< 1 Timotheo 1 >

1 Paulo, Mtume wa Kristo Yesu, kulingana na amri ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo aliye ujasiri wetu,
پولس، رسول عیسی مسیح به حکم نجات‌دهنده ما خدا و مسیح عیسی خداوند که امید ما است،۱
2 kwa Timotheo mwanangu wa kweli katika imani: Neema, rehema na amani zitokazo kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
به فرزند حقیقی خود در ایمان، تیموتاوس. فیض و رحم و سلامتی از جانب خدای پدر وخداوند ما مسیح عیسی بر تو باد.۲
3 Kama nilivyokusihi nilipoondoka kwenda Makedonia, ubaki Efeso ili kwamba uweze kuwaamru watu fulani wasifundishe mafundisho tofauti.
چنانکه هنگامی که عازم مکادونیه بودم، به شما التماس نمودم که در افسس بمانی تا بعضی را امر کنی که تعلیمی دیگر ندهند،۳
4 Pia wasisikilize hadithi na orodha za nasaba zisizo na mwisho. Haya husababisha mabishano zaidi kuliko kuwasaidia kuendeleza mpango wa Mungu wa imani.
و افسانه‌ها ونسب نامه های نامتناهی را اصغا ننمایند که اینهامباحثات را نه آن تعمیر الهی را که در ایمان است پدید می‌آورد.۴
5 Basi lengo la agizo hili ni upendo utokao katika moyo safi, katika dhamiri nzuri na katika imani ya kweli.
اما غایت حکم، محبت است ازدل پاک و ضمیر صالح و ایمان بی‌ریا.۵
6 Baadhi ya watu wamelikosa lengo wakayaacha mafundisho haya na kugeukia mazungumzo ya kipumbavu.
که از این امور بعضی منحرف گشته به بیهوده‌گویی توجه نموده‌اند،۶
7 Wanataka kuwa waalimu wa sheria, lakini hawafahamu wanachosema au wanachosisitiza.
و می‌خواهند معلمان شریعت بشوندو حال آنکه نمی فهمند آنچه می‌گویند و نه آنچه به تاکید اظهار می‌نمایند.۷
8 lakini tunajua kwamba sheria ni njema kama mtu ataitumia kwa usahihi.
لیکن می‌دانیم که شریعت نیکو است اگرکسی آن را برحسب شریعت بکار برد.۸
9 Tunajua kuwa, sheria haikutungwa kwa ajili ya mtu mwenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, watu wasio wataua na wenye dhambi, na ambao hawana Mungu na waovu. Imetungwa kwa ajili ya wauao baba na mama zao, kwa ajili ya wauaji,
و این بداند که شریعت بجهت عادل موضوع نمی شود، بلکه برای سرکشان و طاغیان و بی‌دینان وگناهکاران و ناپاکان و حرامکاران و قاتلان پدر و قاتلان مادر و قاتلان مردم۹
10 kwa ajili ya waasherati, kwa ajili ya watu wazinzi, kwa ajili ya wale wanaoteka watu na kuwafanya watumwa, kwa ajili ya waongo, kwa ajili ya mashahidi wa uongo, na yeyote aliye kinyume na maelekezo ya uaminifu.
و زانیان و لواطان ومردم دزدان و دروغ‌گویان و قسم دروغ خوران وبرای هر عمل دیگری که برخلاف تعلیم صحیح باشد،۱۰
11 Malekezo haya yanatokana na injili yenye utukufu ya Mungu mwenye kubarakiwa ambayo kwayo nimeaminiwa.
برحسب انجیل جلال خدای متبارک که به من سپرده شده است.۱۱
12 Ninamshukuru Yesu Kristo Bwana wetu. Alinitia nguvu, kwa kuwa alinihesabu mimi kuwa mwaminifu, na akaniweka katika huduma.
و شکر می‌کنم خداوند خود مسیح عیسی را که مرا تقویت داد، چونکه امین شمرده، به این خدمتم ممتاز فرمود،۱۲
13 Nilikuwa mtu wa kukufuru, mtesaji na mtu wa vurugu. Lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda kwa ujinga kwa kutoamini.
که سابق کفرگو و مضر وسقطگو بودم، لیکن رحم یافتم از آنرو که ازجهالت در بی‌ایمانی کردم.۱۳
14 Lakini neema ya Mungu wetu imejaa imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
اما فیض خداوندما بی‌نهایت افزود با‌ایمان و محبتی که در مسیح عیسی است.۱۴
15 Ujumbe huu ni wa kuaminika na unastahili kupokelewa na wote, ya kuwa Kristo Yesu alikuja duniani kuokoa wenye dhambi. Mimi ni mbaya zaidi ya wote.
این سخن امین است و لایق قبول تام که مسیح عیسی به‌دنیا آمد تا گناهکاران را نجات‌بخشد که من بزرگترین آنها هستم.۱۵
16 Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
بلکه از این جهت بر من رحم شد تا اول درمن، مسیح عیسی کمال حلم را ظاهر سازد تا آنانی را که بجهت حیات جاودانی به وی ایمان خواهند‌آورد، نمونه باشم. (aiōnios g166)۱۶
17 Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
باری پادشاه سرمدی و باقی ونادیده را، خدای حکیم وحید را اکرام و جلال تاابدالاباد باد. آمین. (aiōn g165)۱۷
18 Ninaliweka agizo hili mbele yako Timotheo, mtoto wangu. Nafanya hivi kulingana na unabii uliotolewa hapo kwanza kukuhusu wewe, ili kwamba uhusike katika vita njema.
‌ای فرزند تیموتاوس، این وصیت را به تو می سپارم برحسب نبوتهایی که سابق بر تو شد تادر آنها جنگ نیکو کنی،۱۸
19 Fanya hivyo ili kwamba uwe na imani na dhamiri njema. Baadhi ya watu wameyakataa haya wakaangamiza imani.
و ایمان و ضمیرصالح را نگاه داری که بعضی این را از خود دورانداخته، مر ایمان را شکسته کشتی شدند.۱۹
20 Kama vile Himeneyo na Alekizanda ambao nimempa shetani ili wafundishwe wasikufuru.
که از آن جمله هیمیناوس و اسکندر می‌باشند که ایشان را به شیطان سپردم تا تادیب شده، دیگرکفر نگویند.۲۰

< 1 Timotheo 1 >