< 1 Timotheo 4 >

1 Sasa Roho anasema waziwazi kwamba katika nyakati zijazo baadhi ya watu wataiacha imani na kuwa makini kusikiliza roho zidanganyazo na mafundisho ya kipepo yatakayofundishwa
Mpungu msopi ijova hotohoto kuvya magono gamwishu vandu vangi yati vakuyileka kutali sadika, yati vakuuyidakila mpungu ukonganu na kulanda mawuliwu ga mizuka.
2 katika uongo na unafiki. Dhamiri zao zitabadilishwa.
Mawuliwu ngati ago gidandaswa na vandu vaudese vahomela, ndi mtima wavi wa kukumbuka kuhenga gabwina ufwili uvili ngati utinyiswi na lyuma la motu.
3 Watawazuia kuoa na kupokea vyakula ambavyo Mungu aliviumba vitumiwe kwa shukrani miongoni mwao waaminio na wenye kuijua kweli.
Vandu venavo ndi viwula kuvya ndi kubuda kugega na kulya vyakulya nunuyu. Nambu Chapanga awumbili vyakulya vyenivyo, muni vala vevavili vasadika na vevibwela kuumanya uchakaka, vakotoka kutumila kwa kusengusa Chapanga.
4 Kwa sababu kila kitu ambacho Mungu amekiumba ni chema. Hakuna ambacho tunapokea kwa shukrani kinastahili kukataliwa.
Chindu chochoha cheawumbili Chapanga ndi chabwina, kawaka chechiganikiwa kubelelewa, ndi vyoha vipokelewa kwa kumsengusa Chapanga,
5 Kwa sababu kinatakaswa kupitia neno la Mungu na kwa njia ya maombi.
Ndava muni lilovi la Chapanga na kumuyupa Chapanga chikita chindu chenicho chiyidikiwa kwa Chapanga.
6 Kama utayaweka mambo haya mbele ya ndugu, utakuwa mtumishi mzuri wa Yesu Kristo. Kwa sababu umestawishwa kwa maneno ya imani na kwa mafundisho mazuri ambayo umeyafuata.
Ngati ukavadandaulila vandu voha malagizu ago, wivya wamuhengaji wabwina wa Kilisitu Yesu, na yati mwiyendelela kukula musadika kwa malovi ga sadika na mawuliwu gachakaka geugalandili.
7 Lakini zikatae hadithi za kidunia ambazo zinapendwa na wanawake wazee. Badala yake, jifunze mwenyewe katika utaua.
Nambu bela luhumu za kadeni zezivi lepi za Chapanga zangalimana, jiyovalesa wumi wa kumuyupa Chapanga.
8 Kwa maana mazoezi ya mwili yafaa kidogo, bali utauwa wafaa sana kwa mambo yote. Hutunza ahadi kwa maisha ya sasa na yale yajayo.
Kujigolosa kwa higa gana utangatila waki, nambu gachimtima gana utangatila uvaha, muni gakutipela huvalila la wumi muwumi wa hinu na wewibwela.
9 Ujumbe huu ni wakuaminiwa na unastahili kukubaliwa kabisa.
Lilovi lenili ndi la chakaka na liganikiwa kuyidakilwa na kusadikika neju.
10 Kwa kuwa ni kwa sababu hii tunataabika na kufanya kazi kwa bidii sana. Kwa kuwa tunao ujasiri katika Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi wa watu wote, lakini hasa kwa waaminio.
Tete tikangamala na kukita lihengu kwa makakala muni, timvikili huvalila yitu Chapanga mweavili wumi wa msangula wa vandu voha, neju vala vevakumsadika.
11 Uyaseme na kuyafundisha mambo haya.
Vapela malagizu ago na mawuliwu ago.
12 Mtu yeyote asiudharau ujana wako. Badala yake, uwe mfano kwa wote waaminio, katika usemi, mwenendo, upendo, uaminifu, na usafi.
Kotoka kuyidakila kuveveswa na mundu yoyoha ndava muni veve wamsongolo, nambu kangamala uvya luhumu wa vevisadika, mukujova kwaku, mwenendu waku, uganu sadika na wumi wabwina.
13 Mpaka nitakapokuja, dumu katika kusoma, katika kuonya, na katika kufundisha.
Hengela lukumbi lwaku na kukangamala kwaku kujiwula Mayandiku Gamsopi, kukokosa na kuwula, mbaka penibwela.
14 Usiipuuze karama iliyomo ndani yako, ambayo ulipewa kupitia unabii, kwa kuwekewa mikono na wazee.
Kotoka kuleka kutumila njombi ya Mpungu Msopi wa Kilisitu mugati yaku cheupewili kwa malovi ga vamlota va Chapanga na kwa kuvikiwa mawoko na vagogo.
15 Uyajali mambo haya. Ishi katika hayo ili kukua kwako kuwe dhahiri kwa watu wote. Zingatia sana mwenendo wako na mafundisho.
Holalela neju ndava ya ago na ujiwusa wamwene mulihengu lenilo, muni kuyendelela kwaku kulolekana na vandu voha.
16 Dumu katika mambo haya. Maana kwa kufanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.
Jiyangalila wamwene cheutama na ndava ya gala geukugawula. Yendelela kukita ago, muni ukakita chenicho, yati ukujisangula wamwene na vala vevakuyuwanila.

< 1 Timotheo 4 >