< 1 Timotheo 6 >
1 Wale wote walio chini ya nira kama watumwa wawachukulie mabwana zao kama wenye heshima zote, wanatakiwa kufanya hivyo ili jina la Mungu na mafundisho yasitukanwe.
Bhatumwa bhowe bhanapinjikwanga kwaishimunji bhakulungwa bhabhonji, nkupinga lina lya a Nnungu na majiganyo getu ganatukanwe.
2 Watumwa wenye mabwana waaminio wasiwadharau kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie zaidi. Kwa sababu mabwana wanaosaidiwa kazi zao ni waamini na wanapendwa. Fundisha na kuyatangaza mambo haya.
Bhatumwa bhalinginji bhakulungwa bhabhonji Bhakilishitu, bhanaanyegayanje pabha ni ashaalongo ajabhonji. Ikabhe, mbaya bhaatumishilanje ukoto, pabha apwaika kwa liengo lyabhonji, ni Nkilishitu nnjabhonji. Nnapinjikwa nnjiganye na nnunguye genega
3 Iwapo mtu fulani anafundisha kwa upotovu na hayapokei maelekezo yetu yenye kuaminika, ambayo ni maneno ya Bwana wetu Yesu Kristo, iwapo hawalikubali fundisho liongozalo kwenye utauwa.
Mundu jojowe ajiganya majiganyo gana ga kanana na gegano, na akaakunda malobhe ga gumi ga Bhakulungwa bhetu a Yeshu Kilishitu, wala majiganyo ga dini ja kweli,
4 Mtu huyo anajivuna na hajui chochote. Badala yake, ana vurugu na mabishano juu ya maneno. Maneno haya huzaa wivu, ugomvi, matukano, shuku mbaya,
jwenejo anakwiipuna na wala akakushimanya shoshowe, ikabhe jwenejo ashikola shalubha sha pinga mitau, na malobhe ga nngomo ga kumbuya lupimililo, na mpwai na matukano na nnjimwa,
5 na vurugu za mara kwa mara kati ya watu wenye akili zilizoharibika. Wanaiacha kweli. Wanafikiri kwamba utauwa ni njia ya kuwa matajiri”
na mitau jangali mpelo jikoposhela kubhandu bhaangabhanikenje lunda, na bhangalinginji ya kweli. Bhaganishiyanga kuti dini mpanda gwa patila utajili.
6 Sasa utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
Ikabheje dini ja kweli jinakumpa mundu kupwaika kaje, atogolelaga na yakwete.
7 Kwa maana hatukuja na chochote duniani. Wala hatuwezi kuchukua chochote kutoka duniani.
Pabha pa shilambolyo twangaika na shindu, na tukajabhula na shindu.
8 Badala yake, tutosheke na chakula na mavazi.
Kwa nneyo tukolaga shalya na nngubho, tutogolele na yeneyo.
9 Sasa hao watakao kuwa na mali huanguka katika majaribu, katika mtego. Huanguka katika upumbavu mwingi na tamaa mbaya, na katika kitu chochote kinachowafanya watu wazame katika maangamizi na uharibifu.
Ikabheje bhapinganga shipato shikulungwa pagwila mmalinjilo, nitanjila nniyau lya ilokoli ya indu yaigwinji, ya nyata na ya mboteko ikwaajinjiyanga bhandunji nkuobha na nkuangabhanika.
10 Kwa kuwa kupenda fedha ni chanzo cha aina zote za uovu. Watu ambao hutamani hiyo, wamepotoshwa mbali na imani na wamejichoma wenyewe kwa huzuni nyingi.
Pabha shiumilo shikulungwa sha indu yowe ya nyata, ni kupinjiya ela. Na bhananji nkupinjiya ela bhashilekanga nngulupai, nikwiijweka mmboteko ya punda.
11 Lakini wewe mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo. Fuata haki, utauwa, uaminifu, upendo, usitahimilivu, na upole.
Ikabheje mmwe, mmandu bha a Nnungu, muiembuye na genego. Nkagulile aki, na kwaatindibhalila a Nnungu, na ngulupai, na pingana, na kwiipililila na kwiitimalika.
12 Piga vita vizuri vya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba ulitoa ushuhuda mbele ya mashahidi wengi kwa kile kilicho chema. (aiōnios )
Nkomane ukoto ngondo ja ngulupai, na mpate gumi gwa pitipiti gunshemelwe gula, gumwapatile nkakundeje pa bhaakong'ondela bhabhagwinji. (aiōnios )
13 Nakupa amri hii mbele za Mungu, anayesababisha vitu vyote kuishi, na mbele ya Yesu Kristo, aliyenena iliyo kweli kwa Pontio Pilato:
Ngunakunnajila pa meyo ga a Nnungu bhakwiipa gumi indu yowe, na a Yeshu Kilishitu, bhakong'ondele ukoto pa meyo ga a Pontio Pilato,
14 itunze amri kwa ukamilifu, pasipo mashaka, hadi ujio wa Bwana wetu Yesu Kristo.
kuti nkamule malajilo genu kwa kunda na kulupalika, mpaka lyubha lishibhaishe Bhakulungwa bhetu a Yeshu Kilishitu.
15 Mungu atadhihirisha ujio wake kwa wakati sahihi- Mungu, Mbarikiwa, nguvu pekee, Mfalme anayetawala, Bwana anayeongoza.
Na kuika kwabho shikubhe mobha ga pwaa, gabhishilwe na a Nnungu Bhaatagwala jikape, Bhakulungwa bha bhakulungwanji.
16 Peke yake anaishi milele na akaaye katika mwanga usiokaribiriwa. Hakuna mtu awezaye kumwona wala awezaye kumtazama. Kwake iwe heshima na uweza wa milele. Amina. (aiōnios )
Ni bhenebho jikape bhakawa, bhatama pashilangaya shikabhandishilwa naka mundu. Wala jwakwapi mundu abhabhweni eu akombola kwaabhona. Bhenebho ni bha ishimiywa, na bhakwete mashili ga tagwala pitipiti! Amina. (aiōnios )
17 Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. (aiōn )
Mwaalajilanje bhandunji bhakwetenje utajili pa shilambolyo pano, bhanaipunanje na bhanaikulupalilanje indu ibhakwetenje ikaakulupalika, ikabhe bhaakulupalilanje a Nnungu, bhakutupa indu yowe kwa ntuka gwabho nkupinga tuinonyele. (aiōn )
18 Waambie watende mema, watajirike katika kazi njema, wawe wakarimu, na utayari wa kutoa.
Mwaalajilanje bhatendanje uguja, bhapundanje kutenda ya mmbone, na bhakolanje ntuka akuno bhaliengwanga kugabhana indu yabhonji na bhananji.
19 Katika njia hiyo watajiwekea msingi mzuri kwa mambo yajayo, ili kwamba waweze kushika maisha halisi.
Kwaatenda nneyo, shibhaibhishilanje shibhiko sha mmbone kwa mobha gakwiyago. Nkupinga bhapatanje gumi gwa kweli.
20 Timotheo, linda kile ulichopewa. Jiepushe na majadiliano ya kipumbavu na mabishano yenye kujipinga ambayo kwa kwa uongo huitwamaarifa.
Mmwe a Timoteo, nngoye shimmishilwesho. Mwiembuye na nkungulu gwangali gwa mmbone, na mitau ja ungumba ga shene shishemwa lumanyio, mbena unami.
21 Baadhi ya watu huyatangaza mambo haya, na hivyo wameikosa imani. Neema na iwe pamoja nawe.
Pabha bhananji bhaitapilenje kuti bhakwetenje lumanyio, bhashilekanga ngulupai. Ngunakumpinjilanga nema ja a Nnungu.