< 1 Timotheo 1 >
1 Paulo, Mtume wa Kristo Yesu, kulingana na amri ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo aliye ujasiri wetu,
I Paoly, Firàhe’ Iesoà Norizañey, ty amy lilin’ Añahare Mpandrombake antikañe naho Iesoà Norizañe fitamàn-tikañey,
2 kwa Timotheo mwanangu wa kweli katika imani: Neema, rehema na amani zitokazo kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
Ho a i Timoty, toe anako am-patokisañe: Hasoa naho fiferenaiñañe vaho fañanintsiñe boak’ aman’ Añahare Rae naho i Talèntika Iesoà Norizañey.
3 Kama nilivyokusihi nilipoondoka kwenda Makedonia, ubaki Efeso ili kwamba uweze kuwaamru watu fulani wasifundishe mafundisho tofauti.
Inay i nañosihako azoy, izaho nionjoñe mb’e Makedonia añe, le t’ihe hitoboke e Efesosy ao heike, handily o ila’eo tsy hañoke fañòhañe hafa,
4 Pia wasisikilize hadithi na orodha za nasaba zisizo na mwisho. Haya husababisha mabishano zaidi kuliko kuwasaidia kuendeleza mpango wa Mungu wa imani.
naho tsy ho haoñe’o o talilin-taoloo naho o toñon-droae tsy migadoñeo fa mampifandietse avao, he ho soloa’e i fañòhan’ Añahare mitoloñe am-patokisañey.
5 Basi lengo la agizo hili ni upendo utokao katika moyo safi, katika dhamiri nzuri na katika imani ya kweli.
Fa ty firefea’ o fanoroañeo le fikokoañe boak’ añ’arofo hiringiri’e naho hazavàn-troke miharo fatokisañe to;
6 Baadhi ya watu wamelikosa lengo wakayaacha mafundisho haya na kugeukia mazungumzo ya kipumbavu.
teo ty nitsile ami’ty hiti’e naho nidrikiñe mb’ an-drehake borosode añe,
7 Wanataka kuwa waalimu wa sheria, lakini hawafahamu wanachosema au wanachosisitiza.
ie te ho mpañoke Hake, fe tsy apota’e ndra ze rehafe’e ndra o raha vontitire’eo.
8 lakini tunajua kwamba sheria ni njema kama mtu ataitumia kwa usahihi.
Fohintika te soa t’i Hake naho oriheñe ami’ty lili’e,
9 Tunajua kuwa, sheria haikutungwa kwa ajili ya mtu mwenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, watu wasio wataua na wenye dhambi, na ambao hawana Mungu na waovu. Imetungwa kwa ajili ya wauao baba na mama zao, kwa ajili ya wauaji,
tsapa te tsy afetsake ami’ty vantañe t’i Hake fa ami’ty tsy mañaon-Kàke, o mpanjehatseo, o mpiolao naho o tsivokatseo; o aman-tahiñeo naho o miteraterao, ho amo mpamono rae naho reneo, o mpañoho-dozao,
10 kwa ajili ya waasherati, kwa ajili ya watu wazinzi, kwa ajili ya wale wanaoteka watu na kuwafanya watumwa, kwa ajili ya waongo, kwa ajili ya mashahidi wa uongo, na yeyote aliye kinyume na maelekezo ya uaminifu.
o mpañarapiloo, o sambe-lahy mpifandeotseo, o mpañovok’ ondatio, o mpandañitseo, o mpitalily vilañeo, vaho ze mpandietse fañòhañe to,
11 Malekezo haya yanatokana na injili yenye utukufu ya Mungu mwenye kubarakiwa ambayo kwayo nimeaminiwa.
ty amy talili-soan’ Añahare rengeñe nafantoke amakoy.
12 Ninamshukuru Yesu Kristo Bwana wetu. Alinitia nguvu, kwa kuwa alinihesabu mimi kuwa mwaminifu, na akaniweka katika huduma.
Andriañeko i Talèntika Iesoà Norizañey mampaozatse ahikoy, amy te natao’e ho migahiñe, vaho najado’e amy fitoroñañey,
13 Nilikuwa mtu wa kukufuru, mtesaji na mtu wa vurugu. Lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda kwa ujinga kwa kutoamini.
zaho nimpiteratera naho mpampisoañe vaho nimpijoy heike; fe niferenaiñañe amy te nanoeko tsy aman-kilala tsy am-patokisañe,
14 Lakini neema ya Mungu wetu imejaa imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
le nidobañe amako ty hasoa’ i Talèn-tikañey reketse ty fatokisañe naho fikokoañe am’ Iesoà Norizañey.
15 Ujumbe huu ni wa kuaminika na unastahili kupokelewa na wote, ya kuwa Kristo Yesu alikuja duniani kuokoa wenye dhambi. Mimi ni mbaya zaidi ya wote.
Taroñe atokisañe naho mañeva fiantofañe pea, te, Nivotrake an-tane atoy t’Iesoà Norizañe handrombake o aman-kakeoo, izaho ty lombolombo’e;
16 Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios )
fe zao ty nitretrezañe ahy, ty amy hoe zay, soa te amako hey ty nampalangesa’ Iesoà Norizañey ty fahaliñisa’e do’e, hitsikombea’ o hiato ama’eo, hiveloma’e nainai’ey. (aiōnios )
17 Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
Ho amy Mpanjaka tsy ho modo, tsy ho momoke, tsy isakey, i Andrianañahare mahihitse tsy roe tsy teloy abey, ty asiñe naho ty engeñe nainai’e donia. Amena. (aiōn )
18 Ninaliweka agizo hili mbele yako Timotheo, mtoto wangu. Nafanya hivi kulingana na unabii uliotolewa hapo kwanza kukuhusu wewe, ili kwamba uhusike katika vita njema.
Inao ty fanoroañe hafantoko ama’o, ry Timoty anake, ty amo nitokiañe ama’oo, t’ie mañorike irezay ro hifañotak’ amy aly soay,
19 Fanya hivyo ili kwamba uwe na imani na dhamiri njema. Baadhi ya watu wameyakataa haya wakaangamiza imani.
hifahatse am-patokisañe naho an-kazavàn-troke; ie fa namoea’ o ila’eo, le nanao ty fatokisa’ iareo ho làka-nijoroboñe.
20 Kama vile Himeneyo na Alekizanda ambao nimempa shetani ili wafundishwe wasikufuru.
Mpiam’ iereo t’i Himeneo naho i Aleksandro ze natoloko hioke amy mpañìnjey, tsy hiteratera.