Israeli wote wakaja; wakamwambia Rehoboamu na kusema,
Wtedy posłano [po niego] i wezwano go. Przyszedł więc Jeroboam wraz z całym Izraelem i powiedzieli do Roboama:
4 “Baba yako aliifanya nira yetu ngumu. Kwa hiyo sasa, ifanye kazi ngumu ya baba yako kuwa rahisi, na ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu, na sisi tutakutumikia wewe.”
Twój ojciec włożył na nas ciężkie jarzmo. Teraz więc [ty] ulżyj [nam] w srogiej niewoli swego ojca i w ciężkim jarzmie, które włożył na nas, a będziemy ci służyć.
5 Rehoboamu akawaambia, “Njoni kwangu tena baada ya siku tatu.” Kwa hiyo watu wakaondoka.
Odpowiedział im: Wróćcie do mnie po trzech dniach. I lud odszedł.
6 Mfalme Rehoboamu akaomba ushauri kwa wazee ambao walikuwa wamesimama mbele ya Selemani baba yake wakati alipokuwa hai; akasema, Mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”
Wtedy król Roboam radził się starszych, którzy stawali przed Salomonem, jego ojcem, gdy jeszcze żył, pytając: Jaką odpowiedź radzicie dać temu ludowi?
7 Wakasema kwake, Ikiwa wewe ni mwema kwa watu hawa na uwapendeze, na sema maneno mazuri kwao, basi siku zote watakuwa watumishi wako.”
Odpowiedzieli mu: Jeśli będziesz dla tego ludu dobry, okażesz im życzliwość i będziesz mówił do nich łagodne słowa, to będą twoimi sługami przez wszystkie dni.
8 Lakini Rehoboamu akapuuza ushauri wa wazee ambao walimpa, na akashauriana na wanauame vijana ambao walikuwa wa rika lake, ambao walisimama mbele yake.
Ale [on] odrzucił radę starszych, którą mu dali, i radził się młodzieńców, którzy razem z nim wzrośli i stawali przed nim.
9 Akawaamabia, “Mnanipa ushauri gani, ili kwamba niwajibu watu waliozungumza kwangu na kusema, “Ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu'?”
I zapytał ich: A co wy radzicie odpowiedzieć temu ludowi, który poprosił mnie: Ulżyj nam w jarzmie, które włożył na nas twój ojciec?
10 Wanaume vijana mabaoa walikuwa rika la Yeroboamu wakasema kwake, wakisema, “Hivi ndivyo utakavyosema kwa watu waliokuambia kwamba baba yako Selemani aliifanya nira yao nzito, lakini kwamba lazima uifanye nyepesi. Hivi ndivyo utakavyosema kwao, 'Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
Wtedy młodzieńcy, którzy razem z nim wzrośli, odpowiedzieli mu: Tak odpowiesz temu ludowi, który powiedział tobie: Twój ojciec włożył na nas ciężkie jarzmo, ale ty nam ulżyj; tak im powiesz: Mój mały [palec] jest grubszy niż biodra mojego ojca.
11 Kwa hiyo sasa, ingawa babab yangu aliwatwika nira nzito, nitaiongeza nira yenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini nitawaadhibu kwa nge.”
Teraz więc chociaż mój ojciec nałożył na was ciężkie jarzmo, ja dołożę do waszego jarzma. Mój ojciec karcił was biczami, ale ja [będę] was [karcił] skorpionami.
12 Kwa hiyo Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu katika siku ya tatu, kama aliavyosema mfalme, “Rudini kwangu katika siku ya tatu,”
Przyszedł więc Jeroboam i cały lud do Roboama trzeciego dnia, tak jak król nakazał, mówiąc: Wróćcie do mnie na trzeci dzień.
13 Yeroboamu akasema kwa kwao kwa ukatili, akiupuuza aushauri wa wazee.
I król odpowiedział im surowo, bo odrzucił król Roboam radę starców.
14 Akasema kwao akiufuata ushauri wa wanaume vijana, akisema, “Baba yangu aliifanya nira yenu nzito, lakini mimi nitaiongeza. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge.”
I przemówił do nich według rady młodzieńców, mówiąc: Mój ojciec obciążył was ciężkim jarzmem, ale ja dołożę do niego. Mój ojciec karcił was biczami, ale ja będę was karcił skorpionami.
15 Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa lilikuw tukio lililoletwa na Mungu, kwamba Yahwe aweze kulitimiza neno lake ambalo Ahiya Mshiloni alikuwa amemwambia Yeroboamu mwana wa Nebati.
Król więc nie usłuchał ludu, sprawa bowiem wyszła od Boga, aby PAN spełnił swoje słowo, które wypowiedział przez Achiasza Szilonitę do Jeroboama, syna Nebata.
16 Israeli wote, walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu na kusema, “Tunasehemu gani katika Daudi? Hatuna urith katika wana wa Yese! Kila mmoja wenu anapaswa kwenda katika hema yake, Israeli. Sasa kila mtu aone nyumba yake, Daudi.” Kwa hiyo Israeli wote wakarudi kwenye hema zao.
A gdy cały Izrael [zobaczył], że król ich nie usłuchał, lud odpowiedział królowi: Jakiż dział mamy w Dawidzie? Nie mamy dziedzictwa w synu Jessego. [Idźcie] każdy do swoich namiotów, Izraelu! A ty, Dawidzie, troszcz się teraz o swój dom. I rozszedł się cały Izrael do swoich namiotów.
17 Lakini kwa watu wa Yuda walioishi katika miji ya Yuda, Yeroboamu akatawala juu yao.
[Tylko] nad synami Izraela, którzy mieszkali w miastach Judy, królował Roboam.
18 Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, ambaye alikuwa msimamizi wa wafanya kazi, lakini watu wa Israeli walimuua kwa kumpiga mawe. Mfalame Rehoboamu akaingia haraka ndani ya gari lake kwenda Yerusalemu.
Wtedy król Roboam posłał do synów Izraela Hadorama, który był poborcą, a [oni] ukamienowali go tak, że umarł. Król Roboam wsiadł więc w pośpiechu na rydwan i uciekł do Jerozolimy.
19 Kwa hiyo Israeli wakawa waasi dhidi ya nyumba ya Mungu hadi leo.
I w ten sposób Izrael zbuntował się przeciwko domowi Dawida aż do dziś.