< 1 Timotheo 3 >
1 Usemi huu ni wakuaminika: Kama mtu anatamani kuwa Msimamizi, anatamani kazi njema.
Este é um ditado fiel: alguém que procura ser um supervisor deseja um bom trabalho.
2 Kwa hiyo msimamizi ni lazima asiwe na lawama. Ni lazima awe mume wa mke mmoja. Ni lazima awe na kiasi, busara, mwenye utaratibu, mkarimu. Ni lazima awe uwezo wa kufundisha.
O superintendente, portanto, deve ser sem censura, o marido de uma esposa, temperante, sensato, modesto, hospitaleiro, bom em ensinar;
3 Asiwe anatumia mvinyo, asiwe mgomvi, bali mpole, mwenye amani. Ni lazima asiwe mwenye kupenda fedha.
não um bebedor, não violento, não ganancioso por dinheiro, mas gentil, não briguento, não cobiçoso;
4 Inampasa kuwasimamia vema watu wa nyumbani mwake mwenyewe, na watoto wake imewapasa kumtii kwa heshima zote.
alguém que governa bem sua própria casa, tendo filhos em sujeição com toda a reverência;
5 Maana ikiwa mtu hajui kuwasimamia watu wa nyumbani mwake mwenyewe, atalileaje kanisa la Mungu?
(como poderia alguém que não sabe governar sua própria casa cuidar da assembléia de Deus?)
6 Asiwe mwamini mpya, ili kwamba asije akajivuna na kuanguka katika hukumu kama yule mwovu.
não um novo convertido, para que não caia na mesma condenação que o diabo.
7 Lazima pia awe na sifa njema kwa wote walioko nje, ili asije akaanguka kwenye aibu na mtego wa mwovu.
Além disso, ele deve ter um bom testemunho daqueles que estão de fora, para evitar cair em reprovação e na armadilha do diabo.
8 Mashemasi, vilevile wanapaswa kuwa wenye kustahili heshima, wasiwe wenye kauli mbili. Wasitumie mvinyo kupita kiasi au kuwa na tamaa.
Os serventes, da mesma forma, devem ser reverentes, não de dupla língua, não viciados em muito vinho, não gananciosos por dinheiro,
9 Waweze kuitunza kwa dhamiri safi ile kweli ya imani iliyofunuliwa.
mantendo o mistério da fé em uma consciência pura.
10 Wawe pia wamethibitishwa kwanza, halafu waweze kuhudumu kwa sababu hawana lawama.
Deixe-os também primeiro serem testados; depois, deixe-os servir se forem irrepreensíveis.
11 Wanawake vivyo hivyo wawe wenye heshima. Wasiwe wasingiziaji. Wawe na kiasi na waaminifu kwa mambo yote.
Suas esposas da mesma forma devem ser reverentes, não caluniadoras, temperantes e fiéis em todas as coisas.
12 Mashemasi ni lazima wawe waume wa mke mmoja mmoja. Lazima waweze kuwasimamia vema watoto wao na wa nyumbani mwao.
Que os servos sejam maridos de uma esposa, governando bem seus filhos e suas próprias casas.
13 Kwa kuwa wale wanaotumika vizuri hupata msimamo mzuri na ujasiri mkubwa katika imani iliyo katika Kristo Yesu.
Para aqueles que serviram bem, ganham para si uma boa posição e uma grande audácia na fé que está em Cristo Jesus.
14 Ninaandika mambo haya kwako, na ninatumaini kuja kwako hivi karibuni.
Estas coisas escrevo para você, esperando vir até você em breve,
15 Lakini ikiwa nitachelewa, ninaandika ili upate kujua namna ya kuenenda katika nyumba ya Mungu, ambalo ni kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msaada wa kweli.
mas se eu esperar muito, para que você possa saber como os homens devem se comportar na casa de Deus, que é a assembléia do Deus vivo, o pilar e o terreno da verdade.
16 Na haipingiki kwamba kweli ya Uungu uliyofunuliwa ni mkuu: “Alionekana katika mwili, akathibitishwa na Roho, akaonekana na malaika, akatangazwa miongoni mwa mataifa, akaaminiwa na ulimwengu, na akachukuliwa juu katika utukufu.”
Sem controvérsia, o mistério da piedade é grande: Deus foi revelado em carne e osso, justificado no espírito, visto por anjos, pregado entre as nações, acreditado no mundo, e recebido em glória.