< 2 Nyakati 10 >
1 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa maana Isaraeli wote walikuwa wanakauja Shekemu kwa ajili ya kumfanya yeye mfalme.
Now Rehoboam set out for Shechem. For in that place all of Israel had convened, so that they might appoint him as king.
2 Ikatokea kwamba Yeroboamu mwana wa Nebati akasikia haya (kwa maana alikuwa katika Misiri, ambako alikuw amekimbilia kutoka kwenye uwepo wa Mfalme Selemanai, lakini Yeroboamu akarudi kutoka Misiri).
But when Jeroboam, the son of Nabat, who was in Egypt, (indeed he had fled to that place from Solomon) had heard it, he promptly returned.
3 Kwa hiyo wakatuma na kumuita yeye, na Yeroboamu na Israeli wote wakaja; wakamwambia Rehoboamu na kusema,
And they summoned him, and he arrived with all of Israel. And they spoke to Rehoboam, saying:
4 “Baba yako aliifanya nira yetu ngumu. Kwa hiyo sasa, ifanye kazi ngumu ya baba yako kuwa rahisi, na ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu, na sisi tutakutumikia wewe.”
“Your father pressed upon us a very difficult yoke. You should govern us more lightly than your father, who imposed on us a heavy servitude, and so lift up some of the burden, so that we may serve you.”
5 Rehoboamu akawaambia, “Njoni kwangu tena baada ya siku tatu.” Kwa hiyo watu wakaondoka.
But he said, “Return to me after three days.” And when the people had gone away,
6 Mfalme Rehoboamu akaomba ushauri kwa wazee ambao walikuwa wamesimama mbele ya Selemani baba yake wakati alipokuwa hai; akasema, Mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”
he took counsel with the elders, who had stood before his father Solomon while he was still living, saying, “What counsel would you give to me, so that I may respond to the people?”
7 Wakasema kwake, Ikiwa wewe ni mwema kwa watu hawa na uwapendeze, na sema maneno mazuri kwao, basi siku zote watakuwa watumishi wako.”
And they said to him, “If you please this people, and if you soothe them with words of clemency, they will be your servants for all days.”
8 Lakini Rehoboamu akapuuza ushauri wa wazee ambao walimpa, na akashauriana na wanauame vijana ambao walikuwa wa rika lake, ambao walisimama mbele yake.
But he set aside the counsel of the elders, and he began to have discussion with the youth, who had been raised with him and who were among his companions.
9 Akawaamabia, “Mnanipa ushauri gani, ili kwamba niwajibu watu waliozungumza kwangu na kusema, “Ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu'?”
And he said to them: “How does it seem to you? Or how should I respond to this people, who have said to me, ‘Lift up the yoke that your father imposed upon us?’”
10 Wanaume vijana mabaoa walikuwa rika la Yeroboamu wakasema kwake, wakisema, “Hivi ndivyo utakavyosema kwa watu waliokuambia kwamba baba yako Selemani aliifanya nira yao nzito, lakini kwamba lazima uifanye nyepesi. Hivi ndivyo utakavyosema kwao, 'Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
But they responded like youths, having been raised with him in luxury, and they said: “So shall you speak to the people, who said to you, ‘Your father made our yoke heavy; you should lighten it,’ and so shall you respond to them: ‘My little finger is thicker than the back of my father.
11 Kwa hiyo sasa, ingawa babab yangu aliwatwika nira nzito, nitaiongeza nira yenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini nitawaadhibu kwa nge.”
My father imposed a heavy yoke upon you, and I will place more weight upon it. My father cut you with whips; truly, I will beat you with scorpions.’”
12 Kwa hiyo Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu katika siku ya tatu, kama aliavyosema mfalme, “Rudini kwangu katika siku ya tatu,”
Then Jeroboam, and the entire people, went to Rehoboam on the third day, just as he had instructed them.
13 Yeroboamu akasema kwa kwao kwa ukatili, akiupuuza aushauri wa wazee.
And the king responded harshly, abandoning the counsel of the elders.
14 Akasema kwao akiufuata ushauri wa wanaume vijana, akisema, “Baba yangu aliifanya nira yenu nzito, lakini mimi nitaiongeza. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge.”
And he spoke according to the will of the youths: “My father imposed a heavy yoke upon you, which I will make heavier. My father cut you with whips; truly, I will beat you with scorpions.”
15 Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa lilikuw tukio lililoletwa na Mungu, kwamba Yahwe aweze kulitimiza neno lake ambalo Ahiya Mshiloni alikuwa amemwambia Yeroboamu mwana wa Nebati.
And he did not acquiesce to the pleadings of the people. For it was the will of God that his word be fulfilled, which he had spoken by the hand of Ahijah, the Shilonite, to Jeroboam, the son of Nabat.
16 Israeli wote, walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu na kusema, “Tunasehemu gani katika Daudi? Hatuna urith katika wana wa Yese! Kila mmoja wenu anapaswa kwenda katika hema yake, Israeli. Sasa kila mtu aone nyumba yake, Daudi.” Kwa hiyo Israeli wote wakarudi kwenye hema zao.
Then the entire people, speaking more harshly to the king, spoke to him in this way: “There is no portion for us in David, and there is no inheritance in the son of Jesse. Return to your dwellings, O Israel. Then you, O David, shall pasture your own house.” And Israel went away to their dwellings.
17 Lakini kwa watu wa Yuda walioishi katika miji ya Yuda, Yeroboamu akatawala juu yao.
But Rehoboam reigned over the sons of Israel who were living in the cities of Judah.
18 Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, ambaye alikuwa msimamizi wa wafanya kazi, lakini watu wa Israeli walimuua kwa kumpiga mawe. Mfalame Rehoboamu akaingia haraka ndani ya gari lake kwenda Yerusalemu.
And king Rehoboam sent Aduram, who was in charge of the tributes. And the sons of Israel stoned him, and he died. And so king Rehoboam hurried to climb into the chariot, and he fled to Jerusalem.
19 Kwa hiyo Israeli wakawa waasi dhidi ya nyumba ya Mungu hadi leo.
And Israel withdrew from the house of David, even to this day.