< 2 Nyakati 10 >

1 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa maana Isaraeli wote walikuwa wanakauja Shekemu kwa ajili ya kumfanya yeye mfalme.
And Rehoboam goes to Shechem, for all of Israel has come [to] Shechem to cause him to reign.
2 Ikatokea kwamba Yeroboamu mwana wa Nebati akasikia haya (kwa maana alikuwa katika Misiri, ambako alikuw amekimbilia kutoka kwenye uwepo wa Mfalme Selemanai, lakini Yeroboamu akarudi kutoka Misiri).
And it comes to pass, at Jeroboam son of Nebat—who [is] in Egypt because he has fled from the face of Solomon the king—hearing, that Jeroboam turns back out of Egypt;
3 Kwa hiyo wakatuma na kumuita yeye, na Yeroboamu na Israeli wote wakaja; wakamwambia Rehoboamu na kusema,
and they send and call for him, and Jeroboam comes in, and all of Israel, and they speak to Rehoboam, saying,
4 “Baba yako aliifanya nira yetu ngumu. Kwa hiyo sasa, ifanye kazi ngumu ya baba yako kuwa rahisi, na ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu, na sisi tutakutumikia wewe.”
“Your father made our yoke sharp, and now, make light [some] of the sharp service of your father, and [some] of his heavy yoke that he put on us, and we serve you.”
5 Rehoboamu akawaambia, “Njoni kwangu tena baada ya siku tatu.” Kwa hiyo watu wakaondoka.
And he says to them, “Yet three days—then return to me”; and the people go.
6 Mfalme Rehoboamu akaomba ushauri kwa wazee ambao walikuwa wamesimama mbele ya Selemani baba yake wakati alipokuwa hai; akasema, Mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”
And King Rehoboam consults with the aged men who have been standing before his father Solomon in his being alive, saying, “How are you counseling to answer this people?”
7 Wakasema kwake, Ikiwa wewe ni mwema kwa watu hawa na uwapendeze, na sema maneno mazuri kwao, basi siku zote watakuwa watumishi wako.”
And they speak to him, saying, “If you become good to this people, and have been pleased with them, and spoken to them good words, then they have been servants to you [for] all the days.”
8 Lakini Rehoboamu akapuuza ushauri wa wazee ambao walimpa, na akashauriana na wanauame vijana ambao walikuwa wa rika lake, ambao walisimama mbele yake.
And he forsakes the counsel of the aged men that they counseled him, and consults with the boys who have grown up with him, those standing before him,
9 Akawaamabia, “Mnanipa ushauri gani, ili kwamba niwajibu watu waliozungumza kwangu na kusema, “Ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu'?”
and he says to them, “What are you counseling, and we answer this people that have spoken to me, saying, Make light [some] of the yoke that your father put on us?”
10 Wanaume vijana mabaoa walikuwa rika la Yeroboamu wakasema kwake, wakisema, “Hivi ndivyo utakavyosema kwa watu waliokuambia kwamba baba yako Selemani aliifanya nira yao nzito, lakini kwamba lazima uifanye nyepesi. Hivi ndivyo utakavyosema kwao, 'Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
And the boys who have grown up with him speak with him, saying, “Thus you say to the people who have spoken to you, saying, Your father made our yoke heavy, and you, make light [some] of our yoke; thus you say to them, My little finger is thicker than the loins of my father;
11 Kwa hiyo sasa, ingawa babab yangu aliwatwika nira nzito, nitaiongeza nira yenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini nitawaadhibu kwa nge.”
and now, my father laid a heavy yoke on you, and I add to your yoke; my father disciplined you with whips, and I—with scorpions.”
12 Kwa hiyo Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu katika siku ya tatu, kama aliavyosema mfalme, “Rudini kwangu katika siku ya tatu,”
And Jeroboam comes in, and all the people, to Rehoboam on the third day, as the king spoke, saying, “Return to me on the third day.”
13 Yeroboamu akasema kwa kwao kwa ukatili, akiupuuza aushauri wa wazee.
And the king answers them sharply, and King Rehoboam forsakes the counsel of the aged men,
14 Akasema kwao akiufuata ushauri wa wanaume vijana, akisema, “Baba yangu aliifanya nira yenu nzito, lakini mimi nitaiongeza. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge.”
and speaks to them according to the counsel of the boys, saying, “My father made your yoke heavy, and I add to it; my father disciplined you with whips, and I—with scorpions.”
15 Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa lilikuw tukio lililoletwa na Mungu, kwamba Yahwe aweze kulitimiza neno lake ambalo Ahiya Mshiloni alikuwa amemwambia Yeroboamu mwana wa Nebati.
And the king has not listened to the people, for the revolution has been from God, for the sake of YHWH’s establishing His word that He spoke by the hand of Abijah the Shilonite to Jeroboam son of Nebat.
16 Israeli wote, walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu na kusema, “Tunasehemu gani katika Daudi? Hatuna urith katika wana wa Yese! Kila mmoja wenu anapaswa kwenda katika hema yake, Israeli. Sasa kila mtu aone nyumba yake, Daudi.” Kwa hiyo Israeli wote wakarudi kwenye hema zao.
And all Israel have seen that the king has not listened to them, and the people send back [word to] the king, saying, “What portion do we have in David? Indeed, there is no inheritance in a son of Jesse; [go], each to your tents, O Israel! Now see your house, O David!” And all [in] Israel go to their tents.
17 Lakini kwa watu wa Yuda walioishi katika miji ya Yuda, Yeroboamu akatawala juu yao.
As for the sons of Israel who are dwelling in the cities of Judah—Rehoboam reigns over them.
18 Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, ambaye alikuwa msimamizi wa wafanya kazi, lakini watu wa Israeli walimuua kwa kumpiga mawe. Mfalame Rehoboamu akaingia haraka ndani ya gari lake kwenda Yerusalemu.
And King Rehoboam sends Hadoram, who [is] over the tribute, and the sons of Israel cast stones at him, and he dies; and King Rehoboam has strengthened himself to go up into a chariot to flee to Jerusalem;
19 Kwa hiyo Israeli wakawa waasi dhidi ya nyumba ya Mungu hadi leo.
and Israel transgresses against the house of David to this day.

< 2 Nyakati 10 >