< 1 Timotheo 4 >
1 Sasa Roho anasema waziwazi kwamba katika nyakati zijazo baadhi ya watu wataiacha imani na kuwa makini kusikiliza roho zidanganyazo na mafundisho ya kipepo yatakayofundishwa
Henu Roho ijobha pa bhuasi kujha mu nyakati syasihid baadhi jha bhanu bhibetakujhileka imani ni kujha makini kup'el'ekesya roho syasikofya ni mafundisu gha kipepo ghaghibeta kumanyisibhwa
2 katika uongo na unafiki. Dhamiri zao zitabadilishwa.
mu udesi ni bhunafiki. Dhamiri sya bhene sibetakusanusibhwa.
3 Watawazuia kuoa na kupokea vyakula ambavyo Mungu aliviumba vitumiwe kwa shukrani miongoni mwao waaminio na wenye kuijua kweli.
Bhibetakubesya kugega ni kujhop'elela fyakulya ambafyo K'yara afibhombili fitumibhuajhi kwa kubhombesya mugati mwa bhene bhabhikiera ni bhabhajhimanyili kweli.
4 Kwa sababu kila kitu ambacho Mungu amekiumba ni chema. Hakuna ambacho tunapokea kwa shukrani kinastahili kukataliwa.
Kwandabha khila khenu ambakyo K'yara akibhombili ndo kinofu. Kijhelepi ambakyo twijhop'el'ela kwa kubhombesya kilondeka kubelekelibhwa.
5 Kwa sababu kinatakaswa kupitia neno la Mungu na kwa njia ya maombi.
Kwandabha kitakasibhwa kup'et'ela lilobhi lya K'yara ni kwa njela jha maombi.
6 Kama utayaweka mambo haya mbele ya ndugu, utakuwa mtumishi mzuri wa Yesu Kristo. Kwa sababu umestawishwa kwa maneno ya imani na kwa mafundisho mazuri ambayo umeyafuata.
Kama wibeta kughabheka mambo agha palongolo pa ndongobhu, wibetakujha mtumishi nnofu ghwa Yesu Kristu. Kwandabha ustawishi kwa malobhi gha imani kwa mafundisu manofu ambagho ughakesisi.
7 Lakini zikatae hadithi za kidunia ambazo zinapendwa na wanawake wazee. Badala yake, jifunze mwenyewe katika utaua.
Lakini sibelayi hadithi sya kidunia ambasyo simalili kupeta ni bhwakati ni bhadala bhaseya. Badala jhiake ukimanyisiajhi ghwe muene mu utaua.
8 Kwa maana mazoezi ya mwili yafaa kidogo, bali utauwa wafaa sana kwa mambo yote. Hutunza ahadi kwa maisha ya sasa na yale yajayo.
Kwa ndabha mazoezi gha mb'el'e ghilondeka padebe, bali utauwa wilondeka nesu kwa maombi ghoha. Itunza ahadi kwa maisha henu ni ghala ghaghihida.
9 Ujumbe huu ni wakuaminiwa na unastahili kukubaliwa kabisa.
Bhujumbe obho ndo bhwakuaminibhwa na wilondeka kujhedekelibhwa nesu.
10 Kwa kuwa ni kwa sababu hii tunataabika na kufanya kazi kwa bidii sana. Kwa kuwa tunao ujasiri katika Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi wa watu wote, lakini hasa kwa waaminio.
Kwa kujha ndo kwandabha ejhe twilombosibhwa ni kubhomba mahengu kwa bidii nesu. Kwandabha tujhe ni ujasiri kwa K'yara jha ajhe hai, ambajhe ndo n'kombosi ghwa bhanu bhoha, lakini hasa kwa bhabhikiera.
11 Uyaseme na kuyafundisha mambo haya.
Ughajobhayi ni kughamanyisya mambo agha.
12 Mtu yeyote asiudharau ujana wako. Badala yake, uwe mfano kwa wote waaminio, katika usemi, mwenendo, upendo, uaminifu, na usafi.
Munu jhejhioha asijhimuli usongolo bhwa jhobhi. Badala jhiake, ujhelayi mfuanu kwa bhoha bhabhikiera, mu bhujobhi, kagendelu, luganu, bhuaminifu, ni bhunofu.
13 Mpaka nitakapokuja, dumu katika kusoma, katika kuonya, na katika kufundisha.
Mpaka panibetakuhida, damu mu kumanyila mu kuonya, ni mu kumanyisya.
14 Usiipuuze karama iliyomo ndani yako, ambayo ulipewa kupitia unabii, kwa kuwekewa mikono na wazee.
Usijhimuli karama jha jhijhele mugati mwa jhobhi, ambajho ghwapelibhu kup'et'ela unabii, kwa kubhekibhwa mabhoko ni bhaseya.
15 Uyajali mambo haya. Ishi katika hayo ili kukua kwako kuwe dhahiri kwa watu wote. Zingatia sana mwenendo wako na mafundisho.
Ughajaliajhi mambo agha. Utamayi kwa aghu ili kutama kwa bhebhe kujhiaghe dhahiri kwa bhanu bhoha. Zingatilayi nesu mwenendo bhwa jhobhi ni mafundisu.
16 Dumu katika mambo haya. Maana kwa kufanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.
Dumuajhi mu mambo agha. Ndabha kwa kubhomba naha wibetakwiokola ghwe muene ni bhala bhabhikup'elekesya.