< 1 Timotheo 1 >

1 Paulo, Mtume wa Kristo Yesu, kulingana na amri ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo aliye ujasiri wetu,
Pavel, apostol Jezusa Kristusa po zapovedi Boga, našega Odrešenika in Gospoda Jezusa Kristusa, ki je naše upanje;
2 kwa Timotheo mwanangu wa kweli katika imani: Neema, rehema na amani zitokazo kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
Timóteju, mojemu lastnemu sinu v veri: ›Milost, usmiljenje in mir od Boga, našega Očeta in Jezusa Kristusa, našega Gospoda.‹
3 Kama nilivyokusihi nilipoondoka kwenda Makedonia, ubaki Efeso ili kwamba uweze kuwaamru watu fulani wasifundishe mafundisho tofauti.
Kakor sem te rotil, ko sem odšel v Makedonijo, da še ostaneš v Efezu, da bi lahko nekaterim naročil, da ne učijo nobenega drugega nauka,
4 Pia wasisikilize hadithi na orodha za nasaba zisizo na mwisho. Haya husababisha mabishano zaidi kuliko kuwasaidia kuendeleza mpango wa Mungu wa imani.
niti ne dajo pozornosti bajkam in neskončnim rodovnikom, kar prej podpira razprave, kakor [pa] bogaboječe izgrajevanje, ki je v veri. Tako delajte.
5 Basi lengo la agizo hili ni upendo utokao katika moyo safi, katika dhamiri nzuri na katika imani ya kweli.
Torej namen zapovedi je ljubezen iz čistega srca in iz dobre vesti ter iz nehlinjene vere,
6 Baadhi ya watu wamelikosa lengo wakayaacha mafundisho haya na kugeukia mazungumzo ya kipumbavu.
od katere so se nekateri oddaljili in obrnili stran k praznemu blebetanju;
7 Wanataka kuwa waalimu wa sheria, lakini hawafahamu wanachosema au wanachosisitiza.
želeč biti učitelji postave; [pa] niti ne razumejo kaj govorijo niti o čemer zatrjujejo.
8 lakini tunajua kwamba sheria ni njema kama mtu ataitumia kwa usahihi.
Toda mi vemo, da je postava dobra, če jo človek uporablja zakonito;
9 Tunajua kuwa, sheria haikutungwa kwa ajili ya mtu mwenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, watu wasio wataua na wenye dhambi, na ambao hawana Mungu na waovu. Imetungwa kwa ajili ya wauao baba na mama zao, kwa ajili ya wauaji,
vedoč to, da postava ni narejena za pravičnega človeka, temveč za nepostavnega in neposlušnega, za brezbožnega in za grešnike, za nesvete in oskrunjene, za morilce očetov in morilce mater, za ubijalce,
10 kwa ajili ya waasherati, kwa ajili ya watu wazinzi, kwa ajili ya wale wanaoteka watu na kuwafanya watumwa, kwa ajili ya waongo, kwa ajili ya mashahidi wa uongo, na yeyote aliye kinyume na maelekezo ya uaminifu.
za vlačugarje, za tiste, ki sebe omadežujejo z možmi, za ugrabitelje ljudi, za lažnivce, za krivoprisežnike in če je katerakoli druga stvar, ki je nasprotna zdravemu nauku;
11 Malekezo haya yanatokana na injili yenye utukufu ya Mungu mwenye kubarakiwa ambayo kwayo nimeaminiwa.
glede na slavni evangelij blagoslovljenega Boga, ki je bil zaupan mojemu varstvu.
12 Ninamshukuru Yesu Kristo Bwana wetu. Alinitia nguvu, kwa kuwa alinihesabu mimi kuwa mwaminifu, na akaniweka katika huduma.
In zahvaljujem se Kristusu Jezusu, našemu Gospodu, ki me je usposobil in me postavil v službo, kajti imel me je za zvestega;
13 Nilikuwa mtu wa kukufuru, mtesaji na mtu wa vurugu. Lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda kwa ujinga kwa kutoamini.
ki sem bil prej bogokletnik in preganjalec ter škodljivec. Toda dosegel sem usmiljenje, ker sem to počel nevedno, v nejeveri.
14 Lakini neema ya Mungu wetu imejaa imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
Milost našega Gospoda pa je bila silno bogata z vero in ljubeznijo, ki je v Kristusu Jezusu.
15 Ujumbe huu ni wa kuaminika na unastahili kupokelewa na wote, ya kuwa Kristo Yesu alikuja duniani kuokoa wenye dhambi. Mimi ni mbaya zaidi ya wote.
To je zvest izrek in vreden popolnega sprejetja, da je Kristus Jezus prišel na svet, da reši grešnike; od katerih sem jaz vodilni.
16 Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
Vendar sem zaradi tega razloga dosegel usmiljenje, da bi Jezus Kristus lahko vnaprej na meni pokazal vso potrpežljivost za vzor tem, ki naj bi odslej verovali vanj za večno življenje. (aiōnios g166)
17 Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Torej Kralju, večnemu, nesmrtnemu, nevidnemu, edinemu modremu Bogu, bodi čast in slava na veke vekov. Amen. (aiōn g165)
18 Ninaliweka agizo hili mbele yako Timotheo, mtoto wangu. Nafanya hivi kulingana na unabii uliotolewa hapo kwanza kukuhusu wewe, ili kwamba uhusike katika vita njema.
To naročilo sem zaupal tebi, sin Timótej, glede na prerokbe, ki so izšle poprej o tebi, da boš po njih lahko bojeval dober boj;
19 Fanya hivyo ili kwamba uwe na imani na dhamiri njema. Baadhi ya watu wameyakataa haya wakaangamiza imani.
in obdržiš vero in dobro vest; ki so jo nekateri zavrgli in glede vere storili brodolom.
20 Kama vile Himeneyo na Alekizanda ambao nimempa shetani ili wafundishwe wasikufuru.
Od katerih sta Himénaj in Aleksander; ki sem ju izročil Satanu, da bi se lahko naučila ne preklinjati.

< 1 Timotheo 1 >